Akiwa
kikaoni asubuhi hiyo, huku ofisini Fina akapokea simu kuwa Jema anamgeni getini, ametumwa amletee maua. Fina akawaambia walinzi wamruhusu aingie.
Akayapokea yeye na kuyaacha mezani kwake. Kumu na Jema wanatoka kikaoni
wanakutana na hayo maua mzuri sana mezani kwa Fina. Wote wakahamaki. “Ni ya
Jema.” Joshua akamtizama Jema, Jema akajawa cheko akiyasogelea. “Yanatoka kwa
nani?” “Fina naye!” Jema akayachukua na kuingia nayo ofisini kwake. Wakamsikia
anarukaruka kwa furaha. Fina akacheka na kumfuata.
“We Jema!
Ujue Kumu anakusikia.” “Nimefurahi sana, nimeshindwa kujizua. Nanyamaza.” “Si
ulisema Temu amekutema wewe! Mbona kaamka na maua?” “Athubu! Mwendawazimu yule
ushawahi kuona ameleta hapa hata pipi? Alikuwa na kazi ya kuomba hela tu, hana
lolote. Akili ya maua aipate wapi mwehu yule. Kichwa…” “Mimi naona turudi
kwenye ile furaha ya maua. Maana mpaka nimeanza kujuta! Mwali umepandisha
hasira gafla!” “Kanifilisi ndio kakimbia! Anajidai..” “Naomba turudi kwenye
maua, Jema.”
“Mletaji
nani?” “Shoga nimepata Zungu la nguvu! Mwanaume anayejielewa si yule mpuuzi.”
“Naona naya kizungu pia!” “Si umeona! Sasa hapo nilishapigiwa simu alfajiri
kutakiwa siku njema ya kazi.” “Na maua juu!” “Sasa je! Utaniambia nini?” “Mama
mimi sina usemi. Ukisema cha nini?” “Umeona Fina eeh! Mungu alitaka niachane na
yule shetani, anitumie malaika wake. Basi mwenzio NAPENDWA!” Fina alicheka
mpaka na yeye akajisahau kama Kumu yupo upande wa pili.
“Alitaka
kukutia kichaa!” “Kabisa. Basi jana nimebembelezwa kwa raha zangu!” “Jema
huyo!” “Sasa je! Mungu akaona rangi yangu, akanipa Zungu. Bwana Fina mwanaume
mzuri huyo!” “Tumuone.” “Sitaki.” “Jema naye?” “Subiri kidogo Fina. Ndio week
ya kwanza tu! Acha kwanza tuone.” “Na kweli mwaya. Hongera Jema mwaya.” “Mungu
wangu ananifuta machozi kikubwa. Sikutegemea!” “Na wewe umetulia, lazima upate
kitu kizuri. Acha mimi ndio nihangaike na wanaume wa hapa.” “Tulia Fina,
utapata na wewe wa uhakika.” “Siwezi Jema. Nishazoea uhuru wangu. Bia na nyama
choma kila siku usiku baa, ndio nikalale. Nikijiingiza tu na hekaheka za ndoa,
ndio ujue uhuru wangu tena umepokonywa, kutoka kwa ruhusa!”
“Unajikuta
mtu mliyekutana naye uzeeni eti ndio anaanza kukupangia nini cha
kufanya! Akuu, SITAKI! Acha nyinyi muolewe, mabwana zenu mnaowapikia ndani na
kuwafulia, ndio watutunze sie wamjini. Tunakesha nao baa, ukitosheka
unamuachia, anarudi kwake, na mimi naenda kulala kwangu kwa uhuru wangu. Akiugua,
mnatuuguzia mpaka akipona. Sisi mguu juu. Katika raha na raha tu.”
Aliongea kwa utani, lakini Jema akaumia rohoni. “Ndio maana yake, wala sio
uongo. Viapo mnakula nyinyi. Katika shida, sisi tunakula nao katika raha.” Fina
akaongeza na kutoka.
~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~
Alipotoka
tu, Jema akakimbilia simu yake. Akatuma ujumbe. ‘You made my day.
Nimerukaruka mpaka jasho limenitoka. Nimefurahi sana. Asante kwa maua. Ila mimi
sijakutumia kitu.’ James akacheka na kumpigia. “Sio mashindano mama.” Jema
akacheka sana. “Nimefurahi James, nimefurahi sana. Tena ni roses fresh! Nyekundu na
chache nyeupe. Maana ya rangi zote mbili ninayo na nimeweka moyoni. Ukija
kusahau ujue nitakukumbusha siku ya leo.” “Hapo nimeshukuru kama umepata ujumbe
wangu. Mwanzo mpya wa mahusiano yetu ya mapenzi.” “Nimefurahi sana. Tena sana
kwa kuwa naanza na wewe.” “Ni hivyo itakua nikiigiza.” Jema akaanza kucheka tena.
Akauliza.
“Lakini
ungesemaje?” “Hivyohivyo kama ulivyosema ila mimi ningeongeza kwa kuwa jana
sikukwambia.” Jema akawa hajaelewa. “Nimelala nikijilaumu.
Nikajiambia sina sababu ya kujichelewesha kwako Jema. Nataka kukwambia na
sitasubiri tena. NAKUPENDA na NIMEKUCHAGUA wewe.” “Jamani James!” “Oooh yeah!
Nimekuchagua Jema. Na nataka ujue nimeamua. Sijaribishi.” Jema
akazidi kufurahi.
“Kwa hiyo nabadilisha.
Kama kuna madhaifu utakayoyagundua, ujue mimi ni wako tu. Nibebe hivyohivyo.
Ila ujue sitakusudia kukuumiza. Ujue kuna ubinadamu, kuna kupelea. Unichunguze
kwa nia ya kufahamu utakuwa na mtu gani, sio kuachana.” Kwa
waliomzunguka James. Kuanzia kina Zinda wasiojua kutongoza mpaka mtaalamu Kumu
na Geb, James akakusanya yote. Akawa mjuzi kwelikweli. Na hivi alimlea Nanaa
kama mama, akawa na haiba ya upendo wa mapenzi wenye ladha ya kimama. Hapo Jema
akafikishwa.
“Mimi
nahisi kama ndoto, naogopa nisije kuamka James.” “Hata ukiamka utakutana na
James huyuhuyu na maneno hayahaya. Rudi kuchapa kazi, usije haribu sifa njema.
Tutazungumza tena baadaye.” “Asante sana James. Asante kwa maua na upendo.”
“Karibu.” Waajiriwa hao hawakutaka kupoteza muda wa kazi kwenye mapenzi.
Kila mmoja akarudi kazini lakini wote wakiwa wamejawa furaha ya ajabu.
Kwa Naya & Joshua.
Joshua
akapotelea mawazoni. Akakumbuka jinsi Naya alivyokuwa akifurahia zawadi ya maua
kuliko chochote ampacho. “Sijui atakumbuka kama anapenda maua!” Akacheka
alipomkumbuka Naya na aliyomfanyia asubuhi hiyo. Akasikia kumpenda. Akachukua
simu kuangalia nyumbani kwake kama ameamka. Akaona nyumba nzima ipo kimya,
akajua bado amelala. Akajipongeza na kufurahi`kumpelekea kifungua kinywa
chumbani na kumwambia ale kabla hajarudi kulala. Akaazimia kumnunulia maua na
kuona kama atakumbuka. Kisha akamtumia ujumbe. ‘Nakupenda Naya wangu.’ Hapohapo
akarudisha ujumbe. ‘Nakupenda Joshua. Nakupenda sana. Hapa nilikuwa nakuwaza wewe.’ Joshua
akampigia.
“Unaniwazia
nini?” “Mema.” Naya akajibu akicheka akisikika bado yupo kitandani. “Yepi
hayo?” “Ni surprise yako ukirudi.” “Utanifanya nishindwe kazi.” “Ndio
usichelewe kurudi.” “Sithubutu. Nichelewe kuvuliwa nguo!” Naya
akacheka sana. “Nakupenda Joshua. Napenda unavyonichezea na mimi. Hapa nimelala
nakumbuka weekend yetu ilivyokuwa nzuri.” “Na mimi nilikuwa na wakati mzuri.
Nakupenda Naya wangu.” “Najua Joshua. Nikuache ufanye kazi.”
Wakaagana.
~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~
Aliporudi
kulala, akiwa katikati ya usingizi mzito akasikia tena sauti anayoijua kwa
hakika ila alishindwa kabisa kumtambua ni nani huwa anamuongelesha. ‘Umesimama
sehemu sahihi.’ Naya akashituka kutoka usingizini. Na haikuwa mara yake ya
kwanza. Tokea aanze kusikia hiyo sauti alianza kuandika kwenye kijitabu. Kila ujumbe,
aliandika na tarehe alizokuwa akiongeleshwa au kupata ujumbe. Kwa hiyo hicho
kitabu alikuwa akikificha kwenye chumba chenye vitu vyake, akisikia ujumbe,
anakwenda huko bila kumwambia hata mumewe, anaandika na kukirudisha. Na wakati
wote alikuwa akiandika kama anavyosikia huku akijaribu kutafakari. “Inamaana
gani hii!” Naya akabaki akitafakari akiogopa kumshirikisha mumewe asije
akaonekana amechanganyikiwa. Maana hata yeye alishindwa kuelewa kama ni ndoto,
au kweli mtu anazungumza naye, au kumbukumbu ndio zinamrudia! Akabakia kuweka
kama siri yake mpaka atakapojua kwa hakika.
Moja ya
yaliyozungumzwa kweke akiwa usingizini ni, ‘Kuwa mwangalifu usije
kuharibu kazi ya watu.’ Wakati mwingine alisikia, ‘Kuwa makini usije
kuharibu kazi za watu.’ Na mara zote aliandika. Alipoandika huo ujumbe wa asubuhi hiyo
nayo, akarudia kusoma jumbe zote, kisha akaanza kuwaza alikuwa akifanya nini
kabla hajapoteza kumbukumbu. Hiko kikaanza kumsumbua.
Joshua alimwambia
alikuwa na kipaji. Akaanza kupitia kazi zake na kushindwa kabisa kuelewa
aliweza vipi kuchora mitindo kama ile! Akaanza kusoma historia ya kila mtindo,
ndipo akakutana na sehemu aliandika juu ya baba Naya. Akatulia kabisa. Pembeni
ya historia ya ule mtindo akaona ameandika, ‘siku baba Naya aliposimama
na mimi nikiwa sistahili upendo wake wala huruma zake. Amenishika mikono yangu,
amenifuta machozi niliyojisababishia mwenyewe na kuniombea moyo uliojeruhiwa
vibaya sana.’ Akatulia akitafakari. Akagundua mitindo yote ilikuwa na historia
fupi, lakini za aina mbili. Akawa akiandika pia na kipindi alichokuwa akipitia
kwa wakati huo akibuni huo mtindo.
Alishinda
humo chumbani akisoma habari nyingi tofauti tofauti. Zake, Malon mpaka
akamfikia Joshua na kushangazwa sana. “Huyu Joshua aliwezaje kunipenda mtu
niliyekuwa na moyo kama huu!” Hizo ni siri zake alikuwa akiandika wakati
huo kabla hata ya kuolewa, kwa kila kipindi anachopitia. Akajua kwa hakika
Joshua anampenda na kushangazwa na maisha aliyoishi nyuma. Naya alishinda
kwenye hicho chumba siku nzima.
Bale Kwa Joshua.
Akiwa
ofisini akaona simu ya Bale ikiingia. Akakunja uso na kupokea. “Eti mimi
nilimuuza Naya?” Akaenda moja kwa moja kwenye swali alilouliza kama anayejitetea. “Wewe wajua
Bale.” “Mimi nakuuliza tu. Maana inakua kama lawama!” Joshua
akakunja uso asielewe anayeweza kumlaumu Bale ni nani! “Maana mimi
nilikurudishia Naya. Sasa nataka kujua.” “Bale, wewe ndiye mwenye hayo majibu
yote. Ninachojua nilipata baraka za baba yenu. Aliniombea baraka juu yangu,
Naya na uzao wangu au wetu. Akanibariki kwa kinywa chake tena akiwa ametoka
kufunga kwa siku zaidi ya tatu. Akanipa Naya kama mke wangu, na wote
mlijua japo hamkuridhia.” Joshua akaendelea taratibu
tu.
“Mke wangu
akapotea akiwa anamuombolezea baba yake, Zayoni na ndugu zenu. Ukamrudisha ukiwa
unampiga kikatili, mgonjwa na akiwa ameumizwa mwili wake vibaya sana. Sijui
alipoteaje! Sijui alifanywa nini huko! Lakini Bale, Mungu wangu hajawahi
kunipokonya kilicho changu. Alifanya nini huyo Mungu. Alimtumia nani kujibu
maombi yangu, mimi sijui! Ila najua Mungu ambaye ni baba yangu
alinirudishia mke wangu. Na hakika nimemuachia yeye ahukumu kwa haki.” “Ila
huyo Mungu alinitumia mimi kukurudishia Naya.” “Wewe wajua Bale.” Joshua
akamjibu hivyo tu kama asiyetaka malumbano.
“Sasa mbona
unashindwa kutambua hata kama nilikosa lakini nilijirudi?! Ulitaka
nifanye nini Joshua? Mbona wewe upo kinyume yangu tokea mwanzo!” Ila Joshua
akagundua aina hii ya Bale aliyepiga simu, siye waliyeachana mara ya mwisho kwa
kiburi. “Nina uhakika kabisa, unashuhudiwa moyoni mwako Bale, sijawahi
kukupa sababu ya kuona nipo kinyume na wewe. Na kukupunguzia tu wasiwasi, mimi
ni mtu wa mwisho sana kutakiwa kujirudi kwangu.” “Kwa hiyo unataka nimtafute
Naya nimuombe msamaha?” Akauliza Bale.
“Japokuwa
sijui unata kumuomba msamaha wa nini! Lakini kwanza, Naya hakukumbuki kwa
wema ila mtu wa mwisho kumpiga ukiwa na hasira sana juu yake na mpaka leo hajui
ni kwa nini ulikuwa ukimpiga vile wakati anasema alishakwambia kichwa kinamuuma
sana na hukutaka kumsadia. Na mimi sikutaka kukutambulisha kwake kwa ubaya,
nimeacha kama ilivyo. Ila anakuogopa sana. Na kingine mke wangu
hakumbuki yaliyompata. Kumtafuta mke wangu sasahivi nakumpa habari asizoelewa,
ambazo pengine Mungu ameona amfiche kwa muda mpaka apone kabisa au mpaka yeye
mwenyewe Mungu aone yupo tayari. Kwa KUHARAKISHA kwako sasa hivi, nikumchanganya
tu, na SITAKURUHUSU.” Hapo Joshua akaweka msisitizo.
“Kwa hiyo
ulitaka nini?” Bale akauliza kwa ukali kidogo. “Kama utakumbuka sawasawa ni
wewe ndiye uliyenipigia simu. Binafsi niliheshimu matakwa yako, ukiniomba nikae
mbali na wewe. Ndio maana umeona sijakubugudhi tena kwa lolote. Ila kumalizia
nilichotaka kukwambia, mtu sahihi wa kujirudi kwake na kutengeneza, si
Naya wala mimi ila MUNGU.” Kimya. Joshua akaangalia
simu na kukuta hajakata. “Umenisikia Bale? Mungu aonae sirini, ndiye mtu wa kuzungumza naye
wala si mimi, kwani aidha uwe sawa na mimi au la, kama umekosana na Mungu ni
bure kabisa.” Kimya.
“Na najua
kwa hakika unajua kama Mungu ni halisi Bale. Nilipokonywa mke wangu, lakini
pesa na vyote nilivyonavyo vilishindwa kumpata mke wangu. Lakini huyu Mungu
wa milele.” Joshua akakaa sawa, akisikika amehamasika. “Mwenye
enzi yote. Aliyekuwepo pote hata ambako macho yangu na pesa zangu vilishindwa
kufika, alitingisha hii dunia
mpaka ikamtoa mke wangu mafichoni na kunirudishia mimi. Japokuwa
hakuwa akinikumbuka, Mungu ameniumbia Naya wa ajabu sana. Ambaye sikumtarajia.
Imekuwa kama kule kupotea kwake, Mungu amebadilisha. Lile shetani alilokusudia
kulifanya kwangu na kwa mke wangu kwa ubaya, Mungu ameligeuza na kuwa
jema mno kwetu. Ninachotaka kusema ni, ni bora uwe sawa na Mungu
kuliko yeyote yule. Anauwezo wa kutengeneza kwa ajabu sana. Zaidi ya
ufikiriavyo au uombavyo.” Akaendelea.
“Mimi
nilimlilia Mungu kunirudishia mke, akarudi hanikumbuki, lakini nikakumbuka lile
andiko linalosema, ‘wao wamngojeao bwana, watavikwa nguvu
mpya’.” Joshua akaanza kuzungumza naye. “Hakuna jasiri wa kusubiri
Bale, lakini najua yapo matokeo mazuri sana kwenye kumsubiri Mungu. Wale
wanaosubiri katika Bwana, hawajawahi kuabika hata kama mwanzoni wanaonekana
wamechelewa.” “Kwa hiyo unachotaka kusema mimi sijamsubiria Bwana?” “Wewe wajua
Bale. Narudia tena. Wewe unayo majibu ya hayo maswali yote. Ila mimi
nilimsubiria Bwana wangu, MAGOTINI. Akanitia nguvu, akanirudishia mke
asiyenikumbuka KABISA. Sikukata tamaa, nikaendelea kusubiri magotini nikimlilia
Mungu wangu mpaka Mungu aliponikabidhi tena mke aliyemtengeneza yeye kwa upya.”
“Na zawadi
kutoka kwa Mungu huwa zinakuja, ila wakati mwingine huja kwa kuchelewa, ila
zinakuja kwa namna ya kipekee sana. Zimejawa amani, utulivu, zikiambatana na
baraka za kiMungu. Shetani hana zawadi ya bure. Zawadi zake ni za kuwahi
lakini ni LAZIMA utakuja kulipa garama tu. Kwa hiyo kama unajihisi kunakutakiwa
kutengeneza kwa namna yeyote ile, anza kwanza kwa Mungu mwenye rehema, Bale.” Simu
ikakatwa. Joshua akashukuru kuona angalau alisikiliza mpaka mwisho. Hakumpigia
tena. Akamuacha kabisa.
~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~
Ujumbe
mwingine kutoka kwa Naya ukaingia. “Nakupenda sana Joshua.
Asante kusimama na mimi hata katika vipindi ambavyo sikukustahili. Mungu
alikuleta kwangu akijua nakuhitaji sana. Tafadhali endelea kunivumilia kwa
muda. Naamini nitakuwa mke ambaye nitakufaa tu.” Kidogo akawa amemchanganya
Joshua. Ikawa kama amekumbuka kitu kisha ikawa kama hakumbuki tena, asijue
ujumbe huo anamtumia mumewe akiwa hakumbuki nyuma ile vile alivyosoma
alivyokuwa akiandika juu yake tokea wachumba. Hapo Naya amekutana na diary yake
ya nyuma ndio akamsoma Joshua na wanaume wengine wote waliopita kwenye maisha
yake.
‘Hata sasa
unanifaa Naya. Nakupenda hivyo ulivyo.’ Joshua akamtumia huo
ujumbe. ‘Simaanishi kwenye mapenzi tu, Joshua. Namaanisha mwanamke
unayesimama naye kwenye maisha. Kuwa msaidizi wako kwenye uhalisia kwelikweli.
Acha niendelee kumuomba Mungu kama ulivyonishauri. Nitajua mimi ni nani na
natakiwa kufanya nini.’ Aliposoma huo ujumbe akaona ampigie. Akamsikia akilia.
“Ni nini
tena mpenzi wangu?” “Naangalia hii mitindo, sikumbuki kabisa! Nimejaribu kushika hii
cherehani, sijui kabisa chakufanya!” “Kwanza naomba utulie Naya.
Na naomba usiwe na haraka. Unakumbuka jana tulizungumza juu ya kumngojea
Bwana?” “Mbona hajibu sasa?” “Inawezekana
hivyo ndivyo anakujibu.” Naya akawa hajaelewa na Joshua akajua. “Wewe
ulitaka kuanza kushona sasahivi, pengine si kitu Mungu anataka uanze
nacho.” Hapo akatulia.
“Tafadhali
kuwa mvumilivu.” “Sitaki kukaa tu bure.” Naya akaongea akilalamika.
“Ni vile
hutambui mchango wako kwangu. Sasahivi akili yangu imetulia, naweza kufanya kazi
kwa utulivu mkubwa. Namsikia Mungu wangu vizuri sana, kwa sababu yako.
Unanituliza Naya. Nipo hapa kazini nikifanya kazi vizuri kwa sababu najua Naya
wangu yupo nyumbani, akinisubiri mimi. Na nikifika, nafika kwenye utulivu.” “Nakupenda
Joshua.” Akadakia kwa haraka.
“Najua
Naya. Tafadhali jua unao mchango mkubwa sana. Chochote ninachofanya sasahivi
ujue unamchango mkubwa sana kwangu. Unakumbuka jana ulilala mchana nikaingia
ofisini kufanya kazi mpaka uliponikuta?” “Lakini
nilikuingilia Joshua! Najiona kwa sababu sina kitu chakufanya ndio maana
nakuingilia.” “Hata kidogo. Pale tulipohamia kwenye kochi nikakwambia kuna kitu
nakitoa akilini nakiweka kwenye karatasi, ukatulia kwenye miguu yangu.”
Akamsikia akicheka taratibu kama aliyekumbuka kitu.
“Umekumbuka
eeh?” “Nilipenda vile ulivyokuwa ukinichezea matiti yangu.” Joshua
akacheka na kuendelea. “Vile ulivyokuwa umetulia pale, ilinipa utulivu mkubwa sana. Japokuwa
nilikuwa nikiburudika na matiti, lakini mkono ule mwingine uliweza kutoa mambo
ya ajabu sana. Nilipofika hapa ofisini nilikuwa nikisoma nilichokiweka kwenye
karatasi, mimi mwenyewe nilikuwa nikishangaa. Ni kwa ule utulivu unaonipa Naya.
Umetulia mpenzi wangu. Muelewa. Husumbui. Jana ulitulia mpaka nilipomaliza.”
“Kwa kuwa nilikuwa naona raha.” Joshua alicheka sana.
Jumapili, Nyumbani Kwao Goba.
Naya
alimlalia akiwa anaandika kwenye meza ndogo ya pembeni ya kochi. Akajipenyeza
akamlalia na kutulia kimya wakati mwenzie akifanya kazi. Ikawa kama kapaka.
Akiwa ametulia, akashangaa mkono wa Joshua unapenya kifuani. Akajiweka sawa
kama kumpa mwanya kufanya anachotaka kufanya. Macho kwenye kalamu na karatasi
akionekana makini, huku akipenya mpaka akafikia matiti yake. Akamsikia akihema
bila kumwangalia. Akaendelea kuandika huku akimchezea matiti yake. Akapotelea
mawazoni akipikicha chuchu zake.
Naya
akawa mvumilivu lakini akiwa ameshaloa kwa kutaka penzi. Joshua alipomuinamia
tu na kumbusu akimwambia amemaliza, Naya akakimbilia zipu yake ya suruali. Alikuwa
amelala kochini, Joshua amekaa, Naya akaanza kumnyonya. Alimnyonya mpaka
akaanza kupata ladha ya ute wa mumewe, akavua chupi yake kwa haraka, akamkalia.
Akatoa ziwa na kumuashiria anyonye. Joshua akaelewa. Akajivuta mbele, akaweka titi
mdomoni, Naya akajizungusha hapo akijipimia atakavyo, mumewe akimnyonya titi
lake huku mkono mmoja umemshika kwa nguvu. Akaanza kufika kileleni yeye
mwenyewe Naya. Ndipo ikaja sasa zamu ya Joshua. Akamtoa kile kigauni.
Akamlaza
chali hapo kochini, akapiga magoti mbele yake, akamvuta kiuno kwake. Miguu yake
akaibeba mabegani, kichwa chake kikawa katikati ya mapaja yake akimpata uke
wake vilivyo. Akaanza utundu wake wa ulimi ambao hata kama Naya amekua ametoka
kileleni, akimuamulia, lazima atampigisha bao la pili. Akaanza kumnyonya
kuanzia mbele mpaka nyuma. Akafanya hivyo akivuta kama ananyonya pipi taratibu
mpaka akasikia anaanza kunung’unika. Akajua anamtaka amuingilie. Akamuelewa ila
hakufanya hivyo. Ikabidi Naya amuombe akinung’unika. Joshua hakuingia ila
akakamata kile kinyama chenye kutoa raha, ambacho kilishatuna haswa kuashiria
Naya yupo juu sana. Alikinyonya kwa nguvu mpaka Naya akapiga bao la pili.
“Nilitaka
uniingilie, nipige bao nikiwa nakusikia ndani yangu.” Naya akalalamika na cheko
la aibu. Akashangaa Joshua anamnyanyua na kumuinamisha hapohapo kochini bila ya
kumjibu. Akaanza kumuingizia bila kumjibu kitu. Na vile Naya alishapiga mabao
mawili na anamate ya Joshua, alimsikia vile Joshua akiingia na kutoka nakumpa
raha si maumivu. Hapo ndipo Naya akaelewa kwa nini alimpigisha bao la pili kwa
mdomo. Ni staili anayoipenda Joshua, lakini yeye huwa hapigi bao kwenye staili
hiyo ya kuinama. Joshua alisema anapenda akiwa anamwingilia huku akimtizama
mwili wake kwa nyuma pia. Akiona vile kiuno chake kilivyoingia katikati. Mgongo
ulionyooka, akishika na matako yake, alimwambia anapata ladha ya tofauti.
Basi
akaendelea kwa muda tu. Naya akiwa ameshaenda mara mbili, yeye anatafuta ya
kwanza kwa hapo chumba cha kusomea. Na Joshua alijua kuhimili mchezo na kuweza
kujizuia mpaka aridhike. Na huwa akiamua kwenda muda mrefu kwenye hiyo staili,
wakati mwingine Naya alimshitukia anachomoa, kisha kuinama na kuanza kumnyonya tena,
vilevile akiwa ameinama. Humwambia asibadili staili. Anakuwa kama mtoto wa
mbuzi, kitangina, akinyonya kwa mama yake. Basi hapo huamsha hisia kali kwa
mkewe, hatamruhusu apige bao, anarudi ndani kwa haraka na kuendelea mpaka
amalize. Naya hulalamika kuwa amemkata, ila Joshua huishia kucheka na kusema
yeye alikuwa akijitengenezea njia yake.
Ila
haikuwa hivyo hapo kochini. Siku hiyo walifanya mapenzi karibu siku nzima.
Joshua akawa na kiasi kwa mkewe, akajiachia na kupiga bao zuri. Naya akaanza
kumcheka mumewe akiendelea kupiga bao vile alivyokuwa akigugumia kwa sauti
mpaka akamaliza. Wakajilaza kwenye kapeti hapohapo chumba cha ofisi ya Joshua
hapo nyumbani.
~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~
Wakajikuta
wote wakicheka hapo kwenye simu. “Rudi kazini Joshua. Mimi nitakua sawa.”
“Ndicho nataka kukisikia hicho. Ukiniambia hivyo. Natulia.” “Basi nitaachana na
uanamitindo kwa sasa mpaka Mungu aone nipo tayari kwa hilo.” “Hayo ndio
maneno.” Wakaagana na kukata simu, Joshua akijaribu kujituliza kwani Naya
alimkumbusha mbali, hamu naye ikamuanza kama ambaye hakuagwa asubuhi hiyo.
Asubuhi Ya Siku Hiyo.
Alimuacha
Naya kitandani akiwa amelala, akaingia bafuni kuoga. Akashitukia Naya ameingia
hapo bafuni uchi, na kupiga magoti mbele yake. Ukweli aliamka Joshua Kumu
mwenyewe akiwa ameshasimama haswa, nyuma
ya matako ya mkewe aliyekuwa amempa mgongo tena uchi. Akampapasa matako, Naya
akiwa amelala. Akamsogezea kabisa lakini hata Naya hakutingishika. Akawa mstaarabu,
akaona asimuamshe mkewe kwani usiku uliopita huko ofisini kwa Joshua ndipo
walipofanya lile penzi la haja, wakaenda kuoga na kulala. Eti asubuhi hiyo tena
mzee anataka! Akaona awe muungwana mpaka hapo Naya mwenyewe alipomtokezea
bafuni.
Naya huyu
anayo nguvu. Hafanyi kazi yakumtoa jasho. Kula kulala. Kazi yake ikawa mapenzi
tu. Alipomdaka mzee na kumuingiza mdomoni, akaanza utundu wake wa mdomo bila
meno. Joshua akabaki amesimama katikati ya maji, mikono yote miwili ameshika
kuta kama zinataka kuanguka, Naya akimchezea. Mikono nayo ikawa inamsaidia
kumchua huku akimchezea chini kwenye kengele zake. Nusura Joshua amalizie
hapohapo. Naya akashitukia amenyanyuliwa pale chini, na kuinamishwa mbuzi
kagoma. Uzuri alishamwambia mumewe akiwa anamnyonya yeye, na yeye anapata
raha inakua kama anajiandaa. Joshua anapenya, anakutana na uke uliolaini, na
ute wa kutosha tu. Hakumaliza hata dakika mbili, akawa amemaliza.
Naya
akasimama. “Umefurahi?” “Sana. Sikutaka kukuamsha. Nilitaka nitoke kimyakimya
nikiwa nimeshavaa, nikaabudu chini, ndipo niende kazini.” “Nilihisi mzee
amenigusa kabisa. Nikajua umeshaamka. Ila na mimi nilikuwa na usingizi nikawa
najishauri kuamka. Nikataka kupitiwa na usingizi, nikakuhurumia, sikutaka uende
kazini hivyo.” Joshua akacheka sana. “Ningekuwa sawa tu.” “Najua. Lakini kwa
sababu mimi nipo, sikutaka uwe sawa bila mimi.” “Na wewe?” “Hapana. Mimi narudi
kulala. Bado nina usingizi. Hii ilikuwa kwa ajili yako tu.” “Nakushukuru mama
Kumu. Basi subiria tumalize, nivae kabisa, tukafanye wote ibada fupi
tu.” Walitoka hapo, Joshua akavaa kabisa ndipo wakafanya ibada ila si chini
kwenye kinanda. Joshua alishachelewa muda wake wa ibada aliyozoea kufanya, ili atoke
hapo kwa wakati, awahi kazini .
Ila
Joshua ni wale watu wanaoomba kwa kupiga magoti. Hawezi kukaa akiwa anaomba.
Akapiga magoti pembeni ya kitanda. Naya naye akafanya kama mumewe. Joshua
akaanza kumshukuru Mungu. Akamsifu kama anayeimba. Akamuabudu Mungu wake ndipo
akamshika mkono mkewe. Akaanza kuomba sasa kwa njia ya kushukuru mpaka
akamaliza. “Asante kwa baraka Joshua.” Akambusu na kusimama kwa haraka.
Akakimbilia jikoni. Akakuta kifungua kinywa tayari. Akamuwekea kwenye sinia na
kumkimbizia juu.
“Na
wewe?” “Nimemwambia anifungie. Nitakula njiani. Naona na dereva ameshanifuata.
Sitaki kuchelewa.” Akakaa na kumpa mdomo mkewe. Naya akakaa vizuri na kumpokea.
Akainyonya midomo ya mumewe bila kumpa ulimi wake. Akamnyonya Joshua kisha akamuachia.
“Joshua anapendwa!” “Sana.” Naya akajibu, Joshua akatoka akikimbia na kumuacha
mkewe akicheka. Ndipo Naya akala na kurudi kulala. Mpaka mambo ya maua
yalipomkumbusha mbali na kuamua kumtumia ujumbe akidhani bado amelala.
~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~
Hamu ya
kurudi nyumbani ikampata, ila akakumbuka wajibu mkubwa alio nao hapo kazini.
Akarudisha akili kazini. Kazi zikaendelea akisubiria kwa hamu hiyo surprise anayoandaliwa
na mkewe. Huku akitaka kujua kama Naya atakumbuka swala la maua aliyokusudia
kununua ampelekee
0 Comments:
Post a Comment