Naomi Simulizi |+1 205 767 8163 |naomisimulizi@gmail.com Love At First Sight - Sehemu ya 17. - Naomi Simulizi

Love At First Sight - Sehemu ya 17.

Ron akaenda kumgongea huko alipojifungia chooni. “Njoo ukae huku na mimi.” Akatoka akilia. “Nilikosa Ron. Na mimi nakiri nilikosa, ila nimebadilika. Sina jinsi nyingine ya kuwaaminisha ila kuishi kama ninavyowaambia, kuwa nimebadilika.” “Mimi nakuamini Mina. Naomba utulie ili uende kwa Andy ukiwa umetulia. Nilikuwa nikizungumza naye, amesihi chochote kisitokee ili leo mfunge ndoa. Andy anakupenda Mina.”

“Na mimi nampenda. Nakuahidi nitatulia, Ron. Na wewe niombee.” “Nitafanya hivyo. Njoo basi hapa utulie wakati tunasubiria kuja kuchukuliwa.” Ron akakaa naye hapo akianza kumchokoza kwa hili na lile akimtania mpaka akaanza kucheka. Mina asiyejua kuweka kinyongo moyoni akatulia kabisa.

Gari zikaja kuwachukua kuelekea katika kanisa hilo kubwa mjini Nairobi. Mina akiwa amependeza haswa.

Harusi ya Andy na Mina ikafungwa kwenye kanisa hilo na huyo askofu, kengele zikilia kuashiria agano hilo takatifu kati ya Andy na Mina. Ilipendeza sana. Na Andy akionekana na furaha, akiwa amezungukwa na watu anao wapenda wala usingedhania kama kuna mtu anapungua hapo.

Hapakuwa na mtu yeyote kutoka kwa Ruhinda, na Andy hakuonyesha hata kuna aliyepungua. Alijawa furaha ya kukabidhiwa Mina, ungemuona usoni. Kila wakati alirudia kumwambia Mina jinsi anavyompenda.

Ilifanyika tafrija nzuri sana kwenye ukumbi wa harusi hapo hapo jijini, mapema sana. Saa mbili kamili usiku sherehe nzima ikawa imekamilika. Mina akamuaga mama yake na Ron, akielekea mapumzikoni na Andy.

Maisha Mapya ya Mina & Andy.

Njia nzima wakielekea hotelini, Andy alikuwa akimbusu Mina. Mina mwenyewe alijua Andy amefurahia. Hawakwenda mbali sana na mji, walishushwa hapo na masanduku yao, mfanyakazi wa hoteli akawasaidia kubeba mpaka chumbani kwao. Andy alishindwa kusubiri. Alipotoka tu yule mfanyakazi wa hoteli na kuacha mizigo yake, akamsogelea Mina kwa haraka na kumtoa nguo kwa haraka huku akimbusu kila mahali kwa uchu wote, Mina akicheka huku akisema, “Unanitekenya Andy!” Mina alisikika akicheka kwa sauti mpaka ilipobadilika na kuanza kugugumia, Andy akajua ameshika sehemu sahihi.

Akamfurahia Mina kwa mara ya kwanza, akaanza kuelewa ni kwa nini huwa wanao muonja hawataki kumuachia. Mzuri kwa kumtizama akiwa mtupu. Anawekeka kitandani kwa urahisi, mwepesi na anatoa ushirikiano vilivyo.

Alimuhudumia mumewe usiku wao wa kwanza, Andy asiamini kuwa ndio amemmiliki Mina mpaka kifo. Kukawa na hakuna kupumzika. Mina alimpenda mumewe kitandani, asiamini kama ndio anaye maishani. Kila kitu cha Andy alikifurahia. Na alipenda vile anavyopenda matiti yake. Hata wakiwa wamepumzika, basi Andy alipenyeza mkono kifuani.

Watazungumza huku akichezea chuchu. Akizidiwa basi atatulia hapo akiyanyonya hayo matiti kwa utulivu kama mtoto aliyekuwa akitafuta faraja. Akagundua anakuwa mtulivu sana kwenye kifua chake, kama aliyekosa mapenzi ya mama akiwa anakua. Akawa anamng’ang’ania Mina kwa upendo kama anayemsihi asije kumuacha.

~~~~~~~~~~~~~~

“Mimi nakupenda Andy. Nataka tuwe wote mpaka kifo changu.” Andy akacheka maana Mina aliongea tu wakiwa ndio wameingia hapo chumbani. Akamgeukia vizuri. Mina akavua chupi mbele yake, akamvutia kwenye kochi mpaka Andy akakaa, kisha akamkalia. Alikuwa amevaa gauni zuri sana lililokuwa limempendeza.

 Andy akapitisha mikono kwa nyuma, akamtoa sidiria yakabaki matiti ndani ya gauni. Walitoka kula nje kwenye mgahawa ambao Andy alimwambia waende akamtembeze kidogo, aone jiji la Nairobi. Akamfanyia kama mtoto, akamtolea ziwa na kumuwekea mdomoni. Andy alifurahi sana. Akalipokea na kuanza kulinyonya taratibu huku akimchezea nywele. Akamuacha hapo kifuani mpaka Andy mwenyewe akatoa suruali mpaka magotini akiwa hataki Mina atoe ziwa lake mdomoni. Na Mina alishamjua. Akiweka ziwa mdomoni hataki amtoe mpaka atoe mwenyewe.

Alipotoa boxer yake, kwa furaka ya kunyonywa ziwa wala hakuhitaji matayarisho mengine. Akawa ameshalainika, akajinyanyua na kujiingizia mwenyewe, na kurudi kukaa vizuri. Akamuona anaweka ziwa vizuri mdomoni ili asishikilie, Mina akajua hiyo mikono inapewa jukumu jingine.

Alihamishia mikono yote miwili kwenye kila tako la Mina, akaminya kwa nguvu huku akimsukumia kwake, midomo ikimnyonya kwa hamu yote. Andy aliiependa hiyo staili kwakuwa alikuwa akipata ziwa na kumshika matako aliyokuwa akiyapenda sana. Mina alishamjulia, kwa staili hiyo huwa hajiwezi. Hata dakika tano kuwa hamalizi. Akajua ameshafika kileleni kwa jinsi alivyokuwa akimkamata matako kwa nguvu na anavyomnyonya. Mpaka akamaliza Mina akiwa amemkalia tu akisaidia kwa kukatika taratibu huku akijinyanyua. Alimaliza, mikono ikatoka kwenye matano na kurudi kiunoni ila midomo bado kwenye matiti akivuta pumzi taratibu. Ziwa la Mina ni kitu cha mwisho kabisa kutoka mdomoni kwa Andy.

Mina akatulia tu akamuacha mpaka aliporidhika. Akamuona anahamia titi jingine. Akalinyonya taratibu huku amefunga macho akivuta pumzi akijaribu kutulia mpaka akatulia kabisa. Akafungua macho na kuachia ziwa. Mina akamkumbatia vizuri kwa kuweka kichwa chake katikati ya matiti. “Nakupenda Mina.” Akasikia mikono ikimtembea nyuma.

“Kuna kitu nataka kukwambia. Ile tukaoge kwanza.” Wakatoka hapo, kuelekea bafuni. Alipenda pia kumsafisha Mina. Basi Mina atacheka hapo akilalamika anamtekenya.

Basi Andy akapiga magoti mbele yake, mikono kifuani akaanza kumnyonya kama kitoto cha mbuzi kwa mama yake. Mina alikuwa akifurahia akatamani asimalize lakini akasalimu amri. Akamaliza ndipo Andy akasimama. “Asante Andy.” “Karibu.” Wakamaliza kuoga bila mambo mengi, Mina akajua anataka kweli kwenda kuzungumza naye.

~~~~~~~~~~~~~~

Walifanya kila kitu na kujiweka kitandani. Mina alipoona hajiwekei ziwa mdomoni akajua kuna jambo anataka kulisema kwake. Akamvuta mkono na kuuweka kwenye titi lake. Andy akacheka na kuingiza mkono ndani ya nguo hiyo nyepesi ya kulalia. “Umenizoesha vibaya Andy! Sasahivi sisikii raha hata nikiwa nimekaa mpaka uwe unanichezea matiti.” “Sikujua kama unafurahia hivyo!” “Ni ile hisia ninayoona usoni mwako wakati ukiyashika au ukiyanyonya. Nakuwa nakuona kama unanihitaji mimi. Nasikia raha. Usiponishika naona kama mawazo yako hayapo kwangu!”

“Wakati mwingine nahofia kukuchosha!” “Mimi nataka uwe unanishika. Nakupenda Andy.” “Kwa hiyo hata ninavyolala nikiwa na kunyonya haikukeri?” “Wewe huoni ninavyolala haraka?” “Mimi nilijua unachoka!” “Sio kwako. Wewe ukinifanyia chochote nafurahia sana.” “Acha nikwambie ukweli Mina.” Akaanza akionyesha anataka kufunguka zaidi, ila akaendelea kumchezea chuchu.

“Mpaka leo, mimi sijajua ni kwa nini ni mimi peke yangu ndio wazazi walinichagua kunileta huku nchi ya mbali na nyumbani, tena bweni! Halafu ilivyokuwa mbaya zaidi, hawakuwa wakija kuniona. Nakumbuka muhula wa kwanza tu kuwa huku, niliporudi nyumbani, nilimuomba sana mama kurudi kusoma nyumbani kama kina Paulina. Nililia mpaka machozi, lakini nikarudishwa huku. Ile kitu ikaniuma sana.”

“Ikawa kuugua kwangu na furaha yangu ni huyu askofu wakati huo alikuwa padri tu. Ikaendelea hivyo mpaka nikaamini hakuna anayenihitaji.” “Na ndugu zako je?” “Utashangaa sana Mina. Sijui ilikuaje, ni kama tukatofautiana nao kabisa. Hapakuwa na mahusiano ndio maana nilirudi nchini ili kujaribu kujenga, napo imekua ngumu. Nikajihisi ni kama mtu ambaye sio rahisi kuhitajika na watu.”

“Ila nimekua nikiwa na uhitaji wa upendo wa mama kwa kuwa kwa upande wa baba, ni kama yule askofu aliziba pengo. Nikatamani kuja kupata mwanamke atakayenipa mapenzi ya kweli, angalau nipate mapenzi ya mwanamke.” “Mimi nakupenda Andy.” Mina aliongea vizuri na kwa upendo.

“Basi ndio ujue ni kwa nini sitosheki na wewe. Unanipa faraja niliyokuwa nikiitafuta kutoka mtoto. Nikiwa kifuani kwako natulia mpaka nafsi!” “Sasa hivi ndio naelewa kwa nini unapenda ku..” “Yanyonya matiti yako?” Mina akatingisha kichwa kukubali huku wakicheka. “Na umesema sikukeri?” “Hata kidogo. Mimi ni wako Andy. Na ujue sitakuacha wala kukusukumia kwa mwengine. Utabaki na mimi hata iweje. Mimi nitakung’ang’ania tu. Ila na wewe USIBADILIKE.” “Hata iweje. Kwanza mimi sina udhaifu na wanawake. Nimekuahidi kuwa mumeo, ujue utabakia kuwa wangu na peke yako daima.”

“Na mimi nitakua mwaminifu Andy.” Akamtoa nguo kwa haraka, akahamia chini. Baada ya kumnyonya mpaka akalainika kabisa, akarudi kifuani, akamlalia juu, ziwa mdomoni, mkono mmoja kwenye tako, Andy akaendeleza penzi bila haraka huku akinyonya titi, Mina akimpapasa mgongoni taratibu huku akilainisha kiuno. Kila Andy alipoingia alimbana uume wake ili tu afurahishe. Wakafanya mapenzi na usiku huo mpaka wakaridhika.

Wakarudi kuoga. Mina akarudi kulala akiwa amempa mgongo. Akamsikia akimpapasa matakoni. Mara aweke mkono hivi, mara vile ilimradi kumshika tu kama ambaye bado haamini kama mali ni yake. Akatulia tu akimuachia uhuru wote. Alipitisha vidole mbele na nyuma akimpapasa, alipoona mkono kifuani, akajua anatafuta ziwa ajipembeleze alale. Akalipata.

Akampapasa kwa muda, mwishoe akaona amgeukie tu. “Asante.” Akalidaka na kuweka mdomoni. Akaanza kunyonya, Mina akapotelea usingizini akiwa amemuachia matiti yote akihangaika nayo. Alishampigisha mabao ya kumtosha, mwili ukasalimu amri. Akalala kama kichanga huku akinyonywa matiti. Usiku huo ukaisha Andy mkimya akiwa amejitahidi kujifungua moyo wake kwa mkewe.

Nchini.

Baada ya siku nne, wakarudi Dar kwenye apartment ya Andy, Mina akiwa amejawa furaha na kuridhika. Ni Mina. Hana makuu. Anayemtaka ni Andy aliyemuwekea heshima kubwa vile, alikuwa na furaha sana. “Karibu Mina. Hapa ndio nyumbani.” Akamzungusha kwenye apartment hiyo ya vyumba viwili tu, kama mgeni! Lakini Mina akawa amejawa furaha kama amekabidhiwa ulimwengu mzima.

Hapo napo Mina akatoa sidiria akiwa ameshajua udhaifu wa mumewe. Andy akacheka wakati akimwangali anavyoitoa hiyo sidiria taratibu. Andy akamsogelea na kusimama nyuma yake. Akaingiza mkono chini ya gauni mpaka juu kabisa. Akaanza kupenyeza vidole vyake ndani ya chupi kwa mbele huku akimbusu chingoni, mkono mmoja kwenye titi.

Akapanua miguu ili mumewe amfikie vizuri. Mkono mzima wa Andy ukawa ndani ya chupi kwa mbele, wote wamegeukia mbele. Akaanza kumchezea mpaka alipojiridhisha na ulaini, akamtoa chupi na kumuweka kitandani. Penzi zito la kukaribishwa nyumbani likaanza. Kila waliposogea, ikapatikana sababu yakuanza mapenzi upya.

Jikoni akampatia staili ya kuinama, kisha mtoto wa kike anajikunja, mpaka mkono mmoja anafikia kengele zake. Basi Andy alikuwa akitamani kupiga yowe! Mchezo unaendelea huku mkewe akimchezea kengele zake. Hapo atasugua meno na kupiga bao kwa haraka sana.

Bafuni nako ikawa pia uwanja wao wa mapenzi. Sebuleni wakiwa wamekaa wakiangalia luninga, basi lazima kujisahau na kuhamia kwenye ulimwengu wao wa huba. Kila mahali, kila wakati, yalifanywa mapenzi ya nguvu na kuridhishana. Uzuri Mina mwenyewe aliupenda mchezo na kuujulia vilivyo. Hakuwa mvivu nao tokea anapevuka. Sasa kuja kuhalalishiwa dozi, hakujivunga, na Andy alimuona jinsi anavyofurahia bila kulalamika.

~~~~~~~~~~~~~~

Mina alikuwa akiamshwa na mikono ya Andy kwenye matiti. Basi hapo yatafanywa mapenzi ya asubuhi ya nguvu, ndipo Mina atakimbilia jikoni kutengeneza kifungua kinywa kwa Andy kabla ya kwenda kazini wakati Andy akijiandaa. Napo hapo akitoka na kumkuta Mina akiandaa kifungua kinywa, kama hataomba penzi la kuagana, endapo anao muda, basi ujue Mina ataagwa kwa mabusu marefu tu akichezewa matiti.

Mwezi huo wa kwanza hawakumtembelea mtu. Ilikuwa Andy kazini, nyumbani kwa Mina. Mina naye hata hakumtafuta mtu. Akatulia nyumbani akimsubiria Andy arudi kutoka kazini alee ndoa.

Mazoezi ya Andy yakawa ni mapenzi. Hakuna gym tena. Hatosheki na Mina. Chakula cha mchana kama hajabanwa sana, basi atakimbilia nyumbani kwa Mina. Apate penzi zito, ndipo ale na kurudi kazini.

Kwenye kochi kukawa uwanja mzuri sana wa mapenzi kwa wawili hao. Jikoni pia ndio usiseme. Kaunta za jikoni, Andy alizitendea haki na mkewe. Akimkuta amesimama hapo. Awe anaosha vyombo au kukata kitu basi ataanza kumtoa nguo za chini, nakujikuta zoezi linabadilika. Mikono itatembea huko chini. Mbele nyuma kwenye matako huku akimnyonya shingoni. Akishamsikia anamtoa sidiria, basi anajua anataka matiti. Hapo Mina atageuka na kumuachia kifua, penzi litaanza.

Mina alikuwa akifurahia sana aina hiyo ya mapenzi ya kushitukizwa. Wakati wote utasikia kicheko cha Mina akifurahia anachofanyiwa na mumewe.

Akiingia tu ndani, Mina alijua ataanza na mabusu kisha kumtoa nguo ya ndani, hapo mchezo utaendelea. Usingemkuta Mina mchafu wakati wowote kwani Andy hakuwa akitabirika. Na hivi nyumbani kwao ilikuwa karibu na kazini, muda na wakati wowote alimshitukiza Mina nyumbani.

Na hivi hakuwa akihitaji kugonga, basi Mina anaweza kuwa amejilaza kitandani, akishasikia mikono ndani ikimtoa nguo ya ndani, bila kufungua macho atacheka akijua ni mume wake amerudi kufuata penzi. Atajigeuza hapo kumpa mumewe uhuru wote wa kupita atakapo, wakiridhishana, ndipo Andy atarudi kazini.

Amani na furaha vikatawala akisubiria chuo cha IFM kifungue, aanze chuo kama walivyoahidi nyumbani kwao kwamba ndoa haitamzuia kusoma.

Mina Kurudi Nyumbani Kutembea.

Mwezi wa tatu ndipo wakaanza angalau kutoka na kwenda kanisani na kutembelea ndugu wa Mina. Mama na kaka yake. Walitoka kanisa la RC walilolichagua wao wawili kuwa ndipo watakapokuwa wakienda wao na watoto wao, ndipo wakaelekea nyumbani kwa kina Mina. Walikuwa wakiwategemea.

Kwa hakika Mina alikuwa amebadilika. Sio Mina yule mtoto. Alirudi nyumbani kama mke wa Andy. Amevaa vizuri na akapendeza. Walifurahi sana kumuona Mina. Zaidi mama yake ambaye waliachana vibaya. Ukimya wao akajua utabiri wa Ron umetimia. Amempoteza mwanae. Sasa kurudi nyumbani, akafurahia sana.

“Umependeza Mina mwanangu! Wote wawili mmependeza. Hongereni.” Andy na Mina wakacheka wakiwa ndio wameingia tu. Wazi walionekana wapo kwenye wakati mzuri. “Asante mama.” Andy akaitika, Mina akicheka tu. Akamshika mama yake mkono wakaelekea jikoni baada ya Andy kukaa. Wakawasikia wakicheka huko jikoni.

“Amemfurahia huyo mtoto?” Mina akashangaa sana. “Mtoto gani!?” Mama yake akajua Mina hajui kama ni mjamzito. “We Mina! Kwani siku zako umepata mara ya mwisho lini?” Mina akatulia. Hakukumbuka hata lini alivaa pedi akiwa na Andy.

“Mama!” “Ndio hivyo.” Mina akajishika tumbo. “Sasa mbona umepoa tena? Ndio baraka zenyewe hizo!” “Mimi najiona kama sipo tayari kuwa na watoto sasahivi! Tulikubaliana shule kwanza. Ikiisha angalau nitafute hata kazi ndio yaje maswala ya watoto!” Mina akakosa raha kabisa.

“Yaani tulishakubaliana kabisa nirudi shule! Hapa nasubiri tu chuo kifunguliwe!” “Sasa ndio ujue hiyo ni mipango ya Mungu, huwezi kuikwepa.” “Nitafanyaje mama?!” “Zungumza na mwenzio kwanza.” Mina akatoka hapo jikoni, Andy akamuona amebadilika sio kama walivyoingia hapo. Akamshika mkono kwa upendo. “Vipi?” “Nipo tu sawa.” Andy akabaki akimtizama kama Ron.

“Una nini wewe?!” “Niache Ron. Hayakuhusu.” Ron akaanza kucheka kishabiki. “Mwenzio nimekuwa mkubwa, sitaki tena uchokozi wako Ron!” Ikabidi tu wacheke.

Andy alipoona hali yake imebadilika hawakukaa sana, walipokula tu akaaga. “Tutarudi tena wakati mwingine mama. Naona siku imekuwa ndefu. Ngoja akapumzike. Naamini atakuwa sawa.” Mina alishapanda kwenye gari. Andy akamuaga mama yake na Ron wakaondoka.

Njiani Mina akawa kimya sio kawaida yake. Andy akamvuta mkono njiani na kuubusu. “Nakupenda Mina.” Andy akaongea kwa upendo. Mina akamwangalia na kunyamaza.

Walifika nyumbani Andy akafungua mlango, Mina akataka kupitiliza, Andy akamdaka mkono.

Akamkumbatia vizuri, akafunga mlango. Wakabaki wamekumbatiana wakiwa wamesimama. “Kuna nini?” “Nataka kurudi shule, Andy!” Mina akaongea kwa kulalamika. “Mbona ndio kinachofuata mpenzi wangu!” “Sasa mbona hukuhakikisha hilo limetimia?” “Kivipi tena?! Mbona kila kitu kipo tayari!” Andy hakuwa ameelewa. “Sasa nitasomaje nikikiwa na mtoto?” Andy akatulia kwa sekunde kadhaa kama ambaye hajaelewa. Mina akajitoa pale na kuelekea chumbani.

Pam&Mill

Hukuhitaji kuambiwa kama maisha ya Pam yamebadilika. Kuanzia harufu mpaka mavazi. Na vilibadilika kimyakimya mpaka kushangaza wenzie kazini na kubaki kujiuliza ni mwanaume gani amempata! Hilo likazidi kuwa kero si kwa Lona tu anayependa kushindana naye, ikawa sasa hata kwa Sandra bosi wake. Wivu ukazidi kumuumiza.

Gari aliyokuwa akiindesha Pam ilikuwa nzuri, ila haikuzidi ya Sandra ambayo ilikuwa kwanza ni ya garama, kisha mpya. Lakini bado aliona la Pam ni bora zaidi. Akaanza kumtafutia sababu, ilimradi tu. Ila sasa pakumpata Pam ikawa ngumu. Mkimya. Hazungumzi yake wala ya watu.

Jerry naye kama aliyeapishwa, hata mkewe hakumwambia mtu wa mwisho aliyekuwa akiwasiliana na Pam ni Mill! Na hata Mill alipofika nchini hakumwambia na hakujua mpaka anaondoka.

~~~~~~~~~~~~~~

Mapenzi ya mbali na ya kwenye simu yakaendelea. Mwishoe wakaona haitoshi. Wakaamua Pam ajaribishe kuomba Visa ya kumfuata Mill nchini Marekani. Mill akaandaa kila kitu. Akamjazia maombi mtandaoni akimuombea Visa ya kumtembelea. Akayafanya yote na kumuandalia mpaka nauli. Kimya kimya tu, hawakutaka hata Jerry ajue ili watu wa kazini wasijue. Lakini Mike na Kamila walijua.

Wakamsaidia kujiandaa kwa interview ya ubalozini. Akiwa na kila kitu chake na ushahidi wa kuaminisha anakwenda tu kutembea, atarudu nchini kwake si kuvamia huko Marekani, lakini WAKAMNYIMA Visa. Haikuwa uchungu tu kwa Pam, zaidi ikawa kwa Mill, aliyekuwa amechanganywa na Pam, anahisi kuibiwa huku nchini.

Akamsaka baba yake na kumuomba aandae mazingira ya kwenda kulipa mahari huko kijijini aliko mama yake Pam. Mzee akalipokea kwa mikono miwili akifurahia kushuhudia kijana wake mkubwa kuoa kabla hajaondoka duniani.

~~~~~~~~~~~~~~

Pam akamwambia mama yake, wakaweka mipango na kaka yake. Kabla hapajapoa baada ya kukosa Visa ili Pam asije akakata tamaa, Mill akarudi tena NCHINI na safari hii ikabidi isiwe siri. Jerry na Sandra kama rafiki wa karibu wa Mike na Mill ikabidi kuwashirikisha kwa nia njema kuwa anamchumbia Pam, wanakaribishwa na wao.

Adui Wa Mtu Ni Wa Karibu Yake.

Kwa makusudi, Sandra akiwa amejawa wivu akatangaza kwenye kikao cha siku inayofuata ofisini. Kwa hakika alizua ugomvi hapo. Wasichana wote watatu wakamgeuka Pam, kwamba ameiba mwanaume wa Lona. Sio sawa. Akawaacha wakigombana akarudi ofisini kwake akiwa amefurahia alichokitaka kimetimia.

Pam ni wale wasichana waliojaliwa good personality, kama Nanaa wa Simulizi wa ‘Ni Wangu!’. Chochote anachoweka mwilini, anavutia huwezi shindana naye. Ndio maumbile yake, alivyojaliwa na Mungu. Sasa Sandra yeye mvaa vya hali ya juu, na bado hakuwa akimfikia. Wivu.

Lona akazidi kulalamika akiumia kuwa hata siku ile alipokuja Mill pale na kutangaza kuwa yeye ni masikini waliweka tu show na Pam. Kwamba walikubaliana wafanye hivyo mbele ya watu kama kumtoa Lona kwenye picha. Maana kama ni kweli masikini, mbona maisha ya Pam yamebadilika gafla? Inamaana pesa ipo na Pam amemzidi mahesabu. Ugomvi.

~~~~~~~~~~~~~~

          “Kwa nini umefanya hivyo Sandra?!” Mumewe akamfuata ofisini na kumuuliza kwa kumshangaa sana. “Kwani ulitaka iwe siri mpaka lini?” “Kulikuwa kuna ulazima gani wa wewe kusema? Was not your story to begin with, so was not yours to tell!” “Hii kampuni ni yangu, na…” “Oooh! Kumbe ni yako na si yetu?!” “Wewe unajua ninachomaanisha Jerry! Acha kujidai kupaniki. Mimi ndio niliianzisha na misingi yake. Sasa hivi tupo…” Jerry akatoka. Ila wala Sandra hakujali.

Alilolitaka limetimia. Wote wajue na wao wamchukie Pam. Na alijua hao watatu watamsaidia kuyafanya maisha ya Pam kuwa magumu mpaka aache kazi mwenyewe. Kumfukuza aliona aibu kwa sababu ya mahusiano kati ya mumewe na Mill ambaye sasa atakuwa mume wa Pam. Halafu kina Mike ambao anaheshimiana nao sana, ndio hao sasa wanakua rasmi kina shemeji wa Pam. Inamaana wote wako upande wa Pam. Akashindwa kumfukuza kazi bila sababu ya kueleweka.     

Kuchumbiwa kwa Pam

Aisee kupenda ni kitu kingine. Mill alikusanya watu wake muhimu, akiwepo baba yake, Mike, Kamila, Jerry, Sandra na baadhi ya wadogo zake mpaka milimali, Mlalo kwenda kutoa mahari ndipo roho ikatulia. Ikafanyika sherehe ya KIMILA kama anayekabidhiwa mke kabisa. Ikawa ni harusi ya kisambaa kabisa.

Mama Eric alifurahi, angalau Pam amepata mwanaume wa kueleweka. Yaani ndani ya muda mfupi mpaka wafahamiane, wawili hao wakawa wamefika umbali mkubwa sana. Hilo likakaa sawa na kumfariji Pam kwamba hajakosea kwa Mill.

~~~~~~~~~~~~~~

Kazini kukawa na fujo ila Pam ametulia kimya akisikiliza na kuangalia jinsi wanavyopaniki. Maneno ya kejeli yakaongezeka. Na yeye akaongeza umakini wasije mpatia sababu huku akiendelea na Mill wake.

Baada ya miezi mingine sita baada ya kukosa Visa ya kwanza, Pam akarudi tena ubalozini kuomba Visa tena. Na safari hiyo pia akakosa akiwa na ushahidi wote wakueleweka. Ikazidi kumchanganya Mill.

“Itabidi sasa mimi nitafute uraia. Tufunge ndoa kabisa ya kanisani kama ushahidi. Nianze kukuombea Green Card, hapo hawatakuwa na sababu ya kukunyima.” Ukasikika kama ni MPANGO mzuri lakini hata yeye Mill alijua ni safari ndefu sana. Kutoka kuwa mwanafunzi mpaka aje apate uraia! Si mchezo.

~~~~~~~~~~~~~~

Aina ya Visa aliyokuwa nayo Mill ilikuwa F1, ya mwanafunzi. Yeye mwenyewe hata kupata Green Card alishindwa. Ilikuwa ikisumbua sana. Masomo ya kwanza aliyosoma na kuhitimu huko nchini Marekani, wazawa wengi walikuwa wakisoma. Sheria ya kampuni kumuombea mfanyakazi mgeni, Green Card, au hata kibali tu cha kazi, ilikuwa lazima aionyeshe serikali ya Marekani kuwa, amehangaika kutafuta mfanyakazi mzawa. Akakosa ndipo sasa inabidi amuombee MGENI. Kwa hiyo kwa njia ya kazini, kwa shahada alizosomea mwanzo, ilishindikana.

Anamtia moyo Pam kuwa itawezekana kwa yeye kumtafutia Green Card wakati hata yeye mwenyewe anaishi na Visa ya uwanafunzi iliyo na masharti kibao!

~~~~~~~~~~~~~~

Akaanza kuhangaika. Hataki kumuacha Pam nchini Tanzania, yeye hawezi kurudi nchini. Malengo yake yote, ramani yake nzima, ni kuishi nchini Marekani alikojua atafanikiwa kwa haraka sana. Kazi ya kurudi nchini kwa Pam ikaendelea. Hajulikani yupo Marekani au Tanzania. Anamtaka Pam kama aliyepagawa. Akija nchini hataki mtu mwingine, ila mwili wa Pam tu. Ajifungie naye mahali, mpaka muda ukiisha basi anaondoka nchini wanaendelea na mapenzi ya kwenye simu.

~~~~~~~~~~~~~~

Mbali ya Mapenzi, Uhalisia wa Maisha UNAANZA kuchukua Sura Yake.

Inaendelea…


CONVERSATION

0 Comments:

Post a Comment