Hakuna sehemu akapita Mina asisifiwe. Alijaa
neema kwa kumtizama tu hivi, alipendeza kuliko hata Raza. Kwa kuwa yeye alijaliwa
uzuri na mvuto, halafu akapata anachokitaka na zaidi. Alimpata
Pius wakumbembeleza na pesa yake. Basi furaha wakati wote. Mama
yake ndio alikuwa akijivunia haswa. Hata wenzake aliokuwa amewaacha wakiendelea
na shule kwa ngazi za juu, Mina akihangaika na wanaume, huwezi kuwalinganisha
na Mina wa SASA.
Gari safi na lilionekana la thamani. Yeye mwenyewe
msafi kuanzia unywele mpaka kucha. Afya nzuri, mtoto msafi na afya bora.
Akisema nimeolewa na Andy Ruhinda, basi kwa umaarifu wa Pius hapo
nchini, watu wanajua Mina ameolewa pazuri na kwa wasomi.
~~~~~~~~~~~~~~
Katikati ya mwezi wa tatu wa mumewe kuwepo safarini matokeo
ya mwisho ya shule ya Mina yakatoka. Mina akapigiwa simu na rafiki yake
aliyekuwa akisoma naye kuwa matokeo yamebandikwa kwenye ubao wa matangazo
chuoni hapo IFM. Akamuomba amwangalizie. Yeye akawa anahitajika kurudia
masomo mawili, Mina akawa amepita YOTE. Mina aliruka ruka mpaka akaumia mguu, akaamua
kutulia.
Kukaa chini, ndipo akamkumbuka mumewe. Akatamani kama
Andy wake angekuwepo akasherehekea naye. Akakumbuka ada aliyokuwa
akimlipia bila kinyongo.
Mina mwenyewe akachukua simu nakumpigia. “Mina!?”
Akasikia sauti ya Andy. Akaingiwa na hali ya ajabu kusikia sauti ya mumewe
akiwa ametulia. Akasikika Andy mwanaume aliye fall in Love naye. Andy wake wa zamani. “Andy?”
“Ni mimi, Mina.” Wakatulia kidogo, akamsikia amevuta pumzi kwa nguvu. “Najua huelewi Mina. Lakini nakuhakikishia safari hii ni tofauti
mpenzi wangu. Hakika nitabadili maisha yetu.” Mina akaanza kulia.
“Unakumbuka maisha yetu kabla hajaja Ayan?” Kimya Mina akisikika akilia. “Yale
yatarudi na zaidi. Nakupenda Mina, na sikukusudia kukuumiza.
Nimepata muda wa kufikiria, kweli nimeona nimezidisha kazini. Nakiri, nililemea
upande mmoja. Na ninakuahidi mpenzi wangu, nikija na kuona bado mambo
yanakuwa hivi hivi, nitaacha kazi huku, nitafute kwengine ambako kutanifanya
tuwe wote.” Ikamgusa Mina, lakini akaona anyamaze tu asije
kufurahia bure yakawa yaleyale.
“Na ujiandae. Nikirudi tu, nakuchukua
nakupeleka sehemu ukapumzike kabisa. Ukijua mimi nipo. Sawa?” “Matokeo yametoka Andy.” Mina akabadili mazungumzo. Andy akaelewa kuwa hajamwamini.
Akaona amuache vitendo vije vizungumze. “Yakoje?” “Ndio maana nimekupigia ili nikushukuru.” Akujifuta
machozi ili azungumze vizuri. Akatulia na kuendelea.
“Asante kwa kuniamini kuwa nitaweza, na
kwa kunilipia ada. Bila wewe sasa hivi ningekuwa nimebaki na kile kile cheti
cha ngazi ya chini sana. Juzi nilikuwa nikiangalia kazi, nikaona kazi nyingi tu
kwa hiki nilichosomea. Kuna kampuni niliwapigia simu kuomba kazi, wakaniuliza
cheti kama hiki nilichosomea sasa hivi ili wanipe kazi. Wakaniambia cheti
kikitoka, niwataarifu taratibu nyingine ziendelee. Ninachotaka kusema, ni nimefurahi
kuwa kitu nilichosoma nikizuri. Kazi zipo na hata nikiamua kujiajiri, naweza.” “Kumbe unampango wakuanza
kazi!?” Andy akauliza kwa mshituko.
“Kama hujanisikiliza tokea mwanzo, basi
naomba niseme kwa kifupi, asante.” “Nimesikia Mina! Lakini
sikujua kama unatafuta kazi!” “Mimi sikujaliwa moyo kama wako Andy. Siwezi
kumuacha mtoto wangu akikua kama yatima. Akikuzwa na watu baki
wakati anao wazazi! Mimi siwezi kuhangaika kutafuta pesa, kama hivyo wewe!
Namfikiria mtoto wangu kwanza.”
“Najua pesa ni nzuri sana tu, lakini kama
watoto wanashindwa kutunzwa au kuzitumia, binafsi naona hazina faida. Ni heri
niendelee kukaa hapahapa ukinihesabia, lakini nimuone mtoto wangu anakua
nikimuona. Najua Ayan hatakuwa mtoto daima. Atakuwa tu mwanangu na mimi
nitakuwa huru kufanya ninachotaka akiwa shule. Hata hivyo nimebakisha kidogo
sana aanze kuweza kujitegemea. Akiendelea hivi hivi na afya yake nzuri hivi
hivi, nafikiria mwakani nimwanzishe shule.” Andy
kimya. Anamsikiliza Mina na mipango ya mwanae yeye hayupo.
“Najua hufahamu hilo kwa kuwa hujaishi
naye. Lakini Ayan anauelewa mkubwa sana. Nakumbuka ulisema labda aanze
shule akifikisha miaka mitano, lakini jinsi ninavyomtizama na wanao bahatika
kuwa naye karibu, kila mtu anamsifia kuwa anauelewa mzuri sana. Babu
yake pia anamuona anaweza kuanza shule mwakani. Tena amejaribu
kuzungumza naye, ameniambia jinsi anavyomuona, ameshapita ngazi ya chekechea.
Anafaa aanze shule ya msingi. Ameniambia nimjaribishe tu, nikiona analemewa,
ndipo nimrudishe chini kitu ambacho hadhani kama atashindwa.”
“Sasa Mungu akijalia, akiweza mambo ya shule
vizuri nikajua atakuwa akiwa shuleni, basi ndipo na mimi naweza nikatafuta
kazi. Nikikusanya pesa yakutosha, na Ron amesema nikiwa tayari kama nikiwa na
upungufu wa pesa, ataniongeza ili nirudi tena shule nikajiendeleze.” Andy kimya.
“Basi ni hilo tu. Nilipiga kukushukuru
Andy. Asante na Mungu akubariki. Huko ulikotoa, pakaongezwe.”
“Naomba usikate simu Mina.” Andy
akamuwahi. Mina kimya. “Najua umekata tamaa na..”
“Hapana Andy, nimechoka na umenishangaza vile ulivyo. Sikujua
kama naolewa na mtu wa aina yako Andy.” “Kwa hiyo ungejua ungefanyaje?”
“Ningefikiria mara mbili.” Mina akamjibu bila kusita.
“Nisingekimbilia ndoa na kujiachia
kuzaa nikijua alichokifanya mama yangu, KULEA watoto peke yake ndicho kitanipata
na mimi. Sikuwa na haraka ya kuolewa wala kuzaa. Mimi bado
mdogo sana. Lakini wewe ukaniaminisha vinginevyo, kumbe mimi nimekuwa ni
kama moja ya miradi yako ambayo ulijipangia kwenye maisha kuwa nilazima
utimize. Uoe na upate mtoto, basi! Sio kwamba ulitaka mtu wa kuwa naye
maishani.” Mina akaendelea.
“Hujui na wala huwezi
mahusiano ya kimapenzi Andy, bali..” “Najua umekasirika Mina, lakini
naomba usiseme hivyo.” “Mimi nakwambia ukweli Andy. Pengine itakusaidia
baadaye. Watu hawaishi hivyo. Hakuna mahusiano yanayoongozwa
hivyo. Upo na mwenzio lakini unaamua kujiamulia mambo kama upo
peke yako! Mume na baba, unazunguka huru tu bila hata kuzungumza na
mwenzio wala hujali!” Andy kimya akipewa
shule na mtoto mdogo wa mwalimu.
“Hivi umeshajiuliza ni nani ananiuguza
ninapokuwa mgonjwa? Au huko ni mbali maana hata ulipokuwa hapa nchini ilikuwa
ngumu kunipigia simu tu kunijulia hali yangu mimi kama Mina. Umeshajiuliza
huwa nashinda wapi siku nzima ambazo wewe haupo mjini na mimi ni mwanadamu? Na
umeshajiuliza nikiwa na shida, nani ananifariji? Au hujali?”
“Najali Mina! Na ndio maana nimeahidi nitabadilika. Nita..” “Mimi naomba
kukuaga Andy.” “Mbona unanikatisha hutaki kunisikiliza?” Andy akauliza kwa kuumia.
“Chakwanza, mimi sio kama wewe. Mwenzio nina
mtoto. Ninajukumu na ninawajibika kwa mwanangu. Wewe upo huru huko Ulaya, huna
shida. Hujui kama amelishwa au amebadilishwa diaper. Hujui kama anausingizi au
amekasirika. Hayakuhusu. Kwa kuwa
hayo ni mambo madogo madogo sana kwako. Usiku unalala kama kijana mdogo usiye
na majukumu. Mwenzio hayo ndio maisha yangu ya kila siku, kila wakati. Siwezi
kukaa hapa naongea na simu na wewe ambaye labda ukitoka hapo unakwenda kulala
pazuri na patulivu. Huna mtoto atakayekulilia maziwa usiku wala mwenye homa.”
“Halafu Andy, mimi sio mtoto mdogo. Naweza
nisiwe ni kiongozi wa Zone, kanda ya kati sijui au kuwa nimesoma kama wewe, lakini nina akili.
Acha kunidanganya nakunifanya mimi mtoto mdogo. Wewe endelea na hayo
maisha yako uliyochagua kuyaishi, acha na mimi nijipange.
Nimeshaelewa aina ya ndoa tuliyo nayo, acha mimi nitafute jinsi yakuishi. Kwa
heri Andy.”
“Naomba ukiwa na nafasi, hata kama ni usiku
sana, unipigie.” Kimya. “Mina?” Kimya. “Naomba
nikuombe kitu.” Kimya. “Naomba weka video nikuone wewe na mtoto.” Akashangaa simu imekatwa. Andy alipojaribu
kupiga tena, ikawa haipo tena hewani.
~~~~~~~~~~~~~~
Kwa zile kelele za kushangilia matokeo, akawa
alishamwamsha mtoto aliyekuwa anapata usingizi wa mchana. Akamsikia mtoto wake
akiongea kitandani. Akaamua kwenda kumtoa kitandani kwake. Ile kusimama, mguu ukagoma.
Maumivu makali hawezi kukanyagia mguu. Mina hakuamini. Akajaribu tena. Maumivu makali
kabisa.
Alichofanya ni kuwasha simu na kumpigia Pius.
Akamweleza, hapo hapo akaja. Alikuwa ofisini ambako si mbali na hapo.
Akamchukua Mina kwa kumbeba na mtoto akampelekea hospitali. Baada ya vipimo,
akaonekana hajavunja mfupa, ni kutenguka tu. Akafungwa kidogo na kuandikiwa
dawa za maumivu nakushauriwa aupumzishe kabisa huo mguu. Wakaruhusiwa.
~~~~~~~~~~~~~~
“Pole sana.” “Asante. Ila unauma!” Mina akalalamika.
“Basi twende tukanunue dawa na wine.
Maumivu yakiisha, tusherehekee. Umejitahidi sana Mina. Kwa mazingira
yale na bado umefaulu! Lazima tusherehekee.” Mina akacheka. “Asante.” Wakati
wapo njiani kununua dawa na vinywaji, Mina akampigia simu mama yake na Ron
kuwapa habari njema. “Ni hivi tu nipo mbali. Ningekuja
kukupongeza mama. Hongera sana.” “Asante mama, wala usijali.” Mama Ron
alikuwa safarini.
Pius alinunua dawa, vinywaji na chakula. Wakarudi
nyumbani. Njiani akampigia simu mama yake kumtaarifu Mina ameumia mguu,
ameambiwa apumzike. Basi mama Ruhinda akaahidi kumtafutia msaada wa mfanyakazi
haraka, kwake na mtoto kipindi hicho mgonjwa. Hilo likakaa sawa.
Hayawi Hayawi Yamekuja Kuwa.
Kulikopandwa Penzi, Kunavunwa
Mapenzi
Mpaka wanafika nyumbani kwa Andy ilikuwa usiku. Ayan
analia njaa. Alichofanya Pius jioni ile nikumpa maziwa mtoto huyo anayekunywa
maziwa kila wakati. Akaanza kumtengenezea chakula chake. Kile kile alichonunua.
Akamuweka kwenye kiti chake, hapo alishakuwa amempa dawa za maumivu Mina.
Akamlisha Ayan wakati mama yake naye anakula. Akamuogesha wakati Mina naye
anaoga. Alipomaliza kumuogesha na kumvalisha nguo za kulalia, akaenda kumuweka
kitandani na chupa yake nyingine ya maziwa. Pakawa kimya.
“Usilale bwana, tusherehekee kidogo.” Akamkuta Mina amejilaza chumbani kwao.
“Nilijua utakuwa umechoka, unataka kuondoka.” “Hapana bwana! Umefanya jambo
kubwa, unastahili pongezi.” Kwa makusudi, Pius akijua Mina hanywi, akanunu Champagne yenye kileo. Lakini tamu.
“Usitoke hapo kitandani. Nisubiri hapo hapo
nikuletee champagne.” Akaingia ndani
kabisa pale chumbani. Akampangia mito mgongoni vizuri, Mina aliyekuwa amevaa
nguo za kulalia tayari, akakaa kama ameegemea. “Naona hizi dawa za maumivu
ulizonipa zinanilevya. Ni kali sana eeh?” “Ulipolalamika maumivu makali,
nikamuomba yule daktari akuandikie hizo ili uweze kulala, upumzike vizuri.”
“Nashukuru shem.” Mina akafurahia hilo.
Akaenda kuleta glasi mbili. Nzuri. Akafungua na
kummiminia hiyo champagne
kwenye hizo glasi. Wakagonga glasi, akamwambia Mina anywe yote kama maji. Mina
akacheka na kufanya hivyo. Na kwa kuwa ilikuwa tamu akacheka sana
kuifurahia. “Mbona tamu hivyo!” “Unataka tena?” Pius akamuuliza huku akicheka.
“Naona niongezee kidogo.” Akamuongezea, akanywa glasi ya pili yote. Akaanza
kucheka zaidi, na kujitoa kwenye shuka. Anacheka kweli! Pius akamuwekea na
ya tatu lakini yeye hakuwa hata amemaliza glasi ya kwanza.
Alipomuwekea glasi ya tatu, akaenda kumletea wine, tena kali. Akamwambia ajaribishe. “Itakuwa chungu
shem!” “Usiku wa leo nataka uniite jina langu, Pius sio shem.” Mina akacheka
sana.
“Pili, leo ni siku yako bwana. Jaribu.” “Sawa shem.”
Kichwa kikiwa kimeshapokea kileo chakutosha, akakubali bila shida ili kumridhisha
shemejie anayehangaika naye. Mina akazidi kucheka. Pius akamuwekea glasi moja,
akamwambia anywe yote kwa mara moja. Akafanya hivyo. Akazidi kucheka Mina bila
kunyamaza.
Akamuona anavuta ile chupa yote ya wine. “Kwanza wala sio chugu. Ni uoga tu.” Pius akacheka
na kumuangalia kujua anachotaka kufanya. Akamuona anaanza kuinywa kwa chupa.
Akaendelea kunywa kama maji huku akicheka.
“Nakumalizia.” “Leo siku yako. Wewe furahia tu.” Pius
akamruhusu, Mina akainywa yote akamaliza.
“Shem?” “Ukiniita hivyo siitiki.” Mina akacheka
sana akiwa amelewa, hajitambui kabisa. “Haya Pius.” “Hapo sawa. Unakuwa
mtoto mzuri. Njoo nikupongeze.” Akaenda kukaa pale kitandani. Akamtolea
zawadi ya mkufu mzito haswa. “Huu wako Mina.” “Asante Pius.” Mina akashukuru
huku akicheka. “Nataka wewe ndio univalishe.”
Akamgeuzia mgongo akiwa amepiga magoti hapo kitandani
na kumvalisha huku macho yanatembea kiunoni kwenda chini. Alipomaliza
Mina akageuka akiwa na cheko la kuridhika. “Naomba nikushukuru shem.”
“Nimekuomba leo uniite jina langu!” Mina akatoa cheko la aibu la kilevi.
“Samahani, nasahau. Basi naomba nikushukuru
Pius.” “Karibu.” Mina akajivuta karibu kabisa. “Umekuwa faraja yangu.
Upo na mimi wakati wote wa shida na raha. Unanijali kupita
ninavyostahili. Una..” “Unastahili zaidi Mina. Ni mambo tu yanakuwa
mengi.” “Hata hivi naridhika Pius. Sijawahi kuwa na shida, ukakosa kuwa
na mimi mpaka nashangaa!” Pombe ikamsaidia Mina kutoa yale ya moyoni.
Akaongea mengi ANAYORIDHISHWA na Pius. Vikajaa vilio na vicheko akimkumbusha
hili na lile anayomfanyia.
“Hakika unanijali Pius. Hutaki hata kunisikia nalalamika!
Usiku na mchana unahangaika na sisi, mpaka nakuhurumia!” “Kwa
kuwa nakupenda Mina.” “Wewe nakuamini kama unanipenda Pius.
Unakumbuka siku ile usiku ulikuja nilipokwambia Ayan anapandisha homa?
Ukanipeleka hospitalini na kukaa na mimi mpaka nikaruhusiwa! Tuliporudi
nyumbani nilitamani kukubusu.” Pius akacheka. “Sasa kwa nini
hukunibusu?” “Nakuogopa shem! Wewe ni mtu wa maadili sana. Nilihofia
usije ukafikiri navuka mipaka.”
Mina akiwa na pombe akaliongea hilo alilokuwa amelificha moyoni.
“Ni kweli kwa mwengine nisingekubali.
Lakini sio kwako Mina. Ningepata hiyo bahati, ningefurahi sana.” “Kweli
ungeona ni bahati?” “Kabisa.” “Kwa hiyo sijachelewa?”
Pius akacheka kwa pozi. “Hata kidogo.” Mina akacheka taratibu kama
anayefikiria. “Nini?” “Mambo mengine tuache tu shem.” “Nilikwambia uwe
unaniambia kila kitu. Usiwe unanificha Mina. Au huniamini?” “Nakuamini
ila sitaki unifikirie vibaya ukadhani nina tabia mbaya.” “Sio mimi Mina. Kwangu unaweza kuzungumza lolote
lile na nikakuelewa. Najua unapopita.” Pius akajua kwa pombe ile
aliyokunywa Mina, atamjua moyo wake.
“Niambie Mina wangu.” “Wakati mwingine nakuwa mpweke Pius. Najua unanitunza kifedha, lakini na mimi huwa
natamani kupendwa kama mimi Mina. Andy alianza na mimi vizuri, akanizoesha vibaya. Mikononi kila wakati na mapenzi ya hapa na
pale. Ghafla akakata kila
kitu. Anaweza akaja hapa, hata asiwe na muda na mimi! Anakuwa kama hanioni wakati huko nje kila mtu ananitamani na kunisifia!”
“Hata mimi nakusifia Mina. Wewe ni mzuri.”
“Lakini sivyo anionavyo Andy sasa hivi. Anaweza akalala na mimi bila
hata kunigusa!” Mina akaendelea.
“Unakumbuka ile safari ya Bagamoyo?” “Nakumbuka.
Hukuniaga Mina!” “Samahani, Pius. Ningejua nisingeacha kukuaga. Na wala
usifikiri nilifaidi! Andy alikuwa busy na
simu, tukakosa maelewano. Na wala hakunigusa
mpaka tunaondoka kule. Nahisi sijui amenikinahi!”
“Mimi nakufikiria Mina. Na ndio maana nipo hapa
na wewe. Unathamani kubwa sana kwangu.” “Najua upo hapa kama
shemeji. Lakini kama Mina je? Wakati mwingine natamani hata uwe unanikumbatia
tu. Lakini najua nikuvuka
mipaka. Unaweza usinielewe!” Mina akajilalamisha asijue anavyo mfurahisha
Pius.
“Sio kwangu, Mina. Njoo hapa.” “Sitaki unifikirie vibaya
shem!” “Usiwe na wasiwasi na mimi. Leo nakupa ruhusa yakufanya chochote
ulichokuwa ukikitamani kwangu.” Mina akacheka kwa aibu. “Usiogope. Niambie
chochote unachotaka nikufanyie, nitafanya.” “Kweli?” “Nishawahi kukudanganya?”
“Hapana Pius. Wewe unanijali.”
“Basi niambie
umekuwa ukitamani nini.” “Nikumbatie kwa nguvu, ndipo nitakwambia.” Pius
akajiegemeza kwenye kitanda cha mdogo wake, akamvuta Mina akawa amemlalia juu.
Mina akajilaza kwa shemejie vizuri, akakumbatiwa asijali nguo nyepesi ya
kulalia aliyokuwa nayo mwilini ambayo tayari ilishamuacha sehemu kubwa wazi.
Akatulia juu ya mwili wa shemejie. “Umeridhika?” Pius
akamuuliza, Mina akatingisha kichwa kukataa. “Nataka kukubusu.” Pius akatoa
tabasamu la ruksa. Mina akajivuta mpaka midomoni. Akaanza kunyonya
midomo ya shemeji yake. Pius akajua pombe inamsaidia kumtoa kile kilichopo
ndani tu. Na yeye alishamtamani.
Pius akarudisha mabusu huku akimpapasa kwa uchu wote,
asiamini kama amempata Mina kwa urahisi vile. Akaendelea kumpapasa
akijitahidi kuvuta nguo juu makusudi ili ashike mwili wake. Mina akambadilishia
sauti. Akaenea juu ya mwili wake na kuanza kuhangaika hapo, mwili mzima ukitetemeka kama sufu. Pius
akazidi kuchanganywa.
“Naomba kuitoa hii nguo ili nipate uhuru wa
kukushika vizuri Mina.” Kwa haraka sana kama aliyekuwa akisubiri hiyo bahati,
Mina akapiga magoti mbele ya shemji yake nakuanza kutoa ile gauni ya kulalia na
kuitupa sakafuni. Pius akajikuta matiti ya Mina yakimwangalia. “Unamatiti mazuri Mina!” Mina akacheka na
kujishika matiti yake.
Pius akabaki ameduaa kama panya kwenye mtego, anatetemeka mwili mzima, kuona mwili wa binti huyo aliyekuwa akimtamani
kwa muda mrefu. Mwili huo ulifunguliwa kwa wazi kabisa. Mina akawa amepiga
magoti mbele yake. Juu akiwa mtupuu! Na chini amezibwa na chupi nzuri, nyepesi.
Hips iliyochungulia hapo chini ya chupi, kiuno
chembamba kama hajazaa! Paja zito. Pius hakuamini mdogo wake anawezaje
kupitisha miezi bila Mina! “Unataka nitoe kila kitu?” Mina akauliza kama
anayeomba.
“Mina wewe unavutia!” Mtoto huyo alikuwa
akiwaka hapo kitandani mbele ya shemejie ambaye bado alikuwa na nguo zake kama anayejishauri, na kujionya asivuke zaidi ya hapo. “Natamani
unishike Pius!” Mina akaendelea kubembeleza.
“Kweli?” “Kweli Pius. Unamwili mzuri. Midomo yako mitamu! Nimenyonya
lakini sijaridhika. Mbali ya hivyo nataka kukushukuru kwa dhati. Nilikuomba
Pius, unakumbuka? Ila kama sio sawa kwako, naelewa kabisa. Sitakuchukia.”
Hali ya Pius ikazidi kuwa mbaya. Kule kujishauri akijuta hata kufika pale, kukashindwa
na sauti ya Mina aliyekuwa bado amepiga magoti mbele yake.
Kwa haraka sana akashuka pale kitandani nakuvua nguo zote
akabaki na yeye kama alivyozaliwa mbele ya Mina akiwa amesimama pembeni ya
kitanda. Mina alipoona hivyo akajua amekubali, akataka kuvua chupi
yake. “Naomba mimi ndio nimalizie Mina.” Mina akacheka kwa furaha, akajilaza
chali. Pius akapanda kitandani.
Cha kwanza akakimbilia kifuani na kuanza kuminya
hayo matiti kwa hamu kama aliyechanganyikiwa. Akazidi kuchanganywa na
kunung’unika kwa Mina. Akapeleka midomo hapo kwenye matiti, akinyonya huku
akiyashika kwa wakati mmoja.
Mkono mmoja ukaanza kumtoa chupi huku midomo
ikiendelea kufaidi matiti ya binti huyo mdogo, mke wa mdogo wake. Mwili wake
yeye mwenyewe uliendelea kutetemeka, asiamini hatimaye na yeye ameweza kumgusa
mtoto huyo kwa uhuru wote. Akijua wazi usiku huo ni yeye ndio atasema basi,
kwani hapatakuwa na muingiliano, na Mina ndiye amembembelezea penzi,
amelewa hajitambui. Hapo alikuwa amemng’ang’ania Pius, kama anayemuomba asimuache
usiku huo, hivyo hivyo.
Pius alijua anahali mbaya, lakini akajionya asiharakishe. Kwanza akataka kumtendea haki, lakini pia alikusudia afaidi kwanza
mwili huo kwa macho. Yale yote aliyokuwa akiyaona kwa macho ndani ya nguo, siku
hiyo akataka kuyaona na kuyagusa kwa nafasi.
Akaanza kumgeuza kulia na kushoto. Mbele na nyuma,
akishika. Anatetemeka yeye mwenyewe. Dogodogo ipo mbele yake! “Anawezaje Andy kuacha mtoto kama huyu!”
Mtumzima huyo hakuwa akiamini.
Mabusu yakashindikana, akaishia kumlamba na kumnyonya
kama pipi, kila mahali na kushindwa kupita kiungo hata kimoja. Akaanza sasa
mapenzi. Pius alifanya mapenzi na huyo mtoto kama kijana wa miaka 20.
Alimnyanyua Mina kila upande na kufanya naye mapenzi kwa kituo tena bila
haraka.
“Haki yangu
kwa kweli. Nimemsubiri na kumuhangaikia huyu mtoto kwa muda mrefu sana.” Akaongea Pius wakati akianza tena baada yakujiambia inatosha.
Hakujua nguvu zilipotokea, lakini hakuchoka. Mina akampa ushirikiano huku
akiita jina la Pius kwa kuridhika kila wakati kitu kilichozidi kumuamsha
Pius, asiweze kumuachia Mina ambaye naye alikuwa na staili nyingi zakumshangaza
Pius.
Hapakuwa na maumivu ya mguu tena, Mina anamtaka
Pius kwa kulia. Pius akafanya mapenzi na Mina, shemeji yake, hapo hapo
kitandani kwa mdogo wake. Alipoona Mina anaanza kusinzia, akamnyanyua kiuno
mpaka juu ya mapaja yake akiwa amepiga magoti. Akawa amemsogeza karibu.
Akapenya kwa shauku, “Hapo uliponigusa sijui ni wapi! Nasikia raha sana!” Akaongea
Mina taratibu. Pius hakutaka kupapoteza. Akashikilia hizo hips nakuanza mchezo taratibu, Mina akinung’unika mpaka
machozi.
Hakuna jinsi ukamwambia Pius ni kosa,
akakubali. Hawa watu walishawashana tamaa kwa muda mrefu sana.
Walishatamaniana ila hawakujua wanaanzia wapi, wote wakioneana aibu.
Usiku huo Pius akakata kiu na kujilipiza.
Alikuwa akimwangalia Mina kuanzia juu mpaka jinsi alivyomuingilia. Akainama
kuangalia asiamini kama ni yeye kwa Mina.
Akambusu pajani, kwani niguu yake ilitulia mabegani kwake. Alimbusu akiendelea
kufaidi penzi mwishoe akaishia kumnyonya paja huku akiendelea mpaka akamaliza. Alipomaliza tu, mzee ameshuka ila bado yupo ndani,
na Mina akazima kama mshumaa.
“Ni haki yake. Nimemchezea sana.” Akaongea Pius wakati anatoka. Akamsafisha mpaka
akaridhika. Akabaki akimwangalia na kuwaza anaondokaje. Akapatwa hamu ya
matiti yake. Akiwa amekusudia kumuacha, ili andoke, akagairi na kurudi
kifuani akamtoa tena nguo ila kwa juu tu ili kupata matiti yote kwa uhuru.
Akaanza kuyanyonya hayo matiti mpaka akajiamsha,
hamu tena. Uzalendo ukamshinda. Akamtoa tena nguo ya kulalia na kumvua
chupi aliyomrudishia mwilini. Akamnyonya kisimi na kumuacha na mate yakutosha.
Akampanua miguu vizuri, akamlalia juu na kujiingiza taratibu. Akajiwekea
titi mdomoni, akaanza taratibu tu, Mina amelala hana habari. Pius alihangaika
na huo mwili usiku huo mpaka yeye mwenyewe akaishiwa nguvu. Akamsafisha tena.
Akabaki akimwangalia vile alivyolala pale kitandani.
Ikaanza sasa kazi ya kumuaga. Mara amnyonye
midomo. Agundue na shingo ni nzuri, basi atatoka midomoni, atarudi kunyonya na
shingo, akifika kwenye matiti anajiambia kidogo tu, ndio aondoke. Hapo atatulia mpaka akajiambia ni lazima
kuondoka kabla asubuhi haijamkuta hapo.
Akayashika kidogo hayo matiti, akamgeuza
kushika na kuangalia hilo tako la Mina. Napo hapo akapotelea. Anashika
hili na kuacha lile akimbusu kwa uchu. Akamrudishia tena chupi akiwa
hajamtoa tena gauni.
Akamgeuza akarudi kutoa titi moja. “Hakika hii mara
ya mwisho. Huyu mtoto atanifanya nikeshe hapa.” Akajionya ila akaanza kunyonya
hilo titi alilotoa. Hapo napo akapotelea kwa muda huku mkono mmoja upo ndani ya
gauni kilo la kulalia akimminya hips zake. Akampapasa wee akinyonya hilo titi,
mwishoe akili ikamrudia kuwa ana kwake, na kesho ni kazini, ndipo
hatimaye akafanikiwa kumsafisha vizuri na kumrudishia vizuri, akaondoka.
Mina baada ya penzi zito na Shemejie.
Asubuhi Mina alitoka usingizini kila kiungo kinauma.
Hawezi hata kunyanyua kichwa. Akajikuta amelala vizuri na nguo zake vilevile
kama alivyovaa baada ya kuoga usiku uliopita. Mguu wake umewekwa juu ya mto,
safi na umefungwa vizuri kama vilevile alivyofungwa hospitalini. Akajaribu
kufikiria kilichotokea, kichwa kikamuuma, akajilaumu kupitiwa na
usingizi bila yakumuaga shemeji yake aliyemsaidia kwa moyo. Akavuta simu
yake juu ya meza ndogo pembeni ya kitanda. Akataka kufungua, akashindwa.
Akarudi kujilaza akapitiwa na usingizi.
~~~~~~~~~~~~~~
Kwenye majira ya saa moja na nusu, akasikia mlango ukifunguliwa.
Akajua ni Pius tu. Akaenda kumgongea chumbani kwake. “Ingia tu shem.” “Vipi?”
“Nina maumivu siwezi hata kusogea. Kichwa ndio siwezi hata kukinyanyua!” Pius
akampa dawa ya maumivu akijua wazi ni pombe nyingi aliyokunywa siku iliyopita.
Akamwambia apumzike tena na kuruhusu dawa zifanye kazi.
“Utajisikia tu vizuri. Na mama atamleta mtu wa
kukusaidia kazi leo. Nimetoka kuzungumza naye, amesema atafika hapa kama kwenye
saa nne.” “Nashukuru shem na samahani, jana nilipitiwa na usingizi nikashindwa
kukuaga.” Pius akaanza kucheka, akajua hakumbuki fujo zake.
“Bwana! Unacheka nini?” “Kumbe wewe si mnywaji
kabisa!” Mina akaanza kuona aibu baada ya kukumbuka alikunywa usiku
uliopita. “Nilikwambia sijawahi kunywa pombe hata mara moja! Kwani
nilikufanyia fujo?” Mina akauliza kwa aibu huku akicheka. “Kidogo tu. Lakini
kwa kuwa ulikuwa na mimi, usijali.” Mina hakuridhika. Akaona aulize tena
kwa wasiwasi.
“Lakini sikufanya vitu vya ajabu?!” Pius
akacheka. “Nimekwambia usijali. Jua ulipata wakati mzuri na
hongera kwa kufaulu.” “Asante na ninakushukuru sana shem kwa msaada
wako. Asante kwa kila kitu. Mungu akubariki.” Heshima ikarudi kama
zamani. “Karibu. Ili sasa usipate shida, acha nimuhamishie Ayan hapo ili iwe
rahisi. Nitamleta na chupa yake ya maziwa.” Ikamgusa zaidi Mina.
Akajikuta machozi yakimtoka. “Nashukuru
kwa kujali shem.” “Usijali kabisa. Naomba usihesabu Mina.
Umenisikia?” Mina akatingisha kichwa kukubali huku akijifuta machozi. “Basi
naomba utulie kabisa. Naamini kila kitu kitakuwa sawa.” Pius akaenda kumtoa
mtoto kule chumbani kwake akiwa amelala, akamuhamishia kitandani kwa mama yake.
Akamletea chupa ya maziwa kabisa, ndipo akaondoka , asimwambie Mina kilichoendelea
usiku uliopita.
~~~~~~~~~~~~~~
INAENDELEA…
0 Comments:
Post a Comment