“Nini wewe?!”
“Kumbe lile toto kule ofisini kwa bosi, kumbe lako!” Pam akashituka. “Shema
amekuja?! Mbona sijui?” “Sio leo na wewe! Ila hapa ashakuja akazunguka na baba
yake zaidi ya mara moja!” “Wewe maneno mengi ushamchanganya mwenzio.
Anazungumzia picha ofisini kwa Mkuu.” Pam akakunja uso. Hata hakuwa ameona hizo
picha! Kwanza aliingia tu mara moja, napo hakuangaza macho.
“Alikuja mwanao
hapa, ikawa gumzo! Toto zuri hilo! Sasa kila mtu akawa anasema
lazima mama yake atakuwa mweupe sana au mzungu. Maana kafanana na baba yake
mpaka kucha ila yeye akicheka anabonyea na ni mweupe pee! Kumbe mwanao!
Halafu hata usitukonyeze kama kumbe wewe mzazi mwenzie bosi!
Unaniacha nabwatuka tu!” “Akitoka, akakukuta hapo! Utamkorofisha
zaidi. Rudi pale mbele Fatma, acha umbea!” “Baadaye tutaongea zaidi shoga.”
“Wala hakuna lakuzungumza, wewe kafanye kazi, acha umbea.” Akacheka na kukimbia
kurudi mapokezi.
“Huyu nani
kamwambia yote haya na kumpa pressure?” “Bwana unatafutwa wewe!”
“Na nani?!” Akasimuliwa kila kitu wakinong’ona. Pam akacheka na kutingisha
kichwa kwa masikitiko wala asijibu. Akakaa.
“Anakuulizia
kila baada ya dakika! Nenda Pam, asije akasema sijakwambia.” “Nitakwenda acha
nikuuu..” Akaingia Mill mwenyewe.
~~~~~~~~~~~~~~
Penzi la
kweli ni kama jua nyuma ya mawingu. Unaweza
kujaribu kuficha, lakini mwanga wake huvuja polepole, hadi
uangaza kila kona ya moyo. Macho hujieleza, hata midomo ikinyamaza.
Kila tabasamu, kila sauti ya moyo, hufichua siri ambayo roho imebeba
kimya kwa muda mrefu. Ni NGUMU kujizuia, maana penzi la kweli
haliwezi jificha. Hujidhihirisha katika kila pumzi, kila tazamo,
na kila hatua inayokukaribia.
“Kumbe umerudi?”
Wakashangaa anauliza kwa kujikomba. Wala si hasira! “Muda si
mrefu. Ndio nilitaka nimalizie kukabidhisha hapa, halafu nije ofisini
kwako maana niliambiwa ulikuwa ukinitafuta.” “Nilipatwa tu na wasiwasi,
niliona hurudi muda wako ule wakawaida. Nikadhania umepatwa na matatizo.” Kina
Mbise wakaangaliana na kuinama.
“Nilipitia kula.
Na nilimuaga na Mbise.” “Ulienda kula wapi?” Pam akaanza kucheka na kumgeukia
vizuri. “Ni nini Mill!?” “Wewe nisaidie tu kunijibu mpaka na lile jibu
la swali unalojua linanikera ila sijui jinsi ya kuliuliza
au nasita kuliuliza.” Pam akamwangalia na kutingisha kichwa kama anaye
msikitikia.
“Pam?” “Unashida
wewe!” Akamwambia akimsikitikia. “Kwani mimi nakataa! Wewe nijibu tu
roho yangu itulie.” Wote wanawasikiliza ila hawawaangalii. “Pam?” “Nilikutana
na Eric siku ya ijumaa. Akaniomba tuzungumze. Nikamwambia nina haraka.
Tukapanga tukutane leo. Haya, umeridhika?” “Mimi nilikuwa na wasiwasi
na usalama wako tu!” Pam akamtizama kwa kumsuta.
“Kweli tena!
Sasa umeniletea na mimi chakula?” “Wewe si huwa unatoka na Brenda kila siku
kwenda kula?!” “Pam naye! Jambo haliishi! Mambo ya zamani hayo!”
Akamtizama na kunyamaza. Maana walikuwa wakizungumzia mambo yote, hapohapo
mbele za watu.
Lakini akawa
hajamuelewa. “Brenda habari ya zamani tena!” Akawaza na kuendelea
kupanga karatasi alizotoka nazo benki. Akajibaraguza hapo, akaondoka lakini
safari hii akionekana ametulia. Pakazuka ukimya hapo, kila mtu heshima
ikaongezeka kwa huyo Pam. Kwamba ni zaidi ya Brenda tena! Kila mtu kimya
akiwaza lake.
Love At First
Sight.
Pam yeye
akaendelea na shuguli zake kama kawaida heshima kwa Mbise kama kiongozi
wake tu. Ilipofika mida ya saa 9:30 jioni, Mill akarudi na maua kibao,
tena fresh, roses nzuri haswa na chokleti. Akaingia nayo hapo ofisini.
Pam alishituka, moyo ukafanya paa! Kama kulikoangushwa chuma sakafuni.
Hata giza
lina mwisho wake, na moyo uliojeruhiwa hujifunza kupiga
tena. Mill alijikaza kiume na kuamua kukusanya vipande vya penzi lililokuwa limesambaratika
kwa muda mrefu sana, lakini liligoma kufa katika dhorula kali iliyopitishwa.
Kwa nje ilionekana ni kama makumbi
ya nazi tu, maganda yaliyotupwa juani kwa muda mrefu, baada ya nazi kufuliwa na
kuishia kukauka kabisa. Lakini Mill alijua nguvu yake. Alijua kwa
hakika, yakiokotwa kwa garama yeyote ile, huweza washa moto mkubwa
tu.
“Naomba msamaha.”
Pam akakunja uso akimtizama kama ambaye hakutegemea kabisa. “Samahani
kwa kutokukueleza kilichokuwa kikiendelea kwenye utaratibu mzima
nilipokuwa ugaibuni. Samahani kwa kutokukuelewa tulipokuwa
mapumzikoni Arusha, ambako ulinieleza tokea Lushoto. Samahani kwa
kukukasirikia.” Pam akacheka taratibu na kutingisha kichwa kwa masikitiko.
“Sijamaliza!”
“Sasa wewe ulikasirishwa na nini?” “Acha nimalizie. Samahani
kwenye swala la kuhama.” Kila mtu alikuwa akisikiliza ila kichwa chini.
Kwa asili hiyo ofisi ilikuwa kimya, wageni ni wachache sana.
“Samahani
kwa swala ya Brenda. Nakuahidi hapa na popote alipo Shema, hutamuona
tena.” Wote wakashangaa Pam anainama tu bila ya kusema kitu. “Samahani
Pam wangu.” Akarudia ila safari hii kwa KUBEMBELEZA haswa, tena kimapenzi
wala si kama bosi. Pam akaondoka kabisa hapo na kuelekea chooni. Mill akaacha
hayo maua hapo na chokleti kwenye meza yake, akaondoka kurudi ofisini kwake.
Hakika walizua ukimya hapo! Saa 10 kamili isivyo kawaida yao, watu wakaanza
kutoka kimyakimya. Pam akabakia wamwisho akijua Mill yupo ofisini.
Penzi
Lililogaramiwa.
Kuomba msamaha
kwa umpendaye si udhaifu, bali ni USHAHIDI wa UKUBWA wa moyo. Ni kama
mvua laini inayotuliza ardhi iliyopasuka. Hubeba matumaini
mapya, huponya majeraha ya ndani kabisa. Katika MSAMAHA huwa
kuna NAFASI ya kuanza
upya, kujenga tena daraja lililovunjika kwa maneno na matendo.
Kwenye kuomba msamaha ndipo kwenye kuonyesha kuwa penzi lako lina thamani
kuliko makosa yako.
Akajisafi kama
aliyejua kinachofuata na kumfuata ofisini kwake. Walibakia wawili tu upande huo
wa ofisi. Akagonga taratibu. “Karibu Pam.” Akamkaribisha akijua wazi atakuwa ni
yeye tu. Akafungua na ndio kwa mara ya kwanza akaangaza macho na kuona picha za
mwanae. Moja kubwa ilikuwa ukuta unaoangalia meza yake. Shema alikuwa amevaa jezi
ya mpira. Akapigwa picha akiwa anapiga teke mpira. Aliyempiga aliwahi vizuri,
akamtoa huyo mtoto vizuri sana. Ilijaa hapo ukutani karibia urefu wa huyo mtoto
mwenyewe. Pam akabaki ameduaa akiangalia.
“Nilikuomba msamaha
Pam!” “Mbona hakuna hapa picha yangu hata moja!?” “Nilikuwa sijui chakufanya
na wewe Pam! Nilikukuta katikati ya mambo mengi! Hata mpaka sasahivi
sijajua nafasi yangu kwako ni ipi! Ila jua Brenda nilimalizana
naye rasmi jana, nilipotoka pale kwenu, mliponigomea wewe na mwanao. Kwa
hiyo sasahivi ni mimi tu. Na ili usinipatie sababu.” Pam akabaki
akimsikiliza na cheko la kike.
“Siku ile uliponipa
matokeo yako ya UKWIMWI, nusu nilie. Maana ndio nilikuwa kwa mara ya
kwanza, nikiwa nishapima na yeye, nikataka kwenda kulala naye, maana
nilizidiwa mpaka mwisho, halafu eti na wewe ukaniwahi unanipa habari
zako!” Pam alicheka sana.
“Usicheke Pam!
Mimi mpaka nikajiambia nina mkosi! Maana nilishatafuta sehemu.
Nikamwandaa mtoto wa watu, kuwa tunakwenda kupumzika, narudi kwenye gari
naahirisha! Halafu sina sababu ya kueleweka!” Pam akaanza kuvua
chupi mbele yake. Mill akapigwa na butwaa.
Na yeye akafanya
kusudi, akawa anavua taratibuu huku akimwangalia. “Uvuaji gani huo wa ndani
kwa ndani Pam! Vua nione inapotokea sio uingize mikono ndani ya gauni kama
kunikomoa bwana!” Pam alicheka mpaka akaacha. “Acha bwana kucheka Pam!
Hali mbaya!” “Nakuonjesha kidogo tu, kukupunguzia. Mengine
baadaye.” “Hapahapa?!” “Sasahivi!” Mill hakuamini. “Libarikiwe tumbo lililokubeba.”
Pam akaanza kucheka tena.
Mill akasimama
kwa haraka. Akafunga mlango kwa haraka na kuvua suruali kama iliyoshika moto.
“Naomba usitoe hicho kiatu na hilo gauni! Vimenichanganya, nilikuwa
situlii hapa ofisini. Nakutaka hivyohivyo, kasoro tu chupi,
toa.” Akamalizia kuitoa akiwa bado na kiatu chake kirefu. Mill akamdaka. Akaanza
kumnyonya kwa pupa.
“Taratibu bwana
Mill! Utaniangusha!” Alichofanya ni kupiga magoti mbele yake. Akaanza kumpapasa
miguu akipandisha mpaka kwenye tako. Mikono ikawa ikitembea mapajani mpaka
kwenye ule mguu unaomchanganyaga asijue raha anayoiacha kwa Pam. Aliendelea
kufanya hivyo kwa hisia zote huku mdomo ukiendelea kunyonya kwa uchu kama
ambaye haamini! Yaani yeye mwenyewe Mill alikuwa akipagawa, huku akiacha
raha kwa Pam.
Mwili wa Pam
ulikuwa ukiachia hisia hizo! Hakutarajia kama angeshikwa tena na Mill
ambaye alishajua amempoteza kwa Brenda. Hakuchukua muda akasalimu amri mdomoni
kwa Mill akiwa bado amesimama vilevile mwenzie amepiga magoti mbele yake. Mill akamshikilia
vizuri asianguke maana alilegea haswa huku anammalizia kwa kumnyonya kwa
nguvu akiwa anajua ndio yupo juu kabisa kileleni. Akafanya hivyo mpaka
Pam akamaliza kabisa ndipo akamuachia na kusimama.
Jinsi alivyo na
umbile kubwa akamnyanyua kama mwewe anavyochukua kifaranga, akampandisha
juu kama aliyempakata akiwa amesimama na kujiingizia akiwa amesimama vilevile, bado
Pam anahema baada ya bao la nguvu. Kazi yote alifanya mwenyewe akiwa
amembeba Pam juu juu akiingiza na kutoa kwa mzuka wote akiwa ameshikilia
matako ya Pam. Hata kwa Pam yalikuwa mageni!
Alifanya hivyo
kwa muda Pam akiwa amemkumbatia shingoni akimuachia afanye atakalo, mpaka
akamaliza akiwa amembeba vilevele! Alimwaga mpaka sakafuni. Akamuweka Pam
kochini, kisha akatoa shati na singlendi.
Akamgeuza. Akawa
amepiga magoti kochini na viatu vyake vilevile. Akamnyanyua tena gauni kwa
nyuma bila kulivua, akaingia kwa uchu. Bwana Mill alikuwa akiita
Pam, kama ungekuwa ukipita nje, ungesikia. Aliita mpaka akapata la pili,
kisha akajitupa pembeni, na kumvuta Pam, akampakata akihema.
“Asante Pam
wangu. Nashukuru mama. Najua sijakutendea haki, ila nimeshindwa
aisee! Mbali na hali mbaya niliyokuwa nayo, leo hivyo ulivyovaa, umenitesa
siku nzima!” Pam akacheka taratibu na kuanza kumkiss masikioni na shingoni
ndipo akahamia midomoni. Akamnyonya midomo kwa hisia hizo, hata Mill
alijua na yeye anamuhitaji. Lakini akamuachia. “Nina hamu na wewe Mill! Nina
hamu na wewe sana! Ila Mwanao atarudi akute mlango umefungwa.
Acha niwahi nyumbani.”
“Naomba
niendeshe! Nina hali mbaya, nimetoa, mpaka miguu haina nguvu.”
“Nikuendeshe mpaka wapi?” “Nyumbani kwenu. Labda nikifika nitakuwa nimepata
nguvu ya kwenda kwangu.”
Akachukua ileile
singlendi yake akamfuta nayo. Kisha akaingia chooni kwa Mill hapo ofisini
kwake, akaiosha tena na kurudi kumfuta vizuri mpaka akatakata. “Asante mpenzi
wangu! Haya ndio mambo yaliyokuwa yakinifanya nikukumbuke.” Pam akarudi
kujisafi, safari ya kwake ikaanza.
~~~~~~~~~~~~~~
Wala hawakufika
mbali, alichokifanya Mill ni kulaza kiti chake, Pam akashangaa anapotelea
usingizini akamuacha akiendesha. Alilala Mill wala asijue alipo! Pam akaendelea
kupambana na foleni akiwa amemuwashia A/C kama apendavyo. Baridi hapo garini
kama ndani ya fridge.
Uzuri akawahi
kabla ya Shema. “Mill, tumefika. Nenda nyumbani ukapumzike.” Akakaa akiangaza
macho kujua walipo. “Tupo Kinondoni.” “Ni sawa nikalala hapa kwako kidogo nipunguze
usingizi ndio niende kwangu au nitakuwa nikikuingilia?” “Hata kidogo. Twende.”
Akaingia mpaka chumbani kwake.
“Humu kuna joto,
toa nguo nitakuwashia feni.” Bila ya kujibu, akatoa nguo zote akabakiwa na boksa
tu. “Humu, Shema asiingie hata kwa bahati mbaya.” Pam akaanza kucheka akiokota
nguo alizoacha sakafuni. Hapohapo Mill akazima kama mshumaa. Akabadili
nguo, nakutoka taratibu asimuamshe.
~~~~~~~~~~~~~~
Akakumbuka hana
hata jiko. Anapika nini! Akakumbuka ana gari ya Mill, akatoka nayo. Njiani akampigia
Shema kujua alipo. “Sasa ukifika nyumbani uache kelele na kucheza
mpira sebuleni. Baba yako amelala ndani.” Akashangaa
mtoto amefurahi huyo! “Kama kina baba Pili wanavyolala ndani kwao?” Pam akacheka akimfikiria mwanae.
“Sitachelewa. Kwani njaa inauma
sana?” “Macho hayaoni, mama!” “Shema muoga wa njaa wewe!” “Sioni kabisa.” “Haya
sichelewi, narudi sasahivi na chakula. Na ili usikae hapo ukifikiria chakula,
ukifika tu, kaoge.” Akampa maagizo, mwanae akaelewa.
~~~~~~~~~~~~~~
Akala na mwanae
mpaka Shema akaenda kulala, bado Mill ameuchapa usingizi chumbani kwa
Pam. Akaoga na kuanza kufikiria kama amuamshe au la! Ila kwa vile alivyokuwa
amelala kama mzoga, akaona amuache tu.
Akapanda
kitandani na kujilaza pembeni yake. Ndipo akatoka usingizini na kuanza kulalamika.
“Joto Pam, mimi siwezi kulala na feni.” “Hapa hamna A/C. Jikaze, utoke
hapa ukalale kwako.” Akatulia, akamvuta Pam karibu, akamkumbatia vizuri na
kupitiwa na usingizi tena.
Kama baada ya
lisaa akamsikia tena. “Nateseka joto, Pam!” “Jikaze, uende ukalale kwako kwenye
A/C, Mill. Lasivyo tutakesha hapa ukilalamikia joto.” “Mimi hivi siwezi.”
Pam akatulia. “Pam?” “Unataka nifanyaje Mill na ushakuwa usiku? Wewe umelala,
umepunguza usingizi, ndio unaanza fujo.” “Kwa nini sasa umehamia
huku wakati kule kwangu kuzuri kuna kila kitu?” “Kweli ndio mazungumzo
hayo unataka tuyafanye sasahivi!? Nenda kwako Mill, wewe usingizi ushakuisha.”
“Bado nina usingizi ila siwezi lala na feni.”
Pam akamgeukia.
“Nimekubakishia chakula. Kula uende kwako ukalale, au beba ukale kwako. Mwenzio
nina kazi asubuhi.” “Kesho tusiende.” Pam akabaki akimwangalia. “Ndio
umenisamehe tu! Hata sijakufaidi, unataka kuniacha katikati! Nihurumie
mpenzi wangu. Nipe hata siku mbili tu.” “Haa! Na kazini!?” “Nitamwambia Mbise aendelee.
Mbona alikuwa akifanya kabla yako? Hawezi shindwa siku mbili.” Pam akatulia
akifikiria.
“Niambie kama
kweli wewe mwenyewe huna hamu na mimi.” “Kupita unavyodhania.
Lakini sitaki kuharibu kazi, ndio nimeanza tu!” “Ikiharibika namfukuza
yeye kazi. Wewe usiwe na wasiwasi. Sawa?” “Ndio tunafanyaje?” “Ungekuwa si mbishi,
ungehamia pale kwangu. Mwanao akienda shule sisi tunaendelea na yetu kwa kujinafasi.
Lakini hebu niambie huku ulipo! Nyumba yenyewe haina madirisha.” “Acha dharau.”
Mill akajiweka
sawa. “Niambie kama kweli umenisamehe kabisa na upo tayari kuanza upya
na mimi.” “Kwa aina ile ya uombaji msamaha, dhambi zako ZOTE zimesamehewa.”
Mill alicheka sana.
“Kwakujidhalilisha
vile, mbele ya wafanyakazi wako! Haki umenigusa Mill! Asante. Na yameisha
KABISA.” “Basi kama kweli umenisamehe na tunaanza upya, hamia
kwangu. Kwa mwanzo sitakulazimisha uhamie ndani kwenye nyumba kubwa ninakoishi.
Unaweza anza kuishi kwenye kile kinyumba kidogo. Ukawa huru na kufanya utakavyo kama hapa tu. Lakini
ni bora pale kuliko hapa. Usiku hata ukitaka kujiiba uje kwangu wakati
mwanao kalala, pia sawa.” Pam akaanza kucheka akifiria.
“Ila hapa
nishalipa kodi ya miezi sita Mill!” “Pesa inatafutwa na kupatikana
ila tulicho nacho sisi hebu niambie hata kama unayo pesa, unakipata
wapi?” Pam akatulia akiona ni kweli. “Wewe umehangaika huko ukaishia
kwa Mgaya. Mimi ndio usiseme. Lakini starehe niliyopata leo pale ofisini,
tena kwa muda mfupi tu, ikanifanya nilale usingizi niliopoteza karibia
umri wa mwanao huyo! Nimepata penzi langu la halali, lililobarikiwa
na wazazi pande zote na ndoa ya kisambaa juu.” Pam akaanza kucheka.
“Tushapoteza muda
mwingi sana Pam. Umri umekwenda, tumebakiwa na katoto kamoja hakohako kama dawa!
Kubali yaishe na sisi tuanze maisha.” Pam akabaki ametulia. “Hakuna
chakufikiria hapa, ila kuchukua hatua tukiamini safari hii tutapatia. Twende ukalale pazuri na
mimi nataka nikufaidi kama zamani. Taratibu kwenye baridi nzuri sio hapa
nikikutingisha tu, mwanao anakuja. Halafu nitaloa jasho hapa kama mpumbavu!”
“Sasa hapa napafanyaje?” “Wewe chukua nguo tu.
Tena mtakazohitaji kesho na kesho kutwa. Tuondokeni. Nikishakushika
hata siku mbili tu, akili itatulia, nitajua chakufanya.” “Kwamba
tuondoke usiku huu!?” “Wewe hutaki kulala pazuri?” “Shema!?” “Mwanao atalala
kwenye gari na akifika atakwenda kulala moja kwa moja, usiwe na wasiwasi.”
Alifurahi Pam, akafurahi sana. Anampata tena Mill!
Akaanza
kufungasha vitu muhimu kwake na mwanae, akawa akiweka kwenye gari, Mill
akamuamsha mwanae. Akamsaidia mpaka garini.
~~~~~~~~~~~~~~
“Nakuendesha, pumzika
kidogo kwenye kiti cha mbele. Na safari hii huna sababu ya kukaa nyuma.”
Pam akabaki akiweka vitu vyake bila ya kumjibu. “Hakuna wa kukutoa mbele Pam, wangu.
Sasahivi ni mimi na wewe tu. Hakuna cha Brenda hakuna cha Mgaya.”
“Wewe unahalalisha uchafu wako, kwa kumleta Mgaya. Mgaya ulimkuta.
Brenda ulimtafuta katikati yetu.” “Mimi naona tusirudi nyuma.
Tuanzie pale kwenye ule msamaha wa kujidhalilisha. Dhambi zangu zote
ZIKASAMEHEWA. Kwanza mimi hata simjui Brenda ni nani!” Akamtizama kwa kumsuta.
“Kaa mbele
mpenzi wangu. Hakuna wakuja kukutoa tena.” Hakumjibu. Akazunguka kiti
cha mbele, akavuta kiti nyuma, akalala kabisa. Kwanza alikuwa amechoka, halafu
huyo Pam na mwanae huwa wanalala mapema. Akaongeza mchezo wa nguvu wa
ofisini aliompa Mill, akapitiwa na usingizi hata hawajafika mbali. Mill
kimya akiendesha, asiamini kama hatimaye anamuingiza Pam na
mwanae angalau ndani ya ua wake japo si kwenye nyumba kubwa aliyojenga kwa
mamilioni ya mapesa mengi.
Moyo
Uliojeruhiwa Kwa Penzi La Dhuluma
Sonia alijua
fika mapenzi yana NGUVU nzuri sana, lakini huwa hayakosi miiba yake. Yanaweza kukujaza mwanga, lakini pia kukuacha
umechanganyikiwa gizani na kupotea kabisa. Bado alitaka kujua kwa hakika
umbali gani Pius yupo tayari kwenda kwa mkewe?! Asijue, kwa Pius, kile
kilichowahi kuhisiwa kama joto zuri katika mguso wa mkewe,
kwake, sasa kinamchoma kwa uchungu wa USALITI. Lile penzi limegeuka kuwa
hasira tulivu inayoteketeza moyo na hisia za Pius polepole, kila
dakika anayopata kumfikiria Raza.
“Pius?” Sonia
akamtoa mawazoni. “Cha kwanza Raza si wakumtisha. Hutamuweza kwa maneno
ya vitisho. Mimi huwa namjulia.” Akamuhakikishia. “Ninajua unao watu wa Usalama
wanaoweza kukusaidia. Naomba wawili watakao ongozana na sisi. Nishamtumia
ujumbe wa kukutana. Nataka kumchukua niende naye mpaka kwa mganga wake. Najua
huko tutajua mengi na kupata sababu sahihi ya kuwashikilia
kisheria. Maana najua kesi ya uchawi ni ngumu bila ushahidi. Sasa
wewe usijali. Tutapata ushahidi kutoka kwao hawahawa wawili.”
“Kwamba ni kweli
utamshitaki?!” “Kabisa! Siwezi muacha hivihivi. Amenitesa kwa
muda mrefu, halafu anataka kumuua mtoto wangu! Mimi sijui kutishia
Sonia. Huwa nafanya kweli. Nikimuacha yeye, ni kukubali kifo
cha kijana wangu asiye na hatia. Hakika SITAMUACHA.”
“Na Chezo?”
“Kwangu Chezo hana hatia. Amemtongaza Raza kama vile anavyotongoza
wanawake wengine na kukataliwa, ila Raza yeye alimkubali.
Haonekaniki kuwa huwa anambaka Raza. Jumbe zao ni za wapenzi wawili. Si
umeona hata jinsi Raza anavyozungumza naye?” Sonia akarudisha macho kwenye
karatasi zilizobeba jumbe zao hao wawili.
“Hawa watu wamekubaliana
kuwa kwenye mahusiano. Raza ndiye amenikosea. Si Chezo. Chezo ni
MALAYA tu ambaye kama si Raza, angekuwa mwanamke mwingine. Na inamaana Raza si
mwanamke wa kwanza aliyemtongoza. Wapo waaminifu waliomkataa ila Raza amemkubali.
Na kwa mujibu ya mazungumzo yao, inaonyesha ni wapenzi wa muda mrefu tu,
na hukutana karibia kila siku. Ni wazinifu wasio na kipimo. Mimi nitashugulika
na Raza wala si Chezo.” Sonia akabaki akifikiria.
“Nasikitika
kuona mimi ndio nimeshindwa kuweka mazingira mazuri kwa kijana wangu na kumuachia
Mina. Mimi ndio nawajibika zaidi. Nimeishi na mbaya wangu na
kumuacha akifanya uharibifu vile atakavyo. Sasa basi, kabla sijarudi kwa
Mina na mtoto wangu, nilazima niweke mazingira mazuri.”
“Tafadhali
wasiliana nao, mjulishe Mina kuwa nitahitaji muda wakutengeneza kwanza kabla
sijakwenda muona mtoto.” “Lini?” “Sijui Sonia. Hata mimi mwenyewe sijiamini.
Huyu Raza anaonekana amenipandikizia vitu vingi sana kwa muda mrefu.
Jinsi ninavyokuwa wakati mwingine najihisi kama sio akili zangu!
Nakuwa kama niliyepagawa! Iweje nirudi kwa Mina na mtoto kwa haraka
kisha niharibu? Au niseme hata kudhuru kijana wangu mwenyewe?”
“Pius umeingiwa woga!”
“Hakika
nimeingiwa HOFU baada ya kujua kinachoendelea. Hakika sijiamini mpaka
nihakikishe mimi mwenyewe nipo salama. Akili yangu imetulia. Na Raza pamoja na mganga
wake wapo sehemu ambayo hawataweza KUMDHURU mtu mwingine tena. Lakini si
vinginevyo.”
“Wewe mwenyewe
utajuaje kama upo salama?” Sonia akamuuliza. “Hata sijui! Lakini kwa jinsi hivi
nilivyo, hakika sijiamini. Najihisi nimejawa madudu,
sistahili hata kumshika kijana wangu. Nahisi kama naweza muhamishia
madudu niliyowekewa na Raza.”
“Mimi ninajua
unachozungumzia. Niliishi na watu walio pitishwa hapo unakopita wewe.
Mtu kupandikiziwa mapepo na roho chafu, kwa kiasi
chakuweza kukana mtoto na mke aliyekuwa akimpenda SANA. Yaani huyo
shemeji mtu aliyefanya yote hayo alidiriki kumgeuza dada yake kichaa
kabisa kiasi cha kuwekwa kwenye hospitali ya vichaa, Mirembe.” Pius alishituka
sana.
“Kwamba alifanya
hivyo kwenye familia ya dada yake?!” “Wa kuzaliwa tumbo moja! Akafanikiwa kusambaratisha
familia iliyokuwa imesimama kwelikweli.” Ndipo Sonia akamsimulia kwa kifupi
mkasa wa Mama Briana aliyekuwa bosi wake, enzi hizo Sonia ni msichana wa kazi
za ndani. Akampa mkasa mdogo wake mama Briana, yaani Leah, aliyempenda
shemeji yake mpaka wote akawageuza akili kabisa hawajitambui.
Kisa chao kipo kwenye (Simulizi ya More Than Saying- Zaidi Ya
Kutamka.)
“Ila Pius, huyu
Mungu yupo kwa halisi. Mimi nimemuona akifanya mambo, ukisimuliwa ni
kama hivyo wewe! HUAMINI. Anaposikia hakuna jambo gumu linalomshinda! Au
unaposikia anazo nguvu. Au Yeye ni muweza. Hakika anao UWEZO wa
ajabu mno. Anazo NGUVU. Alifanya JAMBO kwenye ile familia ya Nyange na mkewe,
hutaamini.”
“Ninachotaka
kukwambia ni kuwa, usiogope. Hakuna gumu ulilofanyiwa wewe, Mungu huyu
ninayemjua mimi akashindwa kutenda. Tumalize hili kwanza. Kisha
nitakukutanisha nao. Watatembea na wewe, na utawekwa huru.” Pius akavuta
pumzi kwa nguvu na kutulia akitafakari.
“Unataka
kukutana na Raza wapi ili kuwapanga hao askari kanzu? Maana kweli bila ukiri
wao au ushahidi wa kueleweka, ni kweli kesi ya uchawi ni ngumu.”
Akamtoa Pius kwenye mawazo. Akafikiria, kisha akaona wakutane kwenye mgahawa
wanao uza chakula ili amfanye Raza atulia na kumuweza.
“Swali la mwisho
kwako Pius.” Pius akamtizama. “Unauhakika na unachotaka kufanya? Maana
ukumbuke Raza ni mama watoto wako na mkeo wa ndoa ya kanisani.
Utafanyaje na wanao wakijua umemfunga mama yao? Maana kwangu Mina ni
mteja wangu na nimeahidi kusimama naye. Na mimi sijipingi. Kwa
hiki nilichokiona hapa, siwezi kukiacha. Naendelea kuanzia hapa.
Wewe usaidie au usisaidie, jua Raza nitampata tu, na ushahidi nitatengeneza
hata kama itachukua muda mrefu, nitakamilisha tu kesi yake. Sasa je, wewe kweli
unataka kuendelea na hili? Maana unaweza jitoa, ukaniacha niendelee.”
“Nisipomlinda
mimi kijana wangu, nani atamlinda? Mimi nina jukumu kama baba Sonia.
Siwezi kumuachia Mina kila kitu. Nataka yeye ahangaike na malezi ya
mtoto tu. Mengine mimi ndio nifanye. Kumuacha hivi Raza, kwa kisingizio cha
kuwa ni mama watoto wangu, nikuruhusu aangamize wengine. Huwezi jua
ukute hata Chezo naye anamfanyia madudu hayahaya! Na huwezi jua, pengine
ukimya wa mke wa Chezo kuna alichomfanyia. Haya, akiona mkewe hatulii,
unajua ni nini atamfanyia?” “Na kweli!” “Sasa nitaacha watu wa ngapi waangamie?”
Kimya Sonia akitafari.
“Haya, kwa tabia
hii ambayo nitashindwa kuikomesha, unajua umbali gani atakuja kwenda kwa
yeyote atakayesimama kwenye malengo yake? Wazazi wangu? Watoto
wangu wenyewe? Wakwe zangu watarajiwa? Wajukuu na vitukuu?
Haya, atakuja fundisha nini binti zangu kama si haya ayafanyayo
na kufanikiwa? Watoto wangu si watakuja kujua njia za mama yao ndio sahihi
WAJIFUNZE kwake! Hakika SIWEZI mruhusu Raza aendelee kuwa hivi. Hata
kama watoto wetu watakuja nichukia, ila ni kwa faida yao pia.” Pius akazidi
kufikiria na kukumbuka.
“Huyu Raza anapika
mpaka kwa wazazi wangu na kwa dada
yangu. Unajuaje kama hayo mavitu anayoweka humo kwenye vyakula
vyangu anawawekea ndugu zangu wote ili tu kufikia malengo yake?” “Ngumu
kujua!” Sonia akajibu akikumbuka majibizano kati ya Raza na mganga wake akimuuliza
kama kweli hakusau kumuwekea mumewe dawa alizompa, kwenye vyakula
vyake hata mara moja na kama anauhakika hajatoa ya kwenye mto anao lalia
Pius. Sonia akaguna.
“Siwezi muacha Raza aendelee hivi. Kwanza hata
yeye namuogopa kuja kuwa naye karibu tena.” “Basi acha nifanye
mawasiliano tutoke. Nitakuwa meza ya pembeni yenu. Na lazima kumrikodi.” Wawili
hao wakafanya makubaliano yao. Wakaweka mipango.
~~~~~~~~~~~~~~
Kisha akamtumia
ujumbe Raza, sehemu na muda anaotaka wakutane. ‘Nakusisitiza tena Raza,
usichelewe.’ Kisha akamgeukia Sonia aliyekuwa na yeye
kwenye simu yake kama ambaye anawasiliana na mtu kwa ujumbe, “Acha nitangulie.
Mtanikuta.” “Na sisi hatutachelewa.” Yeye Pius akatoka.
~~~~~~~~~~~~~~
Pius Anatafuta Ukweli Kwenye Kivuli Cha Giza Nene.
Tuendelee Mbeleni
Kuona Atakayokumbana Nayo Pius Anapomchunguza
Bata Zaidi.
0 Comments:
Post a Comment