![]() |
“Naamini umeelewa.” “Kweli Colins?” “Sijaweka mafumbo
humo ndani. Nimeweka wazi ili uelewe kwa urahisi. Na namaanisha kila
neno nililoandika.” Akazidi kumfurahisha Kamila. “Basi acha nikarudie kusoma
tena.” “Naomba iwe baadaye na mimi mwenyewe nikiwepo. Sasahivi
tunakusubiria wewe. Na Connie amekuja.” “Basi acha nioge. Nitakuja muda si
mrefu. Asante kwa kila kitu. Asante kujali. Nimefurahi sana.” Akazidi
kuvutiwa naye. Hana makuu. Hakumkumbushia lolote ila kufurahia tu.
Akajikuta anamsogelea na kumbusu shavuni mara moja.
Akajishika kama asubuhi yake akicheka kwa kuvutia. Akaongeza la pili, ila akaliongezea
muda. Kabla hajafika mdomoni akamuachia kama aliyekuwa akitunza hiyo kiss
kwa wakati muafaka. Akatoa tabasamu na kuondoka hapo.
~~~~~~~~~~~~~~~
Usiku huo ukawa usiku wa amani kweli kwenye hiyo
nyumba. Vilisikika vicheko mfululizo wakishindana kucheza karata. Colins
alikuwa na mama yake, Connie na baba yake, Kamila alikuwa na kazi ya kucheka
mwanzo mwisho. Wakacheza mpaka wakaridhika ndipo wakatawanyika kila mmoja
chumbani kwake.
~~~~~~~~~~~~~~~
Kamila alipoingia tu chumbani kwake, Colins akafuata.
Akaingia mpaka ndani na kumdaka vizuri kiunoni. Akampa kiss ya mdomo ya
kwanza. Kisha ya pili. Alipoona Kamila anataka tena, hapo ndio hatimaye Kamila
akapata midomo aliyokuwa akiimezea mate. Wakapeana kiss ya muda
mrefu wakiwa wamesimama mpaka mzee akasimama bila kutarajia.
Akashituka. Akamuachia midomo lakini akashindwa kumuachia
kiuno. “Asante kunivumilia Kamila.” “Nimefurahi Colins! Nimefurahi sana.”
“Kweli Kamila?!” “Sana.” Akawa kama hamuelewi.
“Hujanichukia?” “Umenikuta na Mike. Ukanivumilia.
Ukatembea na mimi mpaka nikaweka mambo yangu sawa. Si na wewe uliniomba ujiweke
sawa kwa Jelini?” “Ndiyo!” “Na nimekuona umekua muaminifu mpaka sasa.
Naamini umeweka sawa ndio maana umeni…” Akasita.
“Au nimekosea?” “Hapana Kamila. Hujakosea kwa upande wetu,
mimi na wewe. Ila kwa Jelini nimeona nihitimishe tu. Nimeona najipunja
bila sababu. Nikitaka kuendelea na Jelini nitajikuta nazeeka, simalizi.
Jelini anamsimamo katika yake, na amepata mwanaume wakueleweka.
Wala sitakuwa mchoyo wa sifa. Amepata mwanaume mzuri tu.”
“Sasa kama wengine wanaendelea na maisha yao, kwa nini
mimi nijipunje tena nimekupata wewe huna makuu! Mtaratibu. Moyo
wako umejaa upendo. Mvumilivu. Hujui kulalamika, wala
kuweka kitu moyoni! Nahisi Mungu alikuleta kwangu akijua madhaifu yangu.
Vinginevyo ningeishia na mtu ambaye ananikumbusha uwovu wangu kila
wakati, nisingefurahia maisha.”
“Nimetoka kwenye mahusiano magumu sana. Ni wewe tu
nahisi utaweza nisaidia.” “Mimi nitakupenda Colins.” Mpaka Colins akacheka.
“Kweli! Ukitulia, muulize Mill. Mimi sio muhuni. Nikiwa na mtu wangu, napenda
utulivu na amani. Nikikosea naomba tuzungumze. Mimi muoga.” “Umenifanya nitulie
kugomba. Kwanza umemaliza hasira zangu zote. Sasahivi nina amani.
Naomba tujipe muda wa kufahamiana zaidi.” “Sawa.” Alijawa furaha huyo Kamila.
Cheko mwanzo mpaka mwisho.
“Halafu hii mikono yako ina nini Kamila!” “Kwa nini!?” Akaingiwa
na wasiwasi. “Ukinishika tu, kuna jinsi unaamsha hisia za ajabu!
Haijawahi tokea.” “Kweli Colins?!” “Acha nikwambie ukweli. Ujue tokea mwanzo.
Love alijua kunitesa sana kihisia. Nahisi ilikuwa mbinu ya kunitawala.
Alininyanyasa mpaka kitandani, kitu kilichokuwa kikiua nguvu zangu
kabisa, na kunifanya nikose ujasiri wa mapenzi, naona kwako inakua tofauti!” Kamila
akazidi kufurahi.
“Nikuulize kitu? Ila usiseme navuka mipaka.”
“Kwamba kwa Jelini ilikuaje?” Akawa kama amesoma mawazo yake. Kamila akacheka
sana mpaka akajificha uso hapo begani.
“Usifikiri Jelini ananilalamikia bure! Romance
niliyokwisha fanya na Jelini, hii haifikii hata robo. Lakini nilishindwa
kabisa. Ndio maana nashangaa kwako! Kunishika tu kwa kunifanyia masaji, ukaamsha
hisia, tena zilizodumu kwa muda mrefu mpaka nikapata shida kulala!” Kamila
akacheka kwa aibu na kujificha tena uso, akurudisha begani.
“Natamani muda kama huo tena! Natamani unishike
tu, ukamilishe furaha yangu. Midomo yako mitamu Kamila! Mwili wako
mzuri.” Akazidi kumlainisha, maana hayo alikuwa anayaongelea sikioni.
Akanyanyua uso kumtizama. “Lakini ulisema huwezi, hapa ni nyumbani.” Akanyonya
tena midomo yake kwa muda kisha akarudia tena kufanya kitu alichokipenda
na kutamani amtoe nguo hapohapo.
Akamnong’oneza masikioni huku amemkumbatia. “Naomba
tukaumalizie huu usiku Kigamboni. Nakuhitaji Kamila.” Akarudi tena hapo
midomoni, akamnyonya midomo yake kwa muda, Kamila akalegea kabisa mikononi. Na
yeye alikuwa na ukame wa miaka tokea Mike.
“Usiku huu! Wazazi wameshaenda kulala.” “Kama umekubali,
chukua nguo baadhi, naenda kumuweka sawa mama, kisha tutoke. Tutarudi kesho
mapema twende nao kanisani.” Akakubali kwa kutingisha kichwa. Akamdaka tena
midomo akamnyonya tena kwa muda.
“Asante Kamila. Na siamini kama usiku wa leo nitakuwa
mikononi mwako.” Akamfanya Kamila ajisikie wa maana huyo! “Mimi mwenyewe
nakutamani Colins. Nataka tuwe wote.” “Basi usiku huu utakuwa usiku wetu.
Nitakupenda Kamila.” “Na mimi nitakupenda Colins.” Wakakiss tena kwa
muda, kisha wakaachiana wakijua wanaweza wasimalize. Colins akatoka,
mikono mfukoni, Kamila akimcheka.
~~~~~~~~~~~~~~~
Akaenda kugonga chumbani kwa mama yake. “Nataka
kuzungumza na mama.” “Sasa sisi tumelala. Na huwezi mtoa mke wangu usiku huu.”
“Baba!” “Wewe zungumza anakusikiliza. Kama hutaki nenda mpaka kesho.” “Hasira
hizo ni za kufungwa tu?” “Unanipotezea muda, Colins. Ondoka kama huna
lakuzungumza.” Alipomsikia mama yake anacheka kwa sauti ya chini, akajua kuna
lililokuwa likiendelea.
“Tunakwenda Kigamboni mara moja.” “Hakikisha unafunga
milango vizuri.” Jinsi alivyojibiwa bila maswali, akajua kweli wana yao.
Akashukuru Mungu, na kuondoka hapo mlangoni kwa haraka asije jilaani.
~~~~~~~~~~~~~~~
Akamkuta Kamila akiwa anamsubiria chumbani. “Upo tayari?”
Akatingisha kichwa kukubali na cheko. “Twende zetu.” Wakatoka kwa furaha zote.
Njiani Colins anaendesha kwa mkono mmoja, amemshika mkono Kamila aliyekuwa
amekaa kwa kumgeukia upande wake. Yaani amekaa ubavu, kimya tu, hisia za
mapenzi pekee ndizo zilizokuwa zikiendelea hapo. Kamila akimpapasa huo mkono
mmoja taratibu akivuta taratibu na vinyweleo vya mikono na mpaka na vya
vidoleni pia.
Hapo Colins anaendesha, jamaa yupo hewani, naye
Kamila hamuachii! Anaendelea kumpapasa hivyo vinyweleo kwa huba.
Hali ya ile mikono laini na moto, ikazidi kummaliza Colins. Waliposimama kwenye
mataa, akatoa mkanda, akajiinua na kupata kiss ya nguvu, kisha kurudi
kukaa. Safari ikaendelea taa iliporuhusu.
~~~~~~~~~~~~~~~
Walifika Kigamboni, kila mmoja yupo tayari na mwenzie.
Tena Colins alipomuacha Kamila pale chumbani, akajipiga usafi wa fasta, tayari
kwa kunyonywa popote. Walipoingia tu ndani, Colins akiwa ndio amebeba mikoba
yote, akaongoza njia mpaka chumba kilichokuwa ndio master. Kilisha
safishwa. Hapakuwa na chochote kisicho chake. Kamila alikuwa akifuata nyuma.
Akaweka mizigo yake upande wake.
Akamgeukia Kamila. “Naweka vitu vyako upande huu, ndio
utakuwa wako.” Kamila akakunja uso akiwa na mshangao na tabasamu la wasiwasi.
“Sitaki vya usiku mmoja tu.” Akamwambia akimsogelea. “Unakumbuka nilikwambia sitaki
tena kuwa peke yangu?” “Na mimi sitaki kuwa peke yangu Colins. Lakini nahofia
wazazi. Sidhani kama watatuelewa.” “Nitazungumza nao. Usijali. Ila lengo letu
liwe sio kutengana tafadhali. Na usiwe usiku mmoja tu. Mimi
sitaki kukutumia tu.” Akamalizia na midomo shingoni.
Safari hii mikono ndani ya gauni kabisa. Akaanza
kumpapasa kuanzia mapajani, taratibu mpaka matakoni, huku akimnyonya shingo. Kisha
mikono ikaingizwa ndani ya chupi nyepesi aliyokuwa amevaa Kamila, ila upande wa
kwenye makalio akimminya kwa utamu. Akapanda mpaka kiunoni, kisha akapandisha
mpaka kwenye vifungio vya sidiria.
Midomo ikahamia kwenye midomo ya Kamila aliyekuwa akihema
kwa taratibu, kwa huba. Akaendelea kumfungua vishikizo vya sidiria mpaka
akafanikiwa kuifungua kabisa. Akamgeuza ampe mgongo. Akapitisha mikono yote
miwili ndani ya sidiria kwa mbele akiwa amehamia kumnyonya shingo. Mwili mzima
wa Kamila ulikuwa ukitetemeka kwa raha kama anayepitishiwa umeme.
Mikono ikapata matiti sawia. Akaanza kuyaminya taratibu,
Kamila hajiwezi, hajui raha inotokea wapi! Jinsi alivyomnyonya shingo
akahamia kuweka ulimi kwenye masikio, akazidi kupagawa. Akaachia mkono
mmoja kwenye matiti, kisha akaanza kushuka mpaka kwenye kitomvi akimpapasa.
Kidole ndani, kisha kuzunguka nje ya tumbo. Jinsi
alivyokuwa akihema hapo nyuma yake, Kamila akazidi kusikia raha huku akichezewa
titi. Akazidi kupagawa, mkono ulipoingia ndani ya chupi safari hii mbele!
Akaanza kumsugua mbele, ikawa kama ametelezea kwenye kinembe. Akapotea hapo kwa
muda, Kamila amepanua miguu, anatetemeka hatari.
Na yeye kilikuwa kimesimama, anatamani Colins aendelee
kumsugua. Akatoa mikono yote ili kumtoa
gauni, hapo akamchanganya. “Usiache Colins, please.” Akamgeukia kabisa.
Colins akamdaka midomo. Akaendelea kuinyonya huku akimtoa gauni. Hakumuachia midomo.
Akaachia gauni likaanguka sakafuni, akaanza kumtoa chupi.
Naye akachangamka kumtoa tisheti nyeupe pee aliyokuwa
amevaa na jumpsuit ya suruali nayo nyeupe. Ikabidi kumuachia midomo
maana alikuwa akitoa kiyo tisheti kwa fujo! Akafika kwenye kata mikono ya ndani.
Akaanza na yeye kumnyonya mabegani, mikono ya Colins ikarudi matakoni wakati
Kamila akihangaika hapo mwilini mwake.
Akaendelea kumminya matako kisha akampanua kama anayetaka
kumfikia mbele akipitia nyuma. Kamila akamshusha suruali ikiwa na chupi. Mzee
akawa hewani. Akapiga magoti, akamshikilia kwa nyuma, akaanza kumnyonya. Joto
la mdomo wa Kamila likazidi kumchanganya Colins.
Akahamisha mikono kwenye joo kwa chini, anamminya kwa
kumchua akipandisha juu mpaka chini, huku akimnyonya kichwa. Colins hakuwahi
kufanyiwa hivyo kamwe na mwanamke.
~~~~~~~~~~~~~~~
Kwanza wakati wote alipokuwa na Love alikuwa yeye ndiye anamuelekeza
kitu chakumfanyia. Mara nyingine Colins akimnyonya mpaka akapiga bao, jua na mchezo
ndio unaisha hapo. Atamsukuma kabisa na kumwambia ampe nafasi aheme, huku
akimlaumu kwa hili na lile. Hakuwahi kupatia mwilini kwa Love. Kila wakati
kukosolewa.
Hapo Colins alikuwa na ujuzi wa kucheza na mwili
wa mwanamke kutoka kufundishwa na Love, ila yeye hakuwahi kuchezewa mpaka hapo
kwa Kamila.
~~~~~~~~~~~~~~~
Alikuwa akigugumia
mpaka akajishitukia. Akamnyanyua Kamila pale alipokuwa amepiga magoti
akimchezea uume wake, na kumuelekezea kitandani.
“Tafadhali niruhusu niingie Kamila.” Akamvamia na
kumsukumia kitandani, Colins akawa chali. Kamila akamkalia kwa haraka akiwa
mtupu mbele ya macho yake. Akamdaka tena matiti, akaanza kuikatikia.
Akamsikia Colins akisugua meno. Akaendelea kwa muda wa mrefu, mzee hamalizi!
Kamila mwenyewe akashangaa hiyo stamina yake. Na mautundu
yote ya kumbana na kumkatikia, lakini wapi! “Huyu kiboko. Mike hapa
angeshakojoa!” Kamila akawaza akiendelea kukatika na kumbana.
Kama aliyemuhusi amechoka, akamgeuza na kumlaza yeye chali.
Akashangaa anaanza kumnyonya yeye. Akili ya Kamila ikarudi pale maana alikatika
mpaka basi. Alivyomtundu na mzoefu wa kucheza na mwili wa mwanamke, hakuchukua
muda, Kamila akapiga bao kwenye midomo ya Colins. Alipomaliza tu, akapiga
magoti na kumvutia kiuno kwake. Miguu akaibeba.
“Wewe ni mzuri sana Kamila. Unavutia kila mahali!” Hapo
anamwambia huku anamuingizia, Kamila akavuta mto na kujifunika usoni kwa aibu. Alipoingia
mara ya kwanza, akawa kama ametoka. Akafanya hivyo tena kwa kurudia, mara ya
nne, Kamila akatoa mto. “Usitoe Colins!” Akamcheka jinsi alivyodai kwa
kulalamika. Maana alikuwa kama anamchokoza. Akajifunika tena kwa aibu.
Alipoingiza, akahisi ni kama amegusa G spot yake,
maana aliacha kukatika, akaanza kulalama. Akamuongezea mwendo akimsugua
kwa nguvu huku akiangalia anapoingia na kutoka. “Toa mto usoni, uniangalie
Kamila. Nataka ujue unafanya mapenzi na mimi.” Akajifunua taratibu. “Niangalie
niridhike. Nataka uwe na mimi hapa.” Kamila hakuzoea kufanya mapenzi akikodoa
macho, alishazoea kufumba macho. Leo aangalie! Ikamuia vigumu.
“Please Kamila.” Alikuwa amekwepesha macho,
ikabidi kumuangalia tu. Akashangaa eti ndio midadi ikaongezeka. Na yeye
anamwangalia, mikono ikiminya hips. Alimsugua akimwangalia kwa upendo, mpaka
akapiga bao akimuita jina lake, kitu alichopenda sana Kamila.
“Kwamba anajua amefanya mapenzi na mimi na si Jelini!” Akafurahia huyo! Akaendelea kumbana akiachia taratibu,
Colins akimalizia kumwagia ndani mpaka akamaliza, akajitupa pembeni na kumvutia
kifuani. Akaanza kumnyonya midomo, bado mzee amesimama mpaka akamshangaza
Kamila.
Akaendelea romance huku amemkumbatia akimpapasa
kwa uchu. “Unataka nikuletee maji ya kunywa?” Akamuuliza kwa upendo
akimwangalia kwa chini huku akimchezea midomo yake akiibusu. “Kamila wewe ni
mtamu aisee!” Akajificha pembeni ya
shingo. Akagundua anampanua miguu. “Nitakuchafua Colins! Umemwaga sana. Acha
nikajisafishe kwanza.” Colins akacheka sana.
“Kweli nitakuchafua.”
“Ni uchafu wangu, sema umebeba wewe.” Kamila akacheka na kujificha tena.
“Sijatosheka Kamila.” “Nakuona! Ila wewe una nguvu Colins! Mimi sijawahi ona
mtu mwenye stamina hivi! Mwanzoni nilidhani utamaliza, nikashangaa!” Akamuelewa
kwamba hata Mike hakuwa hivyo.
“Wewe ndio unanifanya nakua hivi. Na mimi sijawahi fanya
mapenzi na mwanamke kwa namna hii. Wewe ni mzuri sana, unavutia kuangalia.
Jalafu unajoto zuri! Ngumu kukuachia.” “Sasa kwa mwingine ingekuwa
tofauti. Joto linamfanya awahi. Inabidi kukumalizia kwa njia
nyingine ili asikuache hujamaliza.” Akamuelewa na kuamua kubadili mazungumzo
kwa kuanza kumkiss.
“Una mwili mzuri Kamila! Huchoshi!” “Na wewe unavutia
Colins. Inatia raha kushikwa na wewe.” Colins akaanza kucheka. “Acha bwana
kunicheka!” Akaanza kumkiss tena kisha akamuachia. “Nitume mimi
nikusafishe, ila usitoke hapa kitandani.” “Colins! Utanisafishaje bwana! Acha
nitoke sitakawia.” “Utaenda kujitia maji, halafu utaninyima starehe
yangu. Nakufuta, tuendelee. Mimi nataka hilo joto.” “Colins! Unaendelea na
uchafu ndani!” Akarudia kumbusu.
Akarudi masikioni. Mpaka anafika kwenye matiti, Kamila
amesahau kujisafi. Analalamika utamu. Akahamisha midomo kwenye chuchu,
huko mkono umerudi kwenye matako, chini anamminya na hips pia. Mwenyewe
akatanua miguu, na kuuvutia uume wa Colins, akajiingizia. Acha aanze kumsugua
kinembe na dudu yake, mikono ameikutanisha.
Akainamia masikio. Akamnyonya huku wakiendelea na kifo
cha mende. Kamila mliaji mzuri! Mlalamishi haswa. Akazidi kumchanyanya
anavyomnyonya masikio huku anamsugua kidudu chake kwa utamu wa namna yake.
Akamkumbati kwa nguvu, kifua kikamlalia. “Colins! Coolins!” Akamsikia akimuita
kwa kunung’unika sauti ya chini. Akajua anamalizia. Akamkumbatia kwa nguvu
mpaka akamaliza.
Alipomaliza tu, akamgeuza dog style. Bwana Colins
alijipimia, na Kamila naye akaendelea kunyongea kiuno mpaka na yeye akamaliza.
Wakajitupa wote wakihema kama waliotoka kukimbia marathorn. Pakatulia
kwa sekunde chache, Kamila akijua wanatulia, kumwangalia Colins, alishalala
zamani. Akamcheka na kujitoa hapo kitandani kwa kunyata.
Yeye akaoga na kurudi kumfuta vizuri. Akafungua macho
akishangaa ni nini kinaendelea! Hajui maswala ya kusafishwa baada ya
mapenzi. Love asingethubutu kumfanyia hivyo. “Nakusafisha.” “Asante. Nikusaidie?”
“Wewe lala.” Hakuongeza neno, akapitiwa na usingizi hapohapo mwenzie
akimsafisha. Kisha akarudi kujilaza pembeni yake.
~~~~~~~~~~~~~~~
Uchovu wa
siku, nzima. Kupika chakula cha wagonjwa, mshituko kukutana na
watoto watukutu wasiofanania na malaika aliowaacha mara ya mwisho nchini
Marekani, mchezo mrefu wa sex ambao hakuzoea hata alipokuwa na
Mike anayemuimba, kamila Akajikuta na yeye anazima kama kibatari kilichoishiwa
mafuta au mshumaa.
~~~~~~~~~~~~~~~
Hatimaye Colins kwenye mikono mitamu ya Kamila! Je, usiku mtamu
utamfanya Colins kuachia moja kwa moja kwa Jelini!?
Ezra, Junior, Emelda & Jelini!?
0 Comments:
Post a Comment