Naomi Simulizi |+1 205 767 8163 |naomisimulizi@gmail.com Mapenzi & Pesa! - PART 2 - SEHEMU YA 15. - Naomi Simulizi

Mapenzi & Pesa! - PART 2 - SEHEMU YA 15.

 Jelini akataka kuondoka kabisa. “Subiri kwanza Jelini! Ndio nimekuelewa wewe hutaki mambo ya kutumiana. Nilishakuelewa tokea jana na ndio maana nimekukaribisha mpaka nyumbani.” “Kwani yeye mlikuwa mkikutana naye wapi?” “Jelini!” “Wewe sema Zenda. Usifikiri wewe ndio mwanaume wa kwanza mwenye uwezo kunifuata!” “Jelini unanitishia.” “Haki nakwambia ukweli Zenda. Ndiyo maisha yangu mwenzio. Napata wanaume wengi ila naogopa, hawajatulia. Na hawajawahi kunivutia kama wewe Zenda, ndio maana na mimi nipo hapa. Mimi sitaki hayo maisha eti nifumbie macho huo uchafu sababu ya mali! Hapana Zenda. Kama huna nafasi yangu acha mimi niondoke.” Zenda akashangazwa na Jelini ambaye hana shule wala kitu lakini anamsimamo, asijue kichwa kigumu kama mama yake. Hana shida ngumu eti kumfanya ambambaikie mwanaume! Ndio maana alibakishwa akilea hao binti zake wawili peke yake.

Zenda akapoa ila akavutiwa naye. “Nimeelewa Jelini.” “Kweli Zenda? Maana mtindo wa kuwa na wanawake wa kulala nao tu, nitataka uache na usinidanganye. Maana wale wanaume wa kule baa walikuwa wakisema hivyohivyo eti sio sabuni! Hivyo mimi sitaki.” “Sawa. Njoo basi uniambie kitu gani kingine hutaki.” Jelini akabaki amesimama kama ambaye hajaridhika naye.

“Mimi mbona muelewa sana! Nimekusikia kila kitu.” “Na uache bwana Zenda!” “Sawa.” Akajibu na kumsogelea mpaka pale. Mikono moja kwa moja ndani ya gauni. “Sitakusaliti Jelini.” “Kweli?” Mkono ulishafika ndani ya chupi mbele. Jelini akasisimkwa mwili mzima. Mkono mwingine nyuma. Akaanza kumchezea ndani ya chupi mbele mpaka miguu ikaanza kutetemeka.

“Usisogee tafadhali.” Akamsihi akinong’ona nyuma ya shingo yake. Maana aligeuka akasimama nyuma yake, akaanza kumnyonya shingo, masikio huku akimchezea kisime taratibu. Akaanza kukichua taratibu. Miguu yote ya Jelini ikawa ikitetemeka, akawa anajihisi kuloa kabisa. Akamgeuza kupata midomo yake. Akaanza kumnyonya huyo Jelini kama pipi. “Naomba kukutoa nguo zote, nikufaidi kwa macho pia.” Jelini alikuwa akiweweseka, akahisi anamuongoza njia mpaka kwenye chumba huku akimnyonya midomo. Akamvuta mbele kidogo, kisha akamgeuza na kusimama nyuma yake tena, mkono ndani ya chupi tena. Safari hii alikuwa akimchezea huku akimvua chupi yake, akamgeuza mbele akawa anamwangalia, mikono yote ikahamia kwenye matako na hips. Akaanza kumpapasa kwa uchu huku akimnyonya shingo. Jelini akatamani alale, akamzuia.

“Nataka kuuona huu mwili wako ukiwa mtupu Jelini.” Kisha akamtoa gauni na kuanza kumfungua sidiria. Akahamaki baada ya kumuona mwili mzima ulivyo. Jinsi alivyojigawa na mwili kutulia. Aliwiva, bila romansi mashine ya Zenda ikasimama wima, hatari. “Jelini wewe ni mzuri! Mzuri sana.” Jelini akamuwahi midomo na kumrudisha mkono kwenye kinena. Akajua alipenda alivyomchezea. Akamchezea kidogo kisha akapiga magoti mbele yake, na kuanza kunyonya kama mbuzi. Haikuchukua hata dakika, Jelini akapiga bao amesimama ndipo akamuweka kitandani, na kuvua nguo haraka, akakimbilia matiti. Aliyanyonya huku akimchezea tena kisimi. Jelini alikuwa akipata raha, akajisahau anatakiwa afanye nini.

“Niingizie Zenda.” Akalalamika. “Nataka muda na wewe Jelini!” “Kidogo tu halafu tutaendelea romansi. Mwenzio nina hamu, unanifanya nisikie raha.” Mzee Kasa mwenyewe mzee alishakuwa hewani muda mrefu sana, baada ya kuona mwili wa Jelini ukiwa mtupu, ukamtamanisha, akaona kuanza penzi bila kushibisha macho, midomo na mikono ni kujipunja. “Nisaidie Zenda.” Jelini akalalama akiwa taabani kitandani. Akaona ampe kitu roho inataka, hapo Jelini hakuwa amemchezea hata kidogo. Zenda akaanza taratibu, kwa utulivu bila papara, akamuona anahangaika, akajua anataka aongeze kasi. Alipoongeza mwendo, ndio kilio cha Jelini kikaongezeka, lalama nzuri aliyoipenda Zenda, maana ilimvutia na kuamsha hisia zote. Kidogo tu, akapiga bao.

“Naomba tuwekane sawa, Jelini.” Akaanza kucheka na kujifunika na mto. “Kwani wewe mara ya mwisho kufanya mapenzi ni lini bwana!?” Jelini akacheka sana akijificha kwa aibu. “Hata sikumbuki!” “Kweli Jelini!?” “Mungu nishahidi. Ndio maana mwenzio niliogopa sana. Nilihisi labda wananifanyia mambo mabaya nikiwa nimelewa. Nisamehe Zenda nilishindwa kuwa mvumilivu.” “Umenipunja.” Jelini akazidi kucheka amejifunika.

“Mimi nilikuwa na hamu na huo mwili wako. Midomo hata haijatosheka!” “Sasa hivi nakuachia wewe. Sikujua kama ndio unajua kufanya hivyo! Mimi nilijua utaingia tu halafu unakojoa.” Zenda alicheka sana. “Mimi ndio dada Doro alivyoniambia wanaume wengi wakishafikisha umri fulani, wanakua hawana nguvu. Ila wewe unanguvu sana mpaka nasikia raha! Umenifanyia vizuri, sikumbuki kufanyiwa hivyo maishani.” “Basi nipe nafasi. Wewe ni mzuri mno. Unamwili mzuri Jelini, nataka kukufaidi taratibu na ndio maana upo hapa nyumbani, tena peke yetu. Sikutaka kuingiliwa na mtu wala kitu chochote. Na simu zote nimefunga.” Akamsukuma taratibu mpaka akalala chali, akaanza kumchezea yeye.

Zenda hakuamini jinsi anavyojua kuchezea mpaka kengele! Alimnyonya huku akimchua kwa mikono yake laini ila akiweka nguvu kumkanda kwa kumbana. Akachezea mistari ya kengele, akiwa anamchua kwa mikono, basi midomo inahamia kuchezea kokwa mpaka zinajificha. Mtu mzima akajikuta hoi, anahangaika, Jelini akamchuchumailia. Anapanda na kushuka akikatika. Zenda ndani ya dakika tatu akamwaga mambo hadharani.

“Haiwezekani Jelini!” Jelini alimcheka mpaka machozi. “Unalia sana Zenda!” “Wewe mtoto ni nini umenifanyia, mpaka nimepaliwa mate! Mimi si mkojoaji wa dakika moja!” Jelini alicheka sana. “Hapana Jelini, umenifanyia makusudi kunilipiza kisasi.” Alicheka Jelini mpaka akajilaza. “Wewe mtoto utanifanya nishindwe kazi, nibakiwe na kazi ya kukuvua nguo tu.” “Sio ajira mbaya.” Zenda alicheka sana.

“Wewe huna shida?” “Kwa ulichonifanya hapa, wewe niite hata ofisini kwako.” Zenda akakaa. “Kwamba hutakataa!?” “Muda na wakati wowote ukijisikia tu, niite mimi sio wanawake zako wa zamani.” Zenda akaanza kucheka. “Mimi nilijua ni mapenzi, kumbe wivu!” “Hiki ulichonifanyia mimi, usimfanyie mwingine. Hata asubuhi ukiamka, unataka, mtume dereva aje anichukue. Nikurekebishe kabla ya kwenda kazini.” “Hutanichoka?” “Wewe nimekupenda Zenda.” Zenda alicheka sana.

“Nilikuonya Jelini, ukanibishia. Umeona sasa?” “Sasa hivi nimeamini.” Jelini akakubali bila kupinga nakumfanya Zenda azidi kucheka. Kwanza alimrudisha akamfanya ajisikie kijana. Vile tu kumuita Zenda, akasahau ana watoto wakumzidi Jelini. “Unaenda wapi sasa?” “Bafuni. Hutaki nikusafishe?” “Acha tuoge ndipo tule. Halafu tuendelee kidogo.” Walipofika bafuni akaanza kumkiss, Jelini akampokea midomo, akamvuta mkono na kuuweka kwake, akajua anataka. Akamgeuza akaanza kumchezea mbele huku akimnyonya shingo mpaka mgongoni. “Mbona kama hili tako sijalifaidi kabisa!” “Vyote hivi vyako Zenda. Muda na wakati wowote.” Alifurahi mzee huyo, asiamini.

Jelini akageuka na kupiga magoti, akaanza kumnyonya yeye tena. Alimchezea mpaka akamuona yupo tayari, akamuinamia na kujiingizia. Kisha akamshikisha matako, akawa akayakamata vizuri, akaendeleza mchezo taratibu Jelini naye akamuelewa, hapendi fujo, akawa akikata nyonga taratibu na kumbana. Milio ya Zenda, alijua anamtendea haki. Baada ya muda akamkamata kiuno chake, ukaanza mchakamchaka akajua anakaribia. Aliposikia migugumo akajua ndio anafika, akawa anatema, Jelini anakaba ili asiogelee huko ndani mpaka akamaliza, akabaki ndani, anatetemeka mwenyewe. Safari hii hakumcheka, akamuacha akimkamua taratibu kwa kumbana mpaka akamaliza kabisa, alipotoka akasimama, akamgeukia na kumkumbatia kwa upendo.

“Asante Jelini wangu!” Jelini akacheka akiwa kifuani. Akamsafisha akiwa bado amesimama. Kila alivyokuwa akimsafisha, na jamaa naye anaanza kusimama tena. “Jamaa amegoma kutulia. Wewe ni mzuri sana Jelini. Hata nikifunga macho sasahivi bado nakuona ukiwa uchi, nakutamani zaidi.” Akacheka taratibu na kumrudisha mdomoni. Akaanza tena kumnyonya taratibu Zenda akiguguma. “Naomba safari hii iwe kitandani, na taratibu kama ulivyofanya hapa.” Akatoa mdomoni kwenye mashine na kumshika kwa mkono, midomo ikahamia mdomoni kwake. Wakanyonyana midomo kwa muda tu lakini Jelini akawa bado hajaachia mashine. Anamchua taratibu huku wakipeana kisi.

Akaaanza kumsukumia nje ya shawa. Akajua ndio anataka watoke. “Usiniachie tafadhali.” Jelini akaendelea kumchua huku wakitafuta mlango wa kurudia chumbani wakilowesha kila wanakokanyaga. “Nifunge maji?” Akakataa kwa kichwa na kumdaka midomo, kama anayesema asimuachie. Wakapanda kitandani na maji yao, Zenda akamlaza chali, hapo ndipo aliponyonya kila alichotaka, tena taratibu bila pupa. Jelini akamuacha tu afanye atakayo kwenye mwili wake.

Mzee alihangaika na huyo mtoto kama fisi aliyepewa bucha. Akahangaika hapo wee, Jelini akimpa ushirikiano wote. Akamgeuza na kumwinamisha. Akaingizia kwa uchu akitetemeka kama ambaye ndio mara ya kwanza. Akaendeleza mchezo akiingia na kutoka mpaka akafanikisha bao jingine la hapo kitandani akiwa amempigisha magoti  Jelini, kisha akajitupa kitandani.

Jelini akatoka kumsafisha. Kuja kumaliza, akawa amelala hana habari na alipo. Alichofanya ni kumfunika. Akakusanya nguo zake, ndipo akapata nafasi ya kuangalia chumba. “Huyu Zenda analala kwenye chumba cha kioo jamani! Hatari gani hii! Kikivunjika usiku!” Akaangalia na kushangazwa na hicho chumba. Kuzuri mno, ila alimuona alibonyeza sehemu vitu vikashuka kikawa kama kuna pazia. Akashangaa na aina ya kitanda na makochi humo ndani. Kila kitu ni nyeupe tupu, dhahabu imekua imezungukia kama pindo. Masinki ya bafuni yote dhahabu, tena yapo kama mabakuli! “Huyu baba anapesa sana!” Akaangalia hapo, akaona aondoke tu.

~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~

Alamu ya saa kumi na nusu alfajiri ndiyo iliyomtoa Zenda usingizini. Ulikuwa muda wake wa kuamka aliozoea zaidi ya miaka 40. Hata alamu isingelia, angeamka tu. Akajikuta uchi, ila amefunikwa. Akashituka sana. Ndipo akili ikamrudia kilichokuwa kimeendelea usiku uliopita. “Jelini!” Akakurupuka hapo kitandani kama mchale. Akazidi kumuita. Nyumba kimya. Akajua aliondoka. Alijisikia vibaya sana. Akaenda jikoni, hata chakula alichokuwa amempikia hakuwa amekula. Ndipo akakumbuka alivyozima kama mshumaa usiku uliopita.

“Sasa atakua ameondokaje hapa!” Akajisikia kuumia akimuhurumia. Alishampenda Jelini. “Huyu mtoto atanidharau aisee! Atajua nimezeeka sana, sina nguvu yakuwa na mtu kama yeye. Jelini ataniacha akatafute kijana wakuwa naye usiku kuchwa!” Akajidharau sana, na wivu nao ukaanza kumsumbua. Akabaki akiteseka rohoni wakati Jelini amelala kwao, hana habari ila furaha tele. Akaangalia muda ili ampigie, akagundua ni mapema sana, atakuwa bado amelala. “Na kama alitembea sana jana alipotoka hapa, atakua amechoka. Mtu mzima nimekua hovyo kabisa! Usiku wa kwanza ndio nimeweka historia mbaya hivi!” Siku ikaanza kwa kujilaumu. Mzee Kasa asubuhi hiyo alikimbia kwenye mashine mpaka kifua kikaachia kwa hasira. Wasiwasi ikawa alivyotoka kwake kama je, alipitia baa! Wivu.

~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~

Huku kwa Jelini akaamka asubuhi na mapema kumuandaa mwanae. Mama yake anamwangalia tu. Mwanae alikuwa na furaha, anaongea na mama yake hamalizi. “Sasa huyo ataachwa na basi. Mmekutana hapo wote maneno mengi, hamuangalii muda.” Ndio wakagutuka na kuongeza uharaka. Akampiga mwanae picha za kutosha mpaka anapanda kwenye basi ya shule ndipo akarudi ndani.

Asijue mwenzie alivyoumia, akamtumia picha tatu za mwanae na kumshukuru. ‘Nashukuru Zenda. Amefurahi huyo! Hakuna tena kugombania daladala asubuhi. Ameniambia akirudi atakuwa akiongea kingereza, halafu atanifundisha na mimi.’ Zenda aliposoma akacheka na kumpigia. “Umefanana naye sana. Anaonekana mtoto mzuri sana.” “Zaidi ya mama yake. Amefurahi, nimemsindikiza mpaka ameniambia! Asante Zenda. Na asante kwa usiku mzuri.” “Kwanza kwa nini uliondoka bila yakuniaga?”

“Ulikuwa umelala Zenda. Nikajaribu kukuamsha, hukuamka. Ndio nikakufunika tu. Nikabaki nikishangaa chumba kipo kwenye kioo! Nikaona nisiendelee kukaa pale kisije pasuka bure!” Zenda alicheka sana. “Wewe mtu gani unalala kwenye vioo bwana! Kwanza watu wa nje si watakuwa wakituona?” “Hapana. Sisi ndio tunaona nje, wao hawatuoni. Na nivile sikuwa nimekuonyesha, kuna sehemu ukibonyeza unaweza kuweka picha yoyote kuzunguka chumba kizima na kukufanya ulale vizuri. Kama ukitaka kuweka anga na mbalamwezi. Bahari, iwe kama umelala ufukweni. Giza kabisa ila mziki mtulivu wa kukubembeleza. Chochote kile ungechagua na kukufanya ukalala vizuri.” “Mmh! Mimi niliogopa bwana. Sijawahi ona magorofa ya vioo mpaka sakafu! Ila pia nilitaka kuamkia alipo Jeremy kumuandaa leo.” Jelini akaongea wala asionyeshe kuna ubaya alifanyiwa.

“Mimi sijafurahia tulivyoachana jana.” “Kwa kuwa sikukuaga?” Jelini akauliza kwa upole. “Hapana Jelini. Kwa kuwa mimi sikukuaga. Nilikupikia. Nilitaka ule chakula changu halafu nikusaidie usafiri kukurudisha nyumbani. Sio uondoke kama malaya uliyekuja kutoa huduma, kazi yako imeisha, ndio basi.” “Jamani Zenda!” “Kweli Jelini. Sikupenda. Mimi huwa sipiki. Ila wewe nilikupikia ili kukufurahisha. Sikupenda ulivyoondoka. Hujala, wala sijui ulifikaje nyumbani!” “Mimi mwenzio mtoto wa mtaani. Sipati shida kufika nitakako. Muda na wakati wowote ule.” Akaongea bila hata wasiwasi.  

“Sio ukiwa na mimi, Jelini. Nataka kuwa na uhakika na usalama wako. Nimejisikia vibaya sana.” “Tafadhali kuwa na amani Zenda.” “Sina amani. Nimejiona mtu mzima hovyo!” “Sivyo mimi nilivyokuona Zenda! Mimi nimefurahia muda na wewe. Nimetoka kwako wala swala la chakula halikuwa kichwani. Nimerudi nyumbani moja kwa moja nikalala vizuri kama kachanga na wala sikunywa pombe, kwa kuwa nilikuwa kwako na ukanipa wakati mzuri. Tafadhali usiharibu historia ya usiku wetu wa kwanza.” “Basi hicho ndicho kinaniumiza.”

“Hapana. Naomba pokea kile nilichokipata mimi. Vyakula vipo tu Zenda. Na watu wanausafiri wa uhakika, lakini si nilichokiona kwako wakati naondoka pale chumbani kwako. Ulilala kwa amani sana. Na mimi nililala hivyohivyo. Ningeweza kula na ukanirudisha nyumbani tukigombana njia nzima au hatuongeleshani. Kipi sasa bora?” “Lakini kweli. Hapo umenituliza.” Jelini akacheka taratibu.

“Asante kwa wakati mzuri Jelini wangu.” “Karibu na mimi asante. Acha nikuache ufanye kazi. Utanipigia utakapopata mwanya.” “Sawa. Ila nataka uwe na usafiri wa kueleweka Jelini. Sitaki mambo ya kubabaisha.” “Usijali. Siku moja na mimi nitafika huko. Acha tufurahie tulicho nacho.” Jelini akamshangaza sana Kasa. “Kwamba huyu mtoto hajaelewa swala la kwamba mimi ninayo pesa?!” Waliomzunguka Kasa, wakiwa naye karibu wanajua shida zao zimeisha, Jelini wala! Akamshangaza sana.

“Huwa unafikiria kama ni kuja kuwa na gari, ni aina gani?” Jelini akacheka. “Nini?” “Sasa sio uanze kufikiria mimi napenda mambo makubwa na mazuri wakati sina hela.” Kasa akacheka. “Kwamba gari ya ndoto yako ni la garama sana?” “Mimi nahisi kuzidi lako. Si unajua ninavyopenda vitu vizuri?” “Nakujua Jelini.” “Basi hilo gari langu, unaweza ona aibu kupanda kama mchafu.” Kasa alicheka sana. Muda huo wa kazi, mzee akaweka kila kitu pembeni anamsikiliza Jelini.

“Kwanza nataka kubwaaa! Yaani mimi mwenyewe kupanda nafanya kudandia.” “Jelini huyo. Na rangi?” “Ninazo mbili, lakini silva ile inayong’aaa ndio nafikira zaidi. Basi Zenda. Ndani sasa!” “Eeeh?” “Ila nahisi ndani nitakuiga yako.” Akamalizia kwa kupoa na kumfanya Zenda acheke sana. “Kwamba umeishiwa?” “Nimekumbuka gari yako kwa ndani, sijawahi ona. Ila ujue wewe Kasa una vitu vizuri sana mpaka nahisi wewe unaishi maisha yangu!” Kasa alicheka sana akiwa ofisini nakushangaza mpaka sekretari zake.

“Kwamba?” “Maana jana pale ulivyokuwa umelala, nikaanza kuchunguza pale chumbani kwako mpaka bafuni! Lile sinki lako la kusafisha mikono mtu anaweza kufanya bakuli kabisa, akaweka chakula kwa wageni wake wa maana.” Zenda alizidi kucheka. “Halafu lile sinki lako la kuogea!” “Nilikuona kwenye kamera uliingia na kujilaza.” “Haaah! Haiwezekani Zenda!” Jelini alishangaa sana. “Nilikucheka sana.” “Tabia yako mbaya bwana Zenda! Sasa kwa nini unaweka kamera chumbani?” “Kuna vitu vya thamani sana mle ndani na mimi huwa naruhusu watu wa usafi kuingia na kusafisha. Lazima kuficha kamera.” “Kwa hiyo ningekua mwizi, ungenikamata?” Zenda akacheka tu.

“Kumbe ningejua kama kuna kamera mimi nisingekuwa…” “Ukishangaa vile?” “Kumbe umeona?” “Mpaka kushika mdomo! Nilikuona.” Jelini akacheka sana. “Mimi naitaka hiyo video nijione.” Zenda akazidi kucheka. “Fanya kazi mwaya. Mimi nina maneno mengi. Nitakufanya usifanye kazi.”

“Si bado ile ajira ya kukuvua chupi bado ipo au nimefutwa kazi kwa kulala kizembe?” Jelini alicheka. Akacheka sana. “Wewe niambie tu, nijue kama kazi ipo au la.” Akaongea Zenda kwa kubembeleza. “Ile ni ajira yako ya kudumu Zenda. Haina…” “Kustaafu je?” “Tutastaafu wote.” Zenda, alicheka sana ila alimfurahisha huyo mzee asijue tu. Na ujasiri ukarudi.

“Mimi naona tununue hilo gari la ndoto zako, uwe unanifuata popote kunipa hiyo kazi.” Jelini akawa hajaelewa, akacheka sana na kuongeza. “Sasa na wewe uwe na subira Zenda! Mambo taratibu. Leo ndio mtoto ameanza shule. Kesho nyumba ya kukutania. Kesho kutwa gari. Pesa ngumu!” “Jelini wa mipango huyo!” “Usicheze na Jelini wa siku hizi, nimepata rafiki mwenye akili, ananiongoza mwenzio vizuri.” “Baa?” “Akuu! Unataka nirudi kujisahau tena? Mambo hayo siku hizi nimeacha.” “Ukipata mwingine wa kukununulia?” Zenda akamtega. “Kwani hawapo? Wapo Zenda. Tena wapo wengi tu. Ndio wale niliokwambia wanakupa bia moja, wanadai. Sasa unajiuliza huyu mtu anakudai kwa bia moja. Akikununulia gari je?” Zenda alicheka sana.

“Akuuu! Mimi mwenzio sitaki mambo ya kuhongwa na watu nisio waamini.” “Wanaume wangapi sasahivi unawaamini?” “Sasahivi ni mmoja tu. Zenda wangu. Ananifanya najisikia vizuri na ananifanya nafikiria vitu vya maana. Halafu anajua kunifanya nijisikie mimi wa maana. Mwenzio Zenda wangu wala hanidharau japo yeye amesoma sana kuliko mimi. Halafu nikiwa na Zenda wangu tunacheka, tunafuraha. Halafu ananijulia kitandani. Nikiwa naye wala sihisi kama nabakwa, ila nafanya mapenzi na mtu anaye nipenda.” Zenda alifurahi sana. “Natamani Zenda asikie hayo!” Jelini akacheka sana.

“Zenda anapendwa mwenzio.” Akamfanya Zenda acheke sana. “Haya bwana. Kwa hiyo hata iweje hataibiwa?” “Mimi bado sijaona wakumuibia Zenda wangu.” Jinsi alivyojibu akamfanya azidi kucheka. “Fanya kazi wewe Zenda!” “Mwenzio nasikia raha kuongea na wewe.” “Hata mimi. Ila sitaki kukuharibia kazi.” “Huwezi. Hizi kazi zina misingi iliyomea mizizi ya miaka na miaka.” “Sasa kwa nini hufanyi kazi na Kasa?” “Kama unamaanisha Kevin, hawezi kunifanyia mimi kazi. Mimi ni makini sana na mambo yangu. Sitaki uzembe. Nimejitengenezea timu yangu ambayo sitaki kijana mdogo aje na kuanza kuwatingisha. Ila dada yake na mumewe niliwaajiri. Wananifanyia kazi.” “Dada yake anasifa unazozitaka kwa wafanyakazi wako?” “Yeah! Kemi yupo very smart. Na anamsimamo sana na maadili mazuri ya kazi. Kwa hiyo yeye anaweza kuendana na mwendo wangu lakini si Kevin. Bado amekataa kukua. Japo anatamani sana kufanya kazi kwangu.” “Sasa unamwambia nini?” “Ni bora kumlipa mshahara bila yeye kuwepo.” Jelini akashangaa sana.

“Haiwezekani Zenda! Kwamba unamlipa mshahara japo hafanyi kazi?!” “Kabisa. Na kwa akili yake yeye, anafurahia. Lakini Kemi asingekubali, angeona ni kumdharau. Ndio maana nipo na Kemi na si yeye.” Jelini akapoa na kuanza kufikiria. Maana Zenda alibadilisha sauti ya kimapenzi, akasikika kitajiri na mamlaka. “Unahitaji usafiri Jelini.” “Najua Zenda wangu. Taratibu baba.” Akacheka kidogo. “Mimi nitakununulia.” Jelini akatulia.

Zenda akashangaa. Akaangalia simu. “Upo?” “Nipo Zenda, ila najiona kama sipo tayari kwa gari!” “Kwa nini tena?” “Mimi sina kitu Zenda. Sina hata namna yakujiingizia kipato! Si bora ianze biashara kabla ya gari ambayo itahitaji pesa?” “Kumbe unaakili hivyo!?” Jelini akacheka taratibu. “Kweli umenifanya nikupende zaidi! Ila usiwe na wasiwasi. Tutafute gari huku tukifikiria njia sahihi ya wewe kujiingizia pesa. Mimi nitakusaidia Jelini.” “Kweli Zenda!?” “Wewe unaniamini. Sasa kwa nini na mimi nisikuamini?” Jelini akafurahi sana.

“Wewe fikiria biashara gani ya kufanya, na mimi nitakushauri. Ila usafiri nilazima. Wewe una mtoto mdogo. Ikitokea usiku anaumwa au unahitaji usafiri wa usiku, utafanyaje?” “Asante kutufikiria Zenda.” “Basi anza kuangalia hilo gari unalotaka, kisha nitumie. Mimi nina njia nzuri za kuingiza vitu nchini.” Jelini alifurahi sana. “Mwenzio nimefurahi Zenda. Mpaka nasikia kulia.” “Usilie ila fikiria, halafu utaniambia. Acha nirudi kazini.” Akarudi ndani kwa mama yake.

~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~

Jelini Kalamba Dume?

Nini kitaendelea kwenye Penzi hilo Jipya?

Mtoto wa Kasa, Kevin, aliyekataliwa na Jelini na yeye kujiweka pembeni sababu ya tofauti zao kimaisha, akihofia wakwao kutomuelewa kuwa na msichana kama Jelini,  LAKINI baba mtu amejiopolea. ANAFAIDI PENZI LA Kimwana bila kujali umri wala shule. Historia ya nyuma ya Jelini kwake ndio imemfanya amuhurumie Jelini wala si kumuhukumu, anamwaga pesa kama hamna kesho!

Itakujae kwa Kevin/Kasa? Kemi atampokea Jelini?

Patamu panakuja mbeleni.

CONVERSATION

0 Comments:

Post a Comment