Naomi Simulizi |+1 205 767 8163 |naomisimulizi@gmail.com Nilipotea! – sehemu ya 19. - Naomi Simulizi

Nilipotea! – sehemu ya 19.

 

Kwa Mara ya Kwanza, Tunda aamua kufunguka kwa Net

T

unda akajiweka sawa. Net akajua anataka kuongea jambo. “Tokea siku ile nitolewe au niseme nifukuzwe kwa bibi yangu nikiwa darasa la pili, sikuwahi kupata utulivu wa akili. Nakumbuka kwa mara ya kwanza siku ile jioni nikisikia ndugu zake mama wakitaka nitolewe pale kwa mtu niliyedhani ndiye mama yangu au nikidhani nyumbani kwetu, na ndio nikajua mwanamke aliyekuwa akinichukia sana hata alipokuwa akija pale kijijini mara zote hakutaka nimwangalie, ndiye alikuwa mama yangu wa kunizaa.” Tunda akaanza taratibu.

“Nilimsikia jinsi anavyobisha kunichukua akitaka niendelee kuishi pale pale kwa bibi na babu, yaani kwa wazazi wake. Walipomlazimisha sana, wakitaka lazima niondoke pale ili kupunguza matumizi ya pale kwa bibi, pale nilipodhani ni nyumbani kwetu, na mimi ni mdogo wao wa mwisho, ndipo nilipoona jinsi mwanadamu anavyoweza kubadilika na kuwa mnyama mkali kuliko hata simba.”

“Alinichukua kwa hasira sana kwa kuwa walimlazimisha lazima anitoe pale. Njia nzima yule mwanamke ambaye nilisikia wakisema ni mama yangu, alikuwa akinifinya na kunipiga sana. Kama sio makonzi ya kichwani, basi ngumi nzito sana kwa kutofanya alichoniagiza kwa mtoto wake. Ni kweli sikuwa nikimuelewa. Kwanza alinitajia majina ya vitu ambavyo sikuwahi kusikia mimi mtoto mdogo, niliyekuzwa kijijini, tena wakati huo hata Kiswahili chenyewe sikuwa nikielewa sawa sawa. Wakati wote tulikuwa tukizungumza kilugha pale kijijini. Pili, nilikuwa kwenye mshtuko wa kutolewa kwa kufukuzwa kwenye nyumba niliyokulia, kwa watu niliojua ni wazazi wangu.” Tunda akaendelea taratibu.

“Nakumbuka ile hali ya kuchanganyikiwa, hofu na wasiwasi nisijue huyo mwanamke anayenichukia waziwazi, alikuwa akinipeleka wapi! Yeye ndiye alikuwa dereva, nilikaa kiti cha nyuma na mtoto wake. Mbali na usafiri wa vibasi vya pale kijijini kututoa kijiji kimoja kwenda kijiji kingine, sikuwahi kupanda gari aina yeyote ile. Sikujua jinsi ya kushusha kioo cha gari au kupandisha. Na wala sikuwa nikijua wanafunga na kufungua vipi mlango wa gari! Hilo ni kosa pia lililonifanya nipigwe njia nzima. Kila aliporudisha mkono wake nyuma tukiwa njiani ilikuwa ni kunifinya sana au kunipiga kofi.” Net alikuwa akisikiliza kwa makini huku akishangaa.

“Alijawa na hasira juu yangu, hata uso wake alionyesha. Nilishindwa kujua ni kwanini, lakini matusi aliyokuwa akinitukana ndiyo yalinifanya baadaye nihisi labda baba yangu alimtendea kitu kibaya sana ndio maana alinichukia kwa kiasi kile.”

“Tokea siku ile, ndipo maisha yangu yalipobadilika kabisa, Net. Na ndio ukawa mwisho wa kila kitu ambacho wanadamu wengine walibahatika kuwa navyo hapa duniani, wakichezea na kudharau. Mimi ndio ukawa mwisho wangu.”

“Jina la Tunda liliisha kabisa.  Kila aliyeniona aliniita vile anavyotaka yeye. Mama yangu mzazi aliniita majina mengi lakini ambalo lilibaki masikioni mwangu ni ‘Paka’. Alichukia rangi yangu, macho yangu na sauti yangu ndio ilikuwa kero kabisa, kwani ilikuwa ikinichukua muda mrefu kidogo kutengeneza sentensi moja ya Kiswahili, mtu akanielewa. Aliishia kuniwasha vibao vya usoni kila wakati na kunigeuza bubu.”

“Mambo hayakuwahi kugeuka tena, mpaka sasa wewe ndiye mtu wakwanza kupongeza kazi ninayofanya na kunipokea jinsi nilivyo ukijua jinsi nilivyooza, lakini bado unaniheshimu Net. Ndio maana kila ninapokuwa na wewe, najikuta sina hofu Net. Sina sababu ya kujificha, au kujibaraguza au hata kubadili jina langu. Napata amani ya ajabu, najua nipo na mtu anayeweza kunitazama kama binadamu mbali na maovu yangu yote.” Machozi yakaanza kumtoka Tunda.

“Huu usingizi ninaopata nikiwa na wewe sio ninaopata nikiwa peke yangu. Tena afadhali sasa hivi naweza kulala hata masaa machache nikijua kesho nitaenda kazini, kitu ambacho sikuwahi kufikiria kama naweza kufanya maishani. Wanadamu nilioishi nao wote, walihakikisha wananikandamiza na kunihubiria jinsi nilivyo kiumbe dhaifu na siwezi kufanya chochote hapa duniani, mpaka kweli na mimi nikaamini hivyo.” Net alikuwa akimsikiliza kwa kumuhurumia. Akajifuta machozi.

“Ushawahi kukaa kwenye jua kali sana mpaka ukachoka, halafu gafla ukahamishwa kwenye kivuli tena chenye upepo mzuri?  Kitu cha kwanza utakachotamani ni maji ya kunywa ya baridi. Sio kwamba hata ukipewa soda hutakunywa, utakunywa tu. Lakini kitakachoburudisha moyo wako ni maji pekee. Ndivyo ilivyo kwangu. Utulivu wa akili ninaopata ukiwepo hapa na mimi, unanifanya nilale. Ndio maana sitaki hata uniguse wakati ukiondoka, ili angalau pakuche nikiwa katika ile hali ya utulivu akilini mwangu.” Net alianza kuelewa.

“Mama alikupeleka wapi siku hiyo alipokutoa kwa bibi na babu kijijini?” Net akauliza taratibu. “Ilikuwa siku ya maajabu sana kwangu siku hiyo. Alinipeleka kwa baba yangu. Tena hata sikutambulishwa. Baada ya kushindwa kufungua mlango aliponiambia tumefika, ilimbidi ashuke aje kunifungulia yeye. Lilikuwa nikosa ambalo alishindwa kunisamehe. Alifungua mlango kwa hasira. Akanipiga sana, kisha akanitupia nje ya gari huku akinifinya mdomo nisilie hata kidogo. Alinivuta mpaka ndani ya hiyo nyumba ambayo alipofunguliwa mlango tuliingia huku ananivuta kama mwizi, na kuniacha hapo kati kati ya sebule nikiwa nimesimama na wenyeji wakiangalia tv. Sikuambiwa kuwa yule ndiye baba yangu ila nilimsikia akimwambia baba, ‘nimekuletea jaluo mwenzako, sijui kabila gani! Mtajijua wenyewe’. Kisha akaondoka na kuniacha pale.” Tunda akajifuta machozi.

“Pale pale pakaibuka tena ugomvi kuwa sitakiwi na pale tena. Baba alikuwa na yeye ameoa, mkewe alianzisha zogo jingine pale pale akitaka niondolewe usiku uleule, lakini nikafanikiwa kuishi pale kwa muda wa miaka miwili iliyokuwa migumu na iliyosaidia kuharibu akili yangu kabisa, mpaka nilipotolewa pale nusu mfu na jirani kama nilivyotolewa nusu mfu nyumbani kwa mpenzi wako.” Net akakunja uso.

“Mpenzi wangu mimi?!” “Ndiyo.” “Nani mpenzi wangu!?” “Si Sera? Au mliachana?” “Sera hakuwahi kuwa mpenzi wangu bwana.” Tunda akakunja uso kidogo. “Sisemi Samatha yule mdogo, nasemea Sera yule mkubwa.” “Namfahamu Sera na Samatha vizuri sana.” “Sasa mbona unakataa kama sio mpenzi wako wakati ulikuwa ukija kumuona pale hata mara mbili kwa siku?” “Nani alikwambia nilikuwa nikimfuata Sera?” Tunda akawa kama ameshachanganywa kidogo.

“Net jamani!? Au umesahau?” “Nakumbuka kila kitu. Lakini sikuwa nikimfuata Sera.” Tunda akatulia kidogo kama anayefikiria. “Kwanza wewe umejuaje kama nilikuwa nikifika pale? Maana kila nilipokuwa nikija sikuwa nikikuona?” Net akauliza. “Mle ndani ya ile nyumba, ulikuwa kama lulu! Zilikuwa zikianza kutajwa sifa zako, hamtahema. Mimi mwenyewe nilikufahamu hata kabla sijakuona.” Tunda akacheka kidogo.

“Siku ya kwanza unakumbuka nani alikufungulia mlango?” Net akatabasamu kama anayefikiria kidogo. “Siwezi kusahau.” “Basi ulipoingia tu na Joe, nilipokuona tu nikajua ndio Net aliyekuwa akisifiwa mle ndani.” Net akacheka.

“Sera alikupenda sana. Mliishia wapi?” “Kwani tulianzia wapi?” “Net!?” “Nini?” “Safari zote zile ulizokuwa ukija pale, ukamfanya Sera achanganyikiwe! Mpaka wazazi wake walijua mtaoana!” “Walijichanganya wenyewe tu.” “Mmmh! Siamini kama hapakuwa na mwendelezo wa yale mahusiano. Uliwaalika mpaka nyumbani kwenu?” “Tunda! Hebu achana na hayo. Naona wote hamkuwa mmeelewa. Kwanza nijibu kwa nini ulikuwa unanikimbia?” “Weee! Nilipigwa marufuku mwenzio, tena kwa kumwagiwa ndoo ya maji nikiwa nimelala.” Net akashangaa.

“Kwa nini!?” “Wewe unacheza na wale watoto nini? Halafu walivyo washenzi, eti siku inayofuata wewe ulinikuta naingiza godoro ndani baada ya kutoka kuanika baada ya wao kunimwangia maji wakati nimelala, tena nakumbuka ukauliza, ‘vipi mbona kama kuna wanao hama?’. Eti wakakwambia huwa nakojoa kitandani. Hivi uliamini?” “Mimi sio mjinga Tunda. Nilishawasoma watu wote pale ndani, kwa muda mfupi niliwafahamu kwa asilimia kubwa sana. Kila nilichokuwa nikiambiwa nilikuwa nikijua ni kweli ama sivyo.” Tunda akatulia kama anayefikiria.

“Unajua siku uliyoondoka, nilikuja pale kutaka kuongea na wewe?” Tunda alishtuka kidogo. Akageuka nyuma na pembeni kisha akajishika kifuani. “Mimi?” “Ndiyo.” “Unamaanisha mimi Tunda?” “Acha utundu Tunda, tupo wawili tu hapa ndani. Kwani hawakukwambia kama nilimuomba shangazi yako kuja kesho yake, usiku ili kuzungumza na wewe?” Tunda afikiria harakaharaka.

“Basi wewe ndiye uliyenisababishia matatizo Net!” “Nilifanya nini?” “Kama uliwaambia wale, ujue wewe ndio sababu kubwa yakutoka pale nusu mfu.” “Nusu mfu tena? Wakati mimi nilipofika siku hiyo kuja kuzungumza na wewe kama nilivyowaomba, waliniambia ulitoroka tena baada ya kuiba!” Tunda akaumia sana, Net akamuona anaguna.

“Kwani ilikuwaje?” “Aiii! Haina hata haja yakusimulia, haisaidii chochote.” “Mimi nataka kujua.” “Tuache tu.” “Kwa hiyo unataka mimi nibaki na sifa yako ya wizi?” “Nina madhambi mengi sana unayoyajua Net. Kutokuwa mwizi pekee, hakutasafisha uozo wangu. Tuache tu.” “Siwezi kuacha kama mimi ndiye niliyekusababishia matatizo Tunda. Nieleze kilichotokea.” Tunda akatulia kidogo, usoni alibadilika kabisa.

          “Tunda?” Net akaita akitaka Tunda amueleze tu. Tunda akaona amuelezee tu. “Tuliamka siku ile, shangazi akilalamika amepoteza mkufu wake wa dhahabu. Yeye na watoto wake wote walisema mara ya mwisho waliona huo mkufu usiku uliopita wakati wanakuja kwenu. Kwa hiyo tukabaki wezi ni mimi na Nyangeta. Haa!” Tunda akashtuka. “Nini?” “Jamani Nyange! Hivi bado yupo?” “Sijui. Mimi mwenyewe sikurudi tena pale.” “Kwa nini!?” Tunda akauliza kwa mshangao.

“Aaah!” Net alitaka asitoe sababu ya msingi iliyomfanya asirudi tena nyumbani kwa kina Sera. “Lakini hata hivyo muda wangu wa kurudi chuo ulikuwa umeshafika. Niliondoka nchini.” “Shule iliisha sasa?” “Nashukuru Mungu iliisha. Niambie nini kilitokea.” “Kuhusu nini tena?” “Sababu ya kukutoa pale nusu mfu.” “Husahau!?” “Hilo ndilo tatizo langu Tunda. Sisahu na nikikusudia kufanya jambo fulani, ni lazima nifanikishe. Hata kama lina gharama kubwa kiasi gani, lazima nilitimize. Mpaka bibi yangu huwa ananihurumia.” “Lakini ndio maana umefanikiwa Net” “Nimefanikiwa kwenye nini?” “Ona bishara ulizo nazo.” Net akatabasamu.

“Chakwanza nataka uelewe zile ni biashara za mama yangu. Mimi ni mwajiriwa kama wewe tu. Nampa tu mawazo kama hivi unavyonishauri mimi, na yeye anachagua kipi chakutendea kazi, basi.” “Lakini kwa hapo ulipo Net, ni kama huna kitu unataka maishani.” Net akatabasamu akabaki akifikiria kidogo.

“Nikikwambia pesa hainunui kila kitu hapa duniani, huwezi kuniamini.” “Mimi tena? Naamini sana tu Net. Nimezihangaikia hizo pesa jamani! Sitakaa nikasahau maishani. Nilidhani nikiwa na maisha fulani ndio itanisaidia kurudisha ile hali ya kabla sijatolewa kwa bibi yangu kwa mara ya kwanza, lakini wapi Net! Nimetafuta kurudisha ile hali kwa mateso sana, lakini sijafanikiwa. Nimeishia kudhalilika tu.” Tunda aliongea kinyonge.

“Sijui nilipatwa na nini!? Nilikuwa kama mbwa, tena mbwa wa uswahilini. Mchafu kuliko, sijui nini!” Tunda akatulia kidogo. Net naye kimya. Hapo hakuongeza.

“Turudi kwenye swali lako Net.” “Ehe!” Tunda akajifuta machozi. “Kweli wewe king’ang’anizi.” “Sitaondoka leo mpaka nijue.” “Haya bwana. Basi yule Mzee akaanza kutukaba mimi na Nyange, tutoe huo mkufu wa mkewe.” Tunda akatulia kidogo.

“Sikukuzwa au kulelewa kwenye mazingira ya kusikilizwa Net, kwa hiyo sijui kabisa kujitetea. Vile mtu anavyosema juu yangu, huwa mara nyingi inabaki vile vile. Kwa kuwa siwezi kukanusha, hasa pale ninaposhutumiwa moja kwa moja. Nakuwa kama ninapatwa na ganzi mwili mzima. Mwenzangu Nyangeta alijitetea haraka haraka akapona. Mimi nikabaki kama bubu. Basi pale mimi ndio nikaonekana mwizi moja kwa moja.”

“Yule Mzee akaamuru iletwe mifuko yangu ya nguo. Maana nilikuwa na mifuko miwili ya plastiki, ndio nilikuwa nikiwekea vitu vyangu vyote. Hatukuruhusiwa kutumia makabati ya mle ndani chumbani.” “Kwa nini!?” Tunda akacheka kidogo. “Mimi waliniambia wanaogopa naweza kusababisha wadudu kwenye hayo makabati ya ukutani. Yalikuwa yamejengewa kwenye ukuta. Mazuri kweli. Lakini yalikuwa yakifungwa kabisa na funguo ambazo alikuwa akitunza shangazi. Kwa hiyo tukawa tunaweka vitu vyetu kwenye mifuko tu ya plastiki.” Net alibaki na mshangao.

“Basi mifuko yangu ikaletwa. Walipomwaga chini vitu vyangu ili kukagua, ule mkufu wa shangazi si ukaanguka kutoka kwenye huo mfuko wangu! Tena mfuko wa kwanza tu, hata hawakwenda wa pili. Net! Nilipigwa mimi. Nafikiri Mungu alinihurumia. Maana alinipiga sehemu iliyonisaidia kupoteza fahamu, sikujua kinachoendelea mpaka nilipopata fahamu nikiwa hospitalini.”

“Nilijua nilipigwa sana kutokana na maumivu niliyokuwa nayo, na jinsi nilivyokuwa nimepasuka. Nilipasuka hapa juu ya macho, midomo, mbavu zilivunjika. Mkono huu ulivunjika, mpaka mifupa ilikuwa ikionekana kwa nje kuwa imetengana. Bega lilitenguka.”

Nilikaa hospitalini zaidi ya mwezi sababu ya kuvuja damu kwenye mbavu, na kutobolewa kuwekwa vyuma, kama mshikaki. Halafu sikuwa na pakwenda. Kila mahali nimefukuzwa. Ikabidi kuomba kuendelea kukaa pale pale hospitalini mpaka nipone. Mtu aliyekuwepo hapo kuniuguza ni baba, naye alifungwa nikiwa bado hospitalini.” Tunda alinyamaza na kufuta machozi.

“Na yeye ni mtu mwingine aliyenikubali vile nilivyo. Mpaka nilikuwa namshangaa. Alikuwa akipewa habari zangu mbaya tupu, lakini wakati wote alinithamini. Nililia sana baada ya kumkuta tena kwa mara ya pili pembeni ya kitanda changu hospitalini.” “Mara ya pili?” Net akauliza.

“Mara ya kwanza ni pale mama aliponiacha hospitalini baada ya kunitoa mimba. Nilikuwa peke yangu na barua aliyokuwa ameniachia niisome mara baada ya kuzinduka usingizini, akinitaarifu yeye na ndugu zake wote hawataki kuniona tena, kwa kosa la kuwa na mahusiano na mumewe. Lakini hata baba alipoambiwa hilo kosa langu, alikuja kuniuguza mpaka nikatoka.”  Tunda alitulia akainama kwa muda.

Kisha akaendelea. “Na mara ya pili nilizinduka hospitalini nikamkuta baba tu, tena hata hapo nikiwa ninatuhumiwa za wizi wa huo mkufu wa shangazi. Lakini mara zote hizo baba amekuwa akinihudumia bila shida. Siku aliyokuwa ananiaga kuwa anaweza asirudi tena, aliniambia nisiwahi kufikiri kama mimi ni mtoto wa bahati mbaya. Alinieleza kuanzia mwanzo wa kuzaliwa kwangu mpaka nilipoishia kijijini.”

“Ilikuwaje?” Tunda alimsimulia Net kila kitu juu ya baba yake na mama yake, mpaka alipoenda kutelekezwa kijijini. “Daah! Unahistoria ngumu Tunda!” “Lakini wewe pia ulichangia Net!” Net akaanza kucheka. “Jamani mimi nilifanyaje?” “Nikifikiria juu ya kile kisa cha mkufu wa shangazi, sasa hivi ndio naelewa kuwa ni mpango shangazi alifanya na wanae. Walimtumia yule baba kuniadhibu bila yule baba mwenyewe kujua kinachoendelea.” Net hakuwa ameelewa vizuri.

“Ukweli kile kitendo cha kuwa na mahusiano na mume wa mama yangu kilinipotezea uaminifu kwa watu wengi sana. Hakuna aliyeniamini na mumewe au hata marafiki zao wa kiume. Shangazi mwenyewe alinipiga marufuku hata kupita pale sebuleni mumewe akiwepo. Sasa na wewe walijua kabisa ungemuoa Sera, kwa hiyo hawakutaka mimi niwe hata nakuona. Waliniambia kila unapokuja niwe natoka nje kabisa, nisirudi mpaka wewe utakapokuwa umeondoka.” Hapo Net akawa ameelewa.

“Samahani sana Tunda. Sikukusudia kukusababishia matatizo.” “Wala usijisikie vibaya Net. Nilikuwa navuna nilichopanda. Nilikuwa nalipa uovu wangu.” “Sio kwa njia hiyo Tunda.” Tunda akacheka tena taratibu, huku akifikiria.

Akawa kama amekumbuka. “Ulitaka kuniambia nini Net?” Tunda alinyanyua uso, nakumuuliza. “Tuache tu. Sasa hivi haina maana tena.” “Kwa nini unasema hivyo!?” “Tunda wa wakati ule niliyetaka kuzungumza naye sio Tunda huyu wa sasa. Umebadilika sana Tunda. Hata nikikwambia sasa hivi, haitaleta maana tena.” Tunda aliumia sana moyoni.

“Naelewa Net. Naelewa kabisa, wala sikatai. Mimi mwenyewe wakati mwingine sijitambui kabisa. Nahisi ni kama mtu ninayeangalia watu wengi tofauti tofauti ndani ya mwili mmoja wakiishi kwa kupeana zamu. Mimi mwenyewe sijitambui. Nimepotea kabisa. Hata sasa hivi hapa sijui anayeishi kwa kutumia huu mwili wangu ni nani! Kuna umbali mkubwa sana kati yangu mimi binafsi na watu wote unaowafahamu kupitia huu mwili wangu. Kuna mambo nilikuwa nikifanya mpaka mimi mwenyewe nilikuwa naogopa Net! Nilikuwa nikirudi nyumbani kwangu nashindwa hata kulala kwa mshtuko.” Tunda akaendelea kuongea huku akivuta kumbukumbu taratibu.

“Ni kweli mwanadamu ana uwezo mkubwa sana. Siku chache zilizopita kama mtu angeniambia wale kina Anna, Judy, Irini, sijui Pamela, Nancy,  Mwajuma, Latifa, Fina, Lina wanaweza kuja kuwa mimi nikakaa ofisini nikafanya kitu kinachoweza kuonekana, nisingekubali. Nilishapotea kabisa katika ulimwengu mingi tofauti, tofauti.” Tunda aliongea taratibu huku ameinama akichezea vidole vyake.

“Sikuwahi kujua kama kuna siku naweza kula chakula kwa pesa ninayoweza kutengeneza kupitia kuajiriwa kihalali na si kwa kutumia kulala na watu, tena wengine walevi, wavuta bangi, wengine wachafu huwezi hata kuvumilia harufu zao, nisingeamini. Nashindwa kujielewa kama huyu tena sasa hivi kwenye huu mwili wangu kama ni mtu mwingine kati ya wale watu wengi ambao wanaishi kwenye huu mwili wangu au la!”

“Nikiwa peke yangu naogopa nasema itakuwaje wale watu wengine kina Nancy wakaamua kurudi tena, wakaishi? Nina hofu ya kurudia yale maisha Net. Pesa mnayonilipa wewe na mama yako kwa kuwafanyia kazi mwezi mzima, nilikuwa na uwezo wakuitengeneza hata ndani ya siku mbili, au moja. Inategemea na mtu niliye naye. Lakini siyo maisha ninayotamani kuja kurudia Net. Yanatisha.” “Unao uwezo wakutorudia tena Tunda.” “Sidhani kama ni uamuzi wangu Net. Sijui.” “Kwa nini unasema hivyo?” Tunda alifikiria kidogo kisha akacheka na kuguna.

“Unajua watu wote wananilaumu kwa nini nililala na mume wa mama yangu. Najua hata wewe utakuwa huelewi. Lakini hakuna mtu hata mmoja aliyewahi kuniuliza ilikuwaje! Hata baba mwenyewe hakuniuliza. Kila mtu ananilaumu na kunishangaa.” “Ilikuwaje Tunda?” “Kwa nini unaniuliza leo Net, wakati ulinifahamu muda mrefu tu?” Tunda akauliza kwa upole huku akijifuta machozi.

“Kumbuka hatufahamiani Tunda. Nimekufahamu kwa kutambulishwa na watu. Na kote nimekuwa nikitambulishwa majina tofauti tofauti, nimeamua kubaki na la Tunda, kwa kuwa ndilo nililotambulishwa na ndugu zako. Na kila nilipokutana na wewe nilikuta upo kwenye matatizo makubwa sana, au tuseme mazingira ambayo hayakuniruhusu hata kukusalimia kwa kukushika mkono. Nina habari zako nyingi na nasikitika zote ni mbaya na ni za kuogopesha.” Net akaendelea.

 “Sijui nauliza nini naacha nini? Nashindwa naanzia salamu kwa kukushika mkono kwanza ndipo nikuulize jina lako, au nijipe muda labda ipo siku nitajua wewe ni nani! Nina hofu sijui mwisho wa yote hayo naishia kumfahamu Tunda, au Judy! Yeyote yule sasa hivi aliyepo ndani yako sikuwa na ujasiri wa kukimbilia kukuuliza  ilikuwaje ukawa na mahusiano na baba yako wa kambo, wakati nina maswali makubwa sana na ya msingi nilitaka kujibiwa kabla ya swali kama hili ambalo nilijua nikipata majibu ya maswali ya msingi, mengine yangejijibu yenyewe.” Net akaendelea.

“Huwa sipendi na ninahofia sana kufikia mwisho wa maamuzi ya jambo lolote lile maishani mwangu, kwa kuwa ninatatizo la kutosahau na huwa ni mgumu sana kurudi nyuma. Siwezi na sijawahi. Nikifika mwisho wa jambo, nikakubali kuwa hapo ni mwisho ujue hakuna mwanadamu mwingine anayeweza isipokuwa Mungu ameingilia kati. Kwa kuwa huwa natumia kila kitu Mungu alichonipa katika kukabiliana na mambo yangu, na huwa ni mvumilivu sana.”

“Mpaka mimi nikikwambia nimefika mwisho, ujue hakuna mwanadamu angeweza kuvumilia. Ndio maana naogopa sana kufika kwenye kumuhukumu mtu. Kama ni mwanadamu, nataka kumjua si kwa maneno yake tu bali nataka nimfahamu vile alivyo kwa kuishi naye. Nione na kujua jinsi alipopita mpaka akafika hapo, na kujaribu kuangalia anatumia vipi nafasi ya pili ambayo Mungu amempa? Hapo ndipo nachora mstari, si vinginevyo.” Tunda alikuwa ametulia akimsikiliza Net.

“Leo nimepata ujasiri wa kukuliza kwa kuwa kwanza nimeona umekuwa tayari wewe mwenyewe kuongea. Nimehisi umeniamini, kitu kilichonifurahisha. Sikutaka mimi nigeuke kuwa hakimu wako, kukuhoji. Nilijua ipo siku kama utataka, basi utazungumza na mimi. Lakini sikutaka mimi ndio niwe naanza kukukera na maswali, nilijua utakosa raha. Ndio maana nilikuwa nikinyamaza kabisa.” “Asante Net. Asante sana.” Tunda akajifuta machozi, nakujiona mdogo zaidi. Aliona vile Net alivyokuwa akimfikiria bila majibu. Akatamani kujua mawazo yake juu yake, lakini Net alionekana ni mtu makini sana. Hakuwa mropokaji hata kidogo na alikuwa makini sana kwa kila anachoongea.

“Tunda!” “Abee!” “Nakusikiliza.” Ilikuwa ni mtu wa kwanza maishani mwake kutaka kumsikiliza Tunda, bila hukumu. Tena mtu wa maana, msomi, pesa ipo na tena mwenye heshima kwenye jamii! Japokuwa alijua uozo wake tena kwa kushuhudia, lakini bado alimuonyesha kutaka kumsikiliza. Tunda aliinama kwa muda akaficha uso wake nakuanza kulia kwa uchungu sana.

Alilia sana hapo mbele ya Net nakushindwa kujisaidia. Kimya kimya ila kwa kwikwi. Aliruhusu maumivu yote aliyokuwa ameyaficha moyoni mwake akivumilia akijua kesho itakuwa nafuu, aliyatoa siku hiyo. Alilia bila kunyamaza. Picha ya mapito yake yote tokea utoto mpaka siku  Net anamtoa kwenye mvua na radi ilimjia, na kuendelea kulia. Alipoona anashindwa kunyamaza akaamua kuingia bafuni kuoga.

~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~

Alitoka akiwa amevaa nguo zake za kulalia nzuri na huku amejifunika shuka. “Nasikia baridi sana. Naomba nilale tutaongea wakati mwingine.” Tunda akapanda kitandani na kujifunika blangeti. Ulikuwa msimu wa baridi kali sana jijini Arusha. “Naweza kukusubiri mpaka utakapo lala.” Net akasogea pale kitandani akakaa pembeni yake. Akabaki akimwangalia Tunda kwa utulivu na macho yake yaliyokuwa yakimpeleka kasi Sera, binamu wa Tunda. Tunda alikuwa ndani ya mablangeti akitetemeka baridi.

Net akavuta blangeti vizuri na kumfunika zaidi. Tunda aliendelea kujikunja ndani ya lile blangeti huku akificha kila kiongo chake ndani, akabakiza uso tu. “Asante.” Net alitoa tabasamu. “Ninayo machine ndogo ya joto, {Space Heater} pale nyumbani, kesho nitakuletea.” “Na wewe utatumia nini?” “Mimi sio muoga wa baridi kama wewe. Jione unavyo tetemeka.” Tunda akatabasamu.

“Unawasiliana na mama?” Net akauliza. “Nilikwambia jinsi alivyoniambia Net. Mama alisema nisikanyage tena nyumbani kwake. Hata hivyo hatukuwahi kuwa na mahusiano yeyote na mama hata tulivyokuwa tukiishi pamoja. Nilimsaidia sana kumlelea yule mtoto wake wa pili, kwa hiyo hapo ilimbidi awe akizungumza na mimi, kunipa maelekezo ya mtoto wake na si vinginevyo. Na hiyo ndiyo sababu kubwa iliyonifanya niwe karibu na mumewe.” Tunda akatulia kidogo.

“Yeye alikuwa akifanya nini?” “Ni nesi. Nilimuacha akifanya kazi katika hospitali ya Muhimbili lakini pia alikuwa na miradi iliyokuwa ikimfanya hatulii nyumbani. Alikuwa akiingia kazini mida tofauti tofauti. Na kama hatakuwepo kazini, basi yupo kwenye biashara au miradi yake. Halafu walikuwa pia na msichana wa kazi naye alikuwa akiishi humo humo ndani. Ila alikuwa muhuni sana. Hatulii ndani.  Mama alipokuwa akiondoka na yeye alikuwa akiondoka, anaaga labda anaenda kusuka au dukani. Na akitoka hapo kurudi ni majaliwa.”

“Sasa huyo baba hakuwa akimuuliza?” Net akaendelea kudodosa japo alishaambiwa wataendelea wakati mwingine. Ila alikusudia kujibiwa usiku huo. Akaendeleza taratibu. “Hapana. Ndio muda na yeye alikuwa akiusubiri kwa hamu sana. Kwani ndio tulikuwa tukibaki naye. Mimi na yeye tu.” Tunda akatulia kidogo.

“Hatukuanzia kwenye kufanya mapenzi moja kwa moja! Alihakikisha anajenga mazoea ambayo hakuna mtu alimtilia mashaka. Alimuonyesha mama kuwa ananipenda kama mtoto wake. Kutoka katika mateso makali ya mama wa kambo, nikaangukia kwenye mikono ya baba wa kambo aliyekuwa akinipakata na kunitekenya wakati wote.”

“Nilikwambia nilitolewa kwa baba nikiwa nusu mfu kwa kupigwa. Baba alikuwa na mtoto mwingine aliyekuwa akiitwa Chale. Yule mtoto alikuwa mwizi Net, hawezi kujisaidia. Alikuwa akiiba kila pesa anayoona mbele yake. Sasa mara ya mwisho aliiba pesa kwenye pochi ya mama yake, akanisingizia mimi. Na yule mama alikuwa akijua kupiga, na ana mkono mwepesi sana. Basi. Alinipiga siku hiyo zaidi ya siku zote, wakaenda kunitupa nje, majirani wakanipeleka hospitalini. Bibi akaja kunichukua, nakunirudisha kijijini.” Tunda akatulia kidogo.

“Kosa alilolifanya bibi, akiwa na nia nzuri, akampigia simu huyo mume wa mama ambaye hata hakuwa akijua kama mama ana mtoto mwingine.” “Kwani hamkuwahi kuonana?” Net akauliza.

“Alishawahi kufika kijijini wakati anamlipia mahari mama, akanitambulisha kama mimi ni mdogo wake.” Net akashangaa sana. “Basi. Bibi akanitambulisha kwa yule baba mbele ya mama, akitaka wawe wanatuma pesa za matumizi angalau kila mwezi. Chakushangaza kila mtu mpaka mama, yule baba akanipokea kwa upendo. Akataka nirudi nao mjini ili wanisomeshe.” Tunda akajifuta machozi.

“Huwezi amini hayo mapokezi yake! Alikuwa akinipenda sana. Akiona mama ananigombesha, basi yeye ananibembeleza na kunitetea hata kwa mama, akimuelewesha kuwa mimi bado ni mdogo. Natakiwa nifundishwe. Yale mateso ya kwa mama wa kambo, huku ikawa faraja ya baba wa kambo. Nilikuwa nikivalishwa vizuri. Vyakula vya kila namna ananinunulia. Akiona kama kuna chakula ambacho yeye hajakipenda mle ndani, basi alikuwa akitutoa na Tom, mtoto wao mkubwa, kwenda kula nje. Chips yai na kuku.”

“Wakati mwingine alikuwa akitupeleka sehemu tofauti tofauti zakucheza. Mara nyingi mida ya jioni alikuwa akitupeleka kwenye sehemu zinazo uzwa Icecream. Hata kama ni siku za shule. Anatoka kutuchukua shuleni, anatupitishia mahali kula au kupata icecream. Na ilikuwa hivi, kama dereva hakuwa akitufuata kuturudisha nyumbani, basi ni yeye mwenyewe anatufuata. Tulikuwa tukisoma shule yakulipia, kwa hiyo kama mzazi alitaka watoto wakae zaidi, unaongeza pesa, mnakaa mpaka saa 12 jioni. Hapo mtasaidiwa kusoma na kunakuwa na michezo tofauti tofauti.” Tunda akaendelea.

“Sasa kwa kuwa Tom yeye alikuwa mtundu sana, na alikuwa akicheza mpira wakati mwingi, basi kila alipokuwa akiingia kwenye gari, alikuwa akiishia kulala njia nzima wakati tunarudishwa nyumbani. Na hapo yule baba ndipo alipokuwa akipata nafasi nyingine nzuri ya kunichezea ipasavyo. Kumbuka nilikuwa darasa la nne, sio mkubwa sana, lakini nilikuwa nikielewa kiasi. Mwanzoni nilikuwa nikifikiri ni mchezo aliokuwa akicheza akitutekenya mimi na Tom hata mbele ya mama, lakini niliona mimi inaanza kuwa tofauti.”

“Akijua jioni hiyo mama haingii kazini, atalala nyumbani, basi lazima atakuja kutufuata yeye shuleni. Akijiridhisha Tom amelala kabisa kwenye gari, alikuwa akisimamisha gari pembeni ya barabara na kuniambia nifungue mkanda niruke kiti cha mbele, kisha anaanza kunichezea. Alianza kwa kunisifia nimeanza kuwa mkubwa nimuonyeshe matiti yangu huku akinitekenya na kujifanya anashika juu ya gauni na kucheka cheka.”

“Siku ambazo tupo nyumbani mama hayupo, akawa anataka niwe nakwenda kuangalia tv chumbani kwake. Na kwa kuwa nilikuwa nikifeli sana shuleni, basi alitaka niwe nafanya kazi za shule pembeni yake. Kumbuka nilitoka kijijini sijui kuzungumza hata Kiswahili. Nikapelekwa kwa baba, nikaishi huko miaka miwili ya mateso. Darasani wanafundisha Kiswahili kitupu na kingereza. Nimetolewa hapo darasa la nne, sijajifunza chochote kwa hiyo miaka miwili. Nikahamishiwa kwa mama, nikapelekwa shule ya kingereza kitupu. Hakuna hata wakumuomba maji ya kunywa kwa kilugha au kiswahili. Nikajua kuongea kingereza kwa mawasiliano tu, lakini hakuna ninachoeleweka darasani. Kumbuka hapo nipo darasa la 4 ambalo ilibidi nirudie, sababu kwanza sikufanya mitihani ya kitaifa ya darasa la nne  kuingia la tano kule kwa baba. Mkewe alinipiga na kunivunja mkono huu wa kulia.” “Tunda!” Net akazidi kushangaa.

“Kweli Net. Mama Chale au mke wa baba, alikuwa mama wa nyumbani, halafu baba yeye anakwenda kazini asubuhi mpaka usiku, hapo bado safari za kikazi za baba. Kwa hiyo nikaishia kulelewa na mama wa kambo, huyo mama Chale. Alikuwa akinitesa yule mama, siwezi kusoma wala kufikiria. Kwenda shule ni siku ambazo anaamua yeye. Mateso, akili ikawa haitulii kabisa. Nilikuwa kama mwehu kwa hofu. Akinikuta nimekaa sehemu, kosa. Atanipiga wee na kunipa kazi. Nikifanya asivyopenda yeye, pia kosa. Atanipiga tena. Wenzangu walifanya mitihani ya darasa la nne, mimi mkono umefugwa POP kwa kipigo.” “Pole sana Tunda.”

“Asante. Haya, sasa huku kwa mama nako sina nilichokuwa nikielewa. Nafeli kwenye hiyo shule ya kingereza kitupu. Ndio yule baba naona akapata mwanya huo. Akamwambia mama yeye atakuwa akinisimamia masomo. Yaani ni kama alikuwa akijitengenezea njia yakutoshtukiwa. Basi ikawa inajulikana kwamba kila nikitoka shule, lazima baba anisimamie kufanya homework zangu.”

“Hapo sasa ikawa inategemea na ratiba ya mama au alipo yule msichana wa kazi. Inaweza kuwa sebuleni kama tupo mimi na yeye tu au chumbani kwake. Kama nilivyokwambia. Tom alipenda sana mpira. Kila alipokuwa akitoka shule, alikuwa akiingia mtaani kucheza. Yeye hakuhimizwa kufanya homework. Alikuwa anataka awe anatoka hapo ili atupishe. Na yule msichana ni kama nilivyokwambia kuwepo kwake nyumbani ni mpaka ajue mama yupo au anakaribia kurudi nyumbani.”

“Na ikitokea msichana wa kazi yupo hapo nyumbani, basi hiyo homework tunaenda kufanya chumbani kwao. Eti nikiwa na elimu ya darasa la pili ya kijijini, unipe homework niliyofundishwa kwa lugha ya kingereza darasani! Mimi niliyekuwa nikizungumza kipogolo tu! Hata Kiswahili sikuwa naongea vizuri. Kwanza niseme sikuwa nikikijua. Nilikwenda kukijua kule nilipopelekwa kwa baba. Nilijifunza Kiswahili kwa kupigwa. Alidhani ni kiburi, kumbe sikuwa na muelewa. Ndio msichana wa kazi akamwambia simuelewi. Ndio kipigo kikageuka kuwa mimi ni mjinga, mzito kuelewa.” “Jamani!” Net akashangaa.

“Sasa eti kwa hali hiyo nikaanza hiyo shule ya kingereza, bila msaada wa mtu. Mama ni mkali, baba anamalengo yake. Usifikiri hata hiyo homework basi alikuwa anania nifanye?” “Hakuwa akikusaidia?” “Hata kidogo Net. Ukitukuta chumbani, ujue mikono yake kama haipo kwenye maziwa yangu, basi ataniambia nilale kama naandika. Yaani nilale kifudifudi. Niweke daftari mbele. Yeye atakaa huko nyuma yangu. Atanifunua gauni mpaka kiunoni, ataanza kunichezea. Anakwambia usihangaike tulia tu. Atakuchezea hapo, wakati mwingine anaweza akanitoa hata chupi kabisa ananichezea tu.”

“Mwanzoni hakuwa akiniingilia. Ananichezea tu. Ila alikuwa anapenda sana sauti yangu na nimwangalie. Kwa hiyo alipokuwa akifika juu sana, ananiambia nimwite dad, dad, mpaka amalize. Hapo sasa anakuwa amenitoa kitandani, amenipakata. Mikono kwenye sehemu za chupi nyuma. Ananiminya minya.” Tunda aliogopa kusema makalio. Lakini Net akaelewa.

“Halafu huku ananinyonya tumaziwa twangu. Basi hapo utamwita dad taratibu huku anakuchezea mpaka anamaliza. Na usifikiri anamaliza ndio inakuwa basi. Anaweza kwenda kuoga. Anakwambia endelea na kazi za shule wakati akioga. Niambie Net, hapo utasoma tena?” “Huwezi. Pole Tunda.” “Nilikuwa nashindwa. Hasira. Na akitoka kuoga anapumzika kidogo, na mikono yake anapopumzika inakuwa mwilini mwako. Akikuvua nguo ya ndani, ujue hutaivaa tena mpaka akuruhusu utoke hapo chumbani kwake. Na ujue hapo sio kitu cha muda mfupi. Ni mpaka aridhike kweli kweli.” Tunda akajifuta machozi.

“Akaanza kuzoea ile tabia. Baadaye akaanza kuniita usiku chumbani kwake wakati watu wote wamelala, mama yupo kazini, kisha anavua nguo na kunifundisha vitu vya kumfanyia. Nilipomwambia naogopa, aliniambia vile mama yangu asivyonipenda, hataki niwepo pale, yeye ndiye aliyenitoa kijijini na anauwezo wakunirudisha kwa baba yangu kama sitamfurahisha.”

“Akawa ananiambi kukaa kwangu pale, kunategemea na kumfurahisha kwangu. Mama alikuwa akijua kunitukana Net! Bila aibu wala huruma, hata mbele za watu alikuwa akinitukana. Ndio ikawa silaha ya yule baba Tom. Akawa ananikumbusha vile ambavyo mama yangu hanipendi. Na vile nilivyoteswa kule kwa baba yangu. Akawa ananiambia yeye ananipenda. Hata hayo macho mama anayoyaita ni ya paka na kuyachukia pamoja na weusi wangu, yeye anavipenda ndio maana anapenda nimwangalie na nimwite dad.”

“Aliniahidi kunipa vitu vingi, kama nikimfanyia kile anachotaka na kweli alikuwa akininunulia vitu. Basi. Nikaanza kujifunza jinsi ya kumfanyia anachotaka. Sina mtu wa kuniuliza hata ninaendeleaje! Hakuna anayenitizama usoni kama nina furaha au la. Maisha yangu yakawa ni huyo baba tu. Ndiye anayejua kula yangu, soma, na vaa. Furaha yangu ikawa inategemeana na kumridhisha. Na kweli, akilala ukiwa umemridhisha, utafurahia jinsi anavyokuwa mstaarabu.”

“Kazi yangu ikawa ni yeye tu. Nimejawa hofu na wasiwasi wakati wote. Alianza kunizoeza kumzoea kumtizama akiwa uchi. Akanifundisha mwili wake na viungo vyake ili kuweza kuvichezea, na kumfurahisha. Na mbaya zaidi hakuwa akitosheka. Ukidhani umemaliza, anakwambia unamwamsha zaidi. Labda macho au sauti yangu ndivyo vinamsababisha asitosheke. Hapo inabidi kuanza upya.”

“Maisha yangu kielimu yakawekwa pembeni kabisa. Nikageuka faraja yake. Nikiingia chumbani kufanya homework, anafunga mlango, ananitoa nguo, na yeye anatoa nguo, tv inawashwa kwa sauti ya juu, kazi inaanza mpaka dada aje agonge kuwa chakula kipo tayari. Hapo ndio anatumwa kwenda kumfuata Tom huko anakocheza mtaani, ili aje aoge, ale, alale.”

“Na usifikiri atakuacha usiku ulale kama mama hayupo?” “Anataka mlale naye!?” Net akauliza kwa mshangao. “Alikuwa anaanza hivi. Nakwenda kulala kama kawaida. Tulikuwa tunatumia chumba kimoja na Tom. Tom akisha lala, anakuja kuniamsha. Tena wakati mwingine ananibeba nikiwa nimelala. Akishanifikisha kitandani kwake, naweza kushtuka kiwa ananivua nguo au anakunyonya sehemu ambayo lazima uamke tu.”

“Ukishaamka tu, anataka uanze kumchezea yeye mpaka aridhike. Na usifikiri ni mchezo wa masaa mawili au ataridhika kwa safari moja! Hapana. Kwa hiyo alikuwa akinimbia niendelee mpaka nikimuona amelala, nimsafishe, ndipo na mimi nirudi chumbani kwangu. Haya, akiwa amekwenda muda mfupi usiku, ujue lazima asubuhi atakuja kuniamsha tena, nimfanyie kabla hajakwenda kazini na mimi hajanipeleka shule.”

“Ikawa ndio mtindo huo. Mama akiwepo nyumbani week mbili tatu mfululizo, alikuwa akitutoa mimi na Tom kwenda kutembea na njiani nilimfanyia hivyo. Au siku za jumamosi ambazo mama yupo nyumbani, alianzisha tuition ambayo hata sikuwa nikienda. Alimwambia mama amenianzishia ili niwe nafundishwa inisaidie kuelewa zaidi. Basi, jumamosi yeye hakuwa akienda kazini. Alikuwa ananichukua, kama hatutaenda ofisini kwake, anaweza hata kunitafutia nyumba za kulala wageni niende nikamchezee huko mpaka jioni, ndio ananirudisha nyumbani.” Tunda akaanza kulia.

“Nilikuwa nachoka Net, sina jinsi nikakwambia ukaelewa.” “Pole Tunda.” “Unachoka mwili mzima. Hulali vizuri. Sehemu pekee yakupumzika ni shuleni. Na ukifika hapo darasani kwa kuwa sielewi hata wanachozungumza, basi nikulala tu. Ukumbuke hapo labda niliamshwa kwenye alfajiri sana ili kumchezea kabla hatujatoka nyumbani. Haya, unaingia darasani umechoka, na hapo unajua jioni akija kukuchukua kazi inaanza upya. Kwa hiyo darasani ikawa ndio kama kitanda. Sikuwa nikielewa chochote kwa usingizi na hofu.” Tunda alitulia kidogo.

“Nilipofika darasa la saba wakati mama amejifungua, alikwenda kwa bibi kama likizo ya uzazi. Mbaya zaidi kwangu, alikwenda na yule msichana wa kazi. Kwa hiyo tukabakia mimi, Tom, yeye na kijana wa kazi ambaye alikuwa akilala kwenye vyumba vya nje. Hapo ndipo niligeuka kuwa mke wa yule baba kihalali. Kila Tom alipopitiwa na usingizi, alikuja kunitoa chumbani na kunihamishia chumbani kwake, na ndipo kipindi hicho alipofanya majaribio ya kuniingilia mpaka alipofanikiwa.”

“Haikuwa kazi ya siku moja Net. Ilinichukua miezi kuja kuweza, na kumudu bila maumivu. Kwa kuwa alikuwa baba mkubwa kimaumbile, usitake kujua maumivu yake.” “Mama yako hakuwahi hata kuhisi!?” Net aliuliza akiwa anamaumivu, mpaka uso ulikuwa mwekundu.

“Nilikwambia mama yangu hakuwa na muda na mimi, Net. Hata hivyo alikuwa busy sana na kazi na biashara zake nyingine. Na yule mzee alikuwa akiniuguza kwa makini sana. Yeye ndiye alikuwa akitupeleka shule kwa hiyo kabla hajanishusha alihakikisha ananipa dawa kali sana zakuzuia maumivu. Kwa hiyo sikuwa nikiishi kwa maumivu, ni pale tu wakati ananifanyia, na labda nikiwa najisaidia. Napo mwanzoni alikuwa akinipaka mafuta. Na akawa ananiambia kila nikioga, nikakikishe napaka mafuta huko chini ili pasikauke, au nisiumie wakati najisaidia. Basi. Mchezo huo ukaendelea.”

“Nilipozoea na yeye akanogewa, akazua ugonjwa ambao ukawa unajulikana pale shuleni. Basi anaweza kuja hata katikati ya muda wa shule, ananiombea ruhusa kuwa ananipeleka kwa daktari wangu. Na ndio akaeleza huo ugonjwa ndio unaosababisha niwe nalala sana darasani na kuwa nikifeli vile. Basi walimu wote wakanichukulia kama nina matatizo.” “Haiwezekani Tunda!” Net akashangaa sana.

“Kweli Net. Basi, akawa anakuja kunichukua. Nakwenda naye alipopaandaa yeye. Atanitumia mpaka achoke au muda wa kwenda kumchukua na Tom. Ndio tunamchukua Tom, na kurudi nyumbani. Alinifundisha kumfanyia hapo hapo kwenye gari. Kwa hiyo anaweza kuja mida ya mchana. Wakati wa chakula. Anakuita nje, unaenda kumfanyia kwenye gari. Alikuwa na gari kubwa. Vioo vya nyuma alivifanya vikawa kama silver kwa nje. Inawakaa. Huwezi kuona ndani. Basi. Mnahamia kiti cha nyuma. Unamuhudumia, akiridhika, narudi darasani na yeye anarudi zake kazini mpaka tena jioni. Hayo yakawa maisha yangu. Sasa hebu fikiria utoke kufanya uchafu kama huo, unarudi darasani, hapo utaelewa nini?” “Huwezi. Pole sana Tunda.”

“Mchezo wake ukaendelea hivyohivyo mpaka nikaja kuvunja ungo. Na yule baba alikuwa hawezi kusubiri Net. Hajui siku za hatari zakushika mimba au siku salama. Yeye anataka kila wakati na ndipo nikapata na hiyo mimba. Kila nilipokuwa nikimwambia naogopa, au nikimsihi tuache huo mchezo tutakuja kukamatwa, alikuwa akiniambia hataweza kuacha tena, na nisiwe na wasiwasi hata mama akitukamata, atanitafutia pakuishi nitakuwa na maisha mazuri.”

“Siku za jumamosi ndio tution ikawa kisingizio chakututoa pale nyumbani, tunahamia nyumba za kulala wageni. Ujue hiyo siku nzima ni kufanya naye mapenzi tu. Atakuchezea siku nzima mpaka aridhike, ndio anakwambia rudi nyumbani. Ananipa pesa, nachukua taksii. Ukifika nyumbani kama baada ya masaa mawili au matatu, na yeye ndipo anaingia. Na akiingia hapo anakuwa mkali kweli kweli. Ataniita mbele ya mama kuniuliza habari za tuition siku hiyo. Kama nimeelewa au nahitaji msaada zaidi. Yaani yeye ndio akawa wakunifuatilia zaidi. Na alikuwa mkorofi kweli. Mama mwenyewe alikuwa akimuogopa. Akianza kufoka hapo, nyumba nzima inatetemeka.”

Tunda akatoka ndani ya blangeti akakaa. Akavua ile nguo nzito ya juu ya kulalia huku amempa mgongo Net. Net akashtuka sana. “Ona huko mgongoni.” Tunda alikuwa na alama nyingi sana mgongoni mwake. “Hata yeye alikuwa akinipiga sana. Siku zile nilizokuwa nikimwambia nimechoka sitaweza kutoka kwenda kufanya naye mapenzi, hapo nilikuwa nikivizia mama yupo. Basi alikuwa akitafuta sababu yeyote ile ilimradi anichape sana, tena mbele ya mama huku akitutishia mimi na mama atanifukuza mle ndani. Mama naye alikuwa akiniongezea kwa kosa hilo atakalokuwa amechagua baba Tom siku hiyo.”

“Kama ni kuvunja kioo cha dirisha au glasi, basi ilimradi tu. Lakini sikuwa na jinsi Net. Kunakipindi mwili ulikuwa ukichoka. Nilikuwa mtoto na yeye alitaka niwe nikimuhudumia kila siku. Kumbuka mimi sikuwa nikipata ladha yeyote, kwa hiyo nilikuwa siishiwi vidonda. Kwa kuwa nilijua hatanifukuza, nilikuwa nikiwageuzia mgongo wanipige mpaka wachoke ilimradi angalau nijiuguze, vile vidonda vipone, ili tukianza tena nisiwe naumia.”

“Na nilipovunja ungo kila nilipokuwa nikijaribu kumdanganya nipo kwenye siku zangu haamini mpaka ahakikishe. Kwa hiyo pia nikawa najikata hata kidole napaka kwenye pedi kumdanganya nipo kwenye siku zangu, ilimradi nipumzike kuingiliwa. Labda nimchezee tu aridhike au aniache kabisa.”

“Nilipofika kidato cha kwanza nikaamua kuachana na huo mchezo na nimwambie mama, nilikosea sana nilipomwambia nia yangu. Akaniwahi kunisemea kwa mama kuwa usiku uliopita wakati mama yupo kazini, nilitoraka nyumbani sikurudi mpaka asubuhi hiyo.”

“Jamani sitakaa nikasahu kipigo alichonipa yule mwanamke nakunifungasha mpaka kwa shangazi yake. Sio bibi. Shangazi yake ambaye hata sikuwa namfahamu. Kijijini huko, hamna hata umeme. Nilikaa huko karibia mwezi. Hamna chakula, hali mbaya hata maji ni shida. Nikajua mama alinipeleka kule makusudi. Halafu huyo shangazi yake mwenyewe alikuwa mzee, hajiwezi. Lakini ikabidi kukaa hivyohivyo.”

“Nikaishia kuja kuchukuliwa tena na yule yule baba na hapo ndipo hapo aliponihakikishia sina haki juu ya huu mwili wangu, isipokuwa yeye. Net! Yule baba alinifanya vile atakavyo. Yeye alipanga ni muda gani na wakati gani atumie huu mwili wangu. Huku akinihakikishia kuwa yeye ndio aliyebaki kuwa mkombozi wangu. Na ndipo nikashika na hiyo mimba.” Net alivuta pumzi kwa nguvu na kufikicha macho yake. Alinyoosha mkono na kushika yale makovu ya majeraha ya Tunda mgongoni kwake, taratibu sana kama anayefikiria kitu. Tunda alisikia faraja ya ajabu. Machozi yalikuwa yakimtoka kama mvua.

          Japokuwa kulikuwa na baridi sana, lakini alitamani Net asitoe mkono wake mgongoni mwake. Net aliendelea kupitisha vidole vyake taratibu mgongoni kwa Tunda, akishika kila kovu taratibu. “Pole sana Tunda.” Alijibiwa maswali yaliyokuwa yakimsumbua kwa asilimia 90. Alimrudishia lile shati  bila Tunda kugeuka, kisha Tunda akavaa vizuri ndipo alipogeuka na kujilaza tena. Net akamfunika tena kila mahali, kisha akajinyoosha pembeni yake akalala pembeni yake, huku akimwangalia.

“Tunda!” Akamwita taratibu. Tunda akanyanyua uso  kidogo kutoka kwenye blangeti na kumtizama Net, kwa macho yake yaliyokuwa yakimchanganya sana Net tokea siku ya kwanza alipomuona. “Ulishaenda kumuona baba gerezani?” “Sijamuona tena tokea siku ya mwisho aliponiacha pale hospitalini. Hata sijui yupo gereza gani!” “Kwa nini hukutafuta kujua?” “Wazo lilinijia Net. Nilitamani sana kumtafuta, japo kumwambia nilitoka hospitalini, na kumuonyesha ninaendelea vizuri. Lakini niliogopa.”

          “Kwa nini uliogopa tena?” Net hakuwa anaelewa.  “Kwa kuwa aliniachia pesa ndogo sana Net. Nilijua angeniona tu na hali ile angekuwa na maswali mengi ambayo nisingekuwa tayari kuyajibu. Mojawapo najua angetaka kujua nafanya kazi gani, na mimi sikutaka kumdanganya mwanadamu mmoja tu aliyenipokea maishani mwake vile nilivyo. Tena wakati wote tumekutanishwa kwenye mazingira ambayo yote nimekamatwa na uhalifu, na pia sikutaka kumwambia ukweli wa maisha machafu niliyokuwa nikiishi kuhofia kumuongezea machungu akiwa gerezani. Niliona ni heri niache tu.” Net akatulia kidogo kama aliyeridhika na ile sababu.

Kisha akauliza tena. “Ulikwenda wapi baada ya kutoka hospitalini?” “Naomba nisikwambie Net. Tafadhali.” “Kwa nini?” “Inatosha.” Net akabaki akimwangalia Tunda, Tunda akajifunika vizuri na kuficha uso wake, akabakiza sehemu ndogo sana ya macho ambayo hakutaka kumtizama tena Net, akaangalia chini.

          “Nikwambie siri yangu?” Tunda alishtuka sana. “Uniambie mimi siri yako?!” “Ndiyo wewe Tunda.” Tunda akiwa na wasiwasi asijue ajibu nini, akaamua anyamaze. “Ushajiuliza ni kwa nini tunapokuwa ofisini mara kwa mara napenda usiwe unanipa ujumbe kwa simu, bali uje ofisini kwangu wakati kuna simu ya mezani unaweza kunipigia tu tukaongea?” Swali lilikuwa gumu sana kwa Tunda ambaye hakuwahi kufanya kazi kwenye ofisi yeyote. Yeye mwenyewe Net ndiye aliyemfundisha kazi kwa mara ya kwanza.

“Sijui Net! Mimi nilijua ndivyo inavyokuwa. Sijawahi kufanya kazi ofisini.” “Basi huwa wanatumia simu kuwasiliana watu wakiwa ofisini, labda iwe kuna kukabidhiana kitu ndipo watu hutembeleana kwenye maofisi yao.” Tunda akajivuta kidogo nje ya blangeti kwa mshangao.

“Wewe unafikiri kama bosi ni mmoja na anawatu kumi au ishirini chini yake, halafu wote wakitaka kuuliza swali, au kumpa taarifa wanamwendea ofisini kwake, si hiyo ofisi ya bosi ingekuwa imejaa watu kila wakati na angeshindwa kufanya kazi? Ndio maana pia kuna email,{barua pepe}. Kwa hiyo kila mwenye swali lisilo na haraka au ripoti zote hutumwa huko ili bosi ajibu anapopata nafasi.” Tunda akatabasamu kama aliyepata wazo.

“Basi na sisi tuanze hivyo!” Net akacheka. “Mimi sikukufundisha hivyo Tunda. Nilikwambia kila ukiwa na swali uwe unanifuata ofisini kwangu.” “Kwa nini sasa!?” “Ndio swali na mimi nimekuuliza muda mfupi uliopita. Kwa nini unafikiri ninataka uwe unakuja ofisini kwangu na sio kunipigia simu au kuniandikia ujumbe?” Tunda akafikiria kidogo huku akitabasamu kama anayetaka kucheka. Net aliweza kuona meno yake mazuri, yaliyokuwa yanang’arishwa zaidi na rangi yake nyeusi.

Akamgeukia Net. “Sijui.” “Unataka kujua?” Tunda akatingisha kichwa kukubali huku akicheka. Tunda alikuwa na uzuri wa aina yake, hasa anapotulia, akiwa na furaha hakuchosha kumtizama.

“Kwa kuwa huwa napenda nikiongea na wewe uwe unanitizama, Tunda. Napenda kukuangalia.” Tunda alishtuka sana, akajificha tena uso kwa mikono yake nakuanza kurudi ndani ya blangeti. Katika watu ambao hakuwafikiria hata kuwatega ni Net. Alimuogopa sana tokea mwanzo kitu kilichomshangaza hata asijue ni kwa nini amuogope Net, wakati hakuwa akimfahamu hata kidogo.

          “Napenda sana macho yako Tunda. Napenda kukuona mara kwa mara, lakini usifiche macho yako. Napenda kuona macho yako yakinitizama mimi. Sipendi ninapozungumza na wewe uangalie pembeni. Nataka unitizame mimi. Kwa hiyo nimekupa siri. Ukitaka kuniadhibu ufanye kama hivyo ulivyofanya sasa. Nataka uwe ukinitizama kila tunapoongea ndio nafurahia maongezi yetu.” Tunda aliogopa sana. Hakujua baada ya kutoka pale alipojificha, atamtizamaje tena Net. Wakatulia kidogo.

Net akaendelea. “Nimekuuliza swali Tunda. Ulipotoka hospitalini ulikwenda wapi?” “Net jamani!? Bado tu unataka kujua? Nilimekuomba nisikwambie. Naomba nisizungumzie hilo. Tafadhali.” Tunda alikuwa ameinama. “Kwa nini?” Tunda alibaki kimya. “Tunda!?” “Abee.” Tunda akamtizama.

“Ujue unaongea na mimi, sio mtu mwingine? Huna cha kuficha kwangu.” “Itasaidia nini, Net?” Tunda akauliza kwa upole huku akimtizama. “Bila ya kuniambia, siwezi kujua jinsi yakusaidia. Nataka kufahamu kila kitu. Tafadhali usinifiche au usibakize kitu. Nataka kusikia kutoka kwako wewe mwenyewe.” Tunda alivuta pumzi huku akionekana kujishauri. Mwishowe akaamua kumaliza tu, kwani ni kama alishaongea kila kitu. Na kweli hakuwa na chakuficha kwa Net, aliyefanikiwa kumfahamu kwa majina yote, wakati wengine walimfahau kwa jina moja moja tena ya uongo. Hata hivyo Net ndio ameshika mpini wa maisha yake kwa wakati huo. Aliona amalize tu, aone mwisho wake.

“Sikujua pakwenda Net. Baba aliniachia pesa chache sana. Ilinitosha nauli na kula siku chache. Nilipotoka pale hospitalini nilikwenda kula kwenye kibanda kimoja cha chips pale pale kituo cha Mwenge, ndipo nilipokutana na mmiliki wa pale au mkewe ndiye aliyekuwa mmiliki. Nilipojua anapesa na anasehemu nyingi za biashara, nikajua atanifaa.” Tunda akanyamaza.

“Nakusikiliza Tunda.” “Nimemaliza.” “Sijaelewa chochote. Nimeishia upo kwenye kibanda cha chips.” “Kumbuka historia yangu Net. Maisha yangu yote sikuwa na elimu bali ujuzi niliokuwa nimepata kutoka kwa baba Tom. Mapenzi. Ndipo nikaamua kutumia huo uzoefu wangu kuishi mjini.” Tunda akaanza kulia.

“Nilikuwa silali Net. Kazi yangu ilikuwa kutongoza wanaume mchana na usiku! Nilikuwa nikilala na wanume hata watatu kwa siku, na wengine ilikuwa sio lazima kufanya nao mapenzi, nilikuwa nikitumia utundu wangu tu kuwaridhisha ilimradi kupata pesa ambazo sijui hata zilikuwa zikiishia wapi! Nilikuwa nikinunua mavazi ya gharama ili kupata wateja wa maana.”

“Nilitaka kulipa machungu kwa kuishi nyumba nzuri na kununua vitu vya kisasa ili kulipiza kisasi kwa manyanyaso yote niliyopitia, lakini haikusaidia hata kidogo. Ukweli nilikuwa nikipata pesa ndiyo, lakini nilikuwa nikiteseka sana. SANA.” Tunda akatulia kidogo. Akafuta machozi.

“Nimefanya mambo ya ajabu hapa duniani! Wakati mwingine silali kwa hofu na ndoto mbaya. Huyo mwanaume wa kwanza niliyemtongoza baada ya kutoka hospitalini, nikakwambia nimfanyabiashara mkubwa lakini Net, kuna maajabu huku duniani, hujawahi ona. Watu wanahangaika kupata pesa, mpaka unaweza usiamini.” “Vipi?” Net akauliza.

“Yule baba alinitoa pale akanipa maisha. Lakini nililipia Net. Na sijui nilikuaje. Ni kama akili yangu ilibadilika! Nakwambia sasa hivi silali sababu ya hofu, utafikiri siye mimi nilifanya.” “Ulifanya nini?” “Ushirikina.” “Ushirikina!?” Hilo mzungu Net akawa hajalielewa

“Uchawi ule wa hali ya juu! Usiku badala yakulala, tulikuwa tunakwenda makaburini kufanya ibada za kichawi.” Mpaka mwili wa Net ukasisimka. “Na usifikiri mnaenda tu? Hapana. Mnafanya mambo ya ajabu Net. Mnaita majini mpaka majoka yanatokea. Mnafanya hiyo ibada mpaka yaondoke. Haya, wakati mwingine mnakwenda kwa huyo mganga mwenyewe. Usiku Net. Giza. Mtakaa huko mpaka pakaribie kupambazuka. Tena mpo ndani ya mto huko, chini ya miamba. Giza, mnafanya ushirikina. Mpaka alipokufa.” “Kufa tena!?” Net akashtuka. Tunda akamuelezea mkasa mzima wa Sadiki na kumuacha Net hoi.

“Ilikuwa ni shida Net! Nimeishi kwa kuhangaika sana, mpaka wewe uliponitoa mvuani nikijificha kwa hofu ya radi.” “Daah! Pole sana Tunda.” Net alitulia kama anawaza.

Akamfuta machozi. Akamgeukia vizuri. “Hivi Tunda, unajua unaweza kubadilisha hayo maisha ukaamua kuishi wewe kama wewe na ukaweza kuwa mtawala mzuri wa maisha yako?” “Sidhani Net. Mimi mwenyewe sijijui mimi ni nani!” “Ukitaka kujitambua unaweza Tunda. Na ukawa kiongozi mzuri sana wa maisha yako. Unaweza ukajiamuru kuwa na maisha mazuri na matulivu. Najua au tuseme nimeelewa mazingira uliyopitia tokea unazaliwa, yamekupelekea kuishi maisha uliyoishi. Lakini Mungu amekupa nafasi ya pili. Nafasi ambayo hukustahili, lakini Mungu amekupa. Kubali kubadilika ili uitumie vizuri.”

“Mbona nimeshaanza kubadilika?” “Kweli Tunda?” “Sijalala na mwanaume tokea…” Tunda akafikiria. “Hujalala na mwanaume kwa kuwa yeye alikukataa Tunda, sio wewe ndiye uliyekataa. Hebu fikiria kama siku ile Gabriel angekukubali akakupokea, sasa hivi ungekuwa wapi?” Tunda akajifunika na kuanza kulia.

“Usinifikirie vibaya wala sina nia ya kukuumiza ila nataka kukuelimisha kwa kukufungua macho. Upo hapa ulipo kwa kuwa mimi nilikutoa pale. Je, kama na mimi ningetaka kulala na wewe sio kukusaidia, au tuseme kama ningekutoa pale nikakuweka hapa hotelini nikaanza kukutumia kama wanaume wengine, ungekataa?” Ulikuwa ukweli mtupu ambao Tunda aliogopa hata kumtizama Net.

“Inamaana mpaka sasa, ningekuwa na wewe nikiutumia mwili wako kwa furaha zangu, na wewe ukiteseka moyoni na mwilini, ilimradi tu utengeneze pesa! Kwa hali niliyokukuta nayo siku ile, maisha hayakukupa uhuru wa kuchagua kitu gani ufanye ni wewe kupokea kitakacho kujia. Au niambie ukweli Tunda, ikitokea nakufukuza kazi sasa hivi, utaenda wapi? Huna cheti hata cha kidato cha nne. Unafikiri akitokea mtu kama Gabriel akakupokea tena mtaani baada ya mimi kukufukuza kazi hapa, je utamkataa?” Tunda hakujibu, akaendelea kulia.

Kila Mtu Anastahili Nafasi ya Pili.

Net akaendelea. “Ndio maana nakuambia hii ni nafasi ya pili Mungu amekupa Tunda, anataka uanze upya. Usikubali kuiachia.” “Mungu mwenyewe hata simjui, Net!” “Ukikubali, mimi nitakufundisha. Lakini lazima ukubali wewe mwenyewe kwanza. Na usikubali kwa kuwa mimi ndiye ninayekwambia, hapana. Pata muda wakufikiria kwanza. Na hata ukisema hapana, siwezi kukuchukia na sitaacha kukuombea. Lakini nakuhakikishia ni maamuzi ambayo hutakaa ujute.” Kidogo akamchanganya. “Ulikuwa ukiniombea Net?” Tunda akauliza kwa upole sana huku akimtizama Net na uso uliojaa machozi, nakumfanya atabasamu.

“Wewe ni mzuri sana Tunda, hutakiwi kuchezewa na watu. Thamani yako haipo kwenye nyumba unayoishi au kiasi cha pesa unachomiliki au elimu uliyonayo. Usikubali mtu akakwambia vinginevyo.” Tunda hakuwa akiamini. “Hata wakikutupa jangwani bila kitu chochote, thamani yako inabaki palepale.” “Unaongea na mimi, Net! Au umesahau?” “Nimekwambia huwa sisahau kitu. Na hilo ndilo tatizo langu.”

“Sasa hiyo thamani naitoa wapi? Sina thamani yeyote ile Net. Sipo huru kwenda popote tena. Sina mtu anayeweza kunisaidia hivi au hata kunisikiliza zaidi yako. Tena hata wewe sikuelewi, Net! Jinsi ninavyo kudhalilisha, aibu ninayokutia! Kweli sikuelewi! Mimi mwenyewe nimechoka, nimeamua kujifungia humu ndani. Maana kila ninapoenda naishia kudhalilika tu. Kama sitakutana na watu niliokwisha lala nao, basi nilishawahudumia kimapenzi kwa namna moja au nyingine.”

“Kwa kuwa najua kuwa, kila mtu ananafasi ya pili, hapa duniani. Unayo nafasi ya kuanza upya Tunda. Upya kabisa wewe mwenyewe. Haijalishi nini umefanya kwenye maisha yako, unaweza kuanza upya na Mungu asikumbuke kabisa ulichofanya. Hata kama wanadamu tutakumbuka, lakini si kwa Mungu ambaye ndiye wa muhimu sana. Atakusamehe, atakutakasa, atakupa furaha ya ajabu moyoni kwako. Atafanya upya nafsi yako na roho yako pia.” “Kwani na mimi nina nafsi kweli!?” Net akacheka.

“Sitanii. Nahisi hivyo vyote vitakuwa vilishakufa au mwenye navyo, huyo Mungu alishavichukua.” “Unanafasi ya pili Tunda. Yakupatanishwa na Mungu. Fanya maamuzi sahihi. Atakurejeshea vyote ambavyo shetani alivichukua.” “Umesema utanisaidia?” “Kwa asilimia mia moja. Sitakuacha hata kwa hatua moja.” Tunda alifurahi sana.

“Asante sana Net. Sasa ndio natakiwa nifanyaje?” “Swali zuri sana. Kwanza nataka kujua kama upo tayari.” “Umeniambia nijaribu. Nataka nijaribu na mimi nione.” “Najua sasa hivi umechoka. Naomba nikuache upate muda wa kupumzika, kisha kesho nikupeleke kwa mtu atakayekuambia nini chakufanya.” “Kesho huendi nyumbani?” “Tutaenda wote Dar, na huko ndiko nitakupeleka kwa mtu atakayekwambia chakufanya.” “Net!” Net alikuwa akivaa viatu ili atoke. Tunda akakaa.

“Asante kwa kila kitu. Asante sana.” Net akatabasamu. “Asante kushukuru, na mimi asante kwa kuniamini na kuniambia kila kitu tena kwa uwazi.” Tunda akafikiria kidogo. “Nikuulize kitu Net?” “Uliza tu.” “Baada ya kujua uchafu wangu wote niliofanya, unanifikiriaje?” “Ninafikiria hiki unachotaka kufanya sasa hivi Tunda, sio maisha uliyoishi zamani. Wewe hukupata nafasi ya kulelewa kama wengi wetu. Hukubahatika. Ila sasa hivi umekubali kupokea nafasi mpya kwenye maisha yako, tena ukiwa na mimi niliyekuahidi kuwa na wewe katika kila hatua ya maisha yako, hilo tu ndilo linanipa nafasi ya kuweza kuongea kitu juu ya maisha yako, si vinginevyo.” Tunda hakuamini, akabaki ametulia tu akimwangalia kama asiyemsadiki.

“Nina kusifu Tunda. Ikifika kesho kama sasa hivi, utakuwa kiumbe kipya kabisa. Pata muda wakupumzika kesho tutaongea vizuri tukiwa njiani.” Net akaondoka akamwacha Tunda akiwa amelala, kwani alikumbuka Tunda alivyomwambia kuwa, huwa anapata usingizi pale anapokuwa naye. Alirudi kukaa pembeni yake, akawasha tv akiwa bado amevaa viatu. Tunda alibaki akishangazwa na Net alijua. “Pumzika, ulale. Nataka nikuache ukiwa umelala.” Tunda alitoa tabasamu zuri, lililofanya azidi kuvutia. “Asante Net.” Alijirudisha ndani ya yale  mablangeti na shuka, huku Net akimsaidia kumfunika vizuri. “Usiku mwema.” “Na wewe Net.” Tunda akalala na ndipo Net naye alipoondoka.

Tunda akiwa safarini kuanza maisha mapya.

W

akiwa kwenye ndege kuelekea Dar, Net alimueleza Tunda umuhimu wakuanza upya na faida nyingi atakazopata katika hayo maisha aliyoyachagua. “Naona kama ndege inachelewa, natamani kufika haraka!” Net akacheka. “Lakini kwanza tunapitia nyumbani.” “Kwa mama yako!?” “Tena atakuwa akitusubiri uwanja wa ndege. Amefurahi uamuzi uliofikia, akaomba tupate muda wa pamoja mfahamiane kwanza kabla ya kwenda kwa Mchungaji. Ni sawa?” “Hamna shida, ndio vizuri na mimi nimfahamu bosi wangu. Tumekuwa tukizungumza kwenye simu tu. Na mimi nitafurahi kumuona. Yeye ni mzungu?” Swali la Tunda lilimfanya Net acheke sana.

“Nini sasa?” “Hapana bwana. Mama yangu ni Mtanzania. Baba ndiye alikuwa mtu wakutokea Canada.” “Sera alikuwa akiringa kuwa anaolewa na Mzungu.” “Mzungu gani?” “Si wewe?” Net akazidi kucheka. Alikuwa kijana mstaarabu sana na muungwana. Alijaliwa utulivu ambao mtu yeyote angetamani kuzungumza naye.

“Hakuwa amenielewa vizuri. Nilijitahidi sana kuwa muwazi kwake na sikuwahi kumuonyesha hisia zozote za kimapenzi. Sijui kwa nini alifikiria ndoa!” “Atakuwa alikupenda sana.” Net akamtizama Tunda. “Nini sasa? Kweli! Sera alikupenda.” Net akatabasamu kisha akapotelea mawazoni.

“Net! Nikuulize swali?” “Mmh!” “Kwani unamchumba?” “Sijui!” Tunda alikunja uso, kama ambaye hakuwa amemuelewa Net. “Vipi? Umenipatia mchumba nini?” “Hapana, lakini nashangaa kwa nini hukumpenda Sera wakati naona alikuwa msichana ambaye mlikuwa mkiendana sana!” “Unamaanisha nini?” “Wote mmelelewa kwenye mazingira mazuri, mmesoma, wazazi wenu wanauwezo mzuri, yaani mnapesa. Ni msichana mzuri, na yeye ni mweupe, halafu Sera hakuwa muhuni kabisa. Hakuwa na mambo ya wanaume. Alijiheshimu sana.” “Daah! Kama ungekuwa mshauri wangu wa ndoa, ningekufukuza kazi sasa hivi.” “Kwa nini tena!?” Tunda akaanza kucheka.

“Vigezo vyako viko dhaifu sana, havimsaidiii mtu kupata mke hata kidogo!” “Jamani Net!” Tunda akazidi kucheka. “Hebu niambie, weupe, usomi, pesa na nini tena?” Net akauliza huku Tunda akicheka. “Kulelewa na wazazi wenye uwezo, yaani wote mmetoka kwenye malezi yanayoeleweka.” “Ehe! Sasa hivyo ndio vinasaidia kuwa na mke bora?” “Ndiyo. Na mwanamke aliyetulia. Sasa ukioa mwanamke ambaye hajatulia ndio inakuaje sasa?” Net alicheka kwa kuguna kisha akageuka pembeni. Tunda naye akaanza kuwaza maisha yake mapya aliyoamua kuanza.

Kwa Mara ya Kwanza Tunda na Mama Cote.

Ndege ilitua viwanja vya ndege vya Mwalimu Nyerere, Dar. Kweli walimkuta Mama yake Net na msichana mwengine aliyeonekana mzungu kwa asilimia kubwa sana kuliko hata Net. Alikuwa mzuri sana na nywele za rangi ya thahabu, tofauti na Net,  zilianguka mpaka chini ya mabega. Macho ya rangi ya blue kama Net. Tunda alimsalimia mama yake Net baada ya Net kumsalimia mama yake kwa kumkumbatia na kumbusu.

“Kuna nini tena?” Net akauliza baada yakumuona yule dada hajawasalimia. “Am leaving with you.” Alijibu yule dada kwa lugha ya kingereza huku akionyesha uso wakutaka kulia. “I just got here, Maya! What’s going on?” Net akamuuliza kwa upendo huku akimwangalia mama yake. “Siwezi tena Net. I got enough of her. I want to go.” Yule dada aliendelea kumlalamikia Net, huku machozi yakimtoka. “Can at list have a hug first?” Net akamuuliza kwa upendo kama kumbembeleza.

Yule dada akamsogelea Net na kumkumbatia kisha akaanza kulia. “She doesn’t take me out of her sight! She took everything away from me.  She is ruining my life, Net.” Aliendelea kumlalamikia Net. “Can we talk about it later?” Yule dada akanyamaza kwa muda.

“Mwambie anirudishie funguo zangu za gari kwanza. She listen to you Net. Tell her, NOW.” “You know we have to talk first, Maya. Naomba utulie kwanza kisha tutaongea tukifika nyumbani.” “I don’t want to talk, I want my life back.” “I understand, but let’s go back home first.” Walikuwa wamewapa mgongo Tunda na yule mama, wakati wao wawili wakizungumza.

“Naomba umsalimie Tunda.” “Tunda? Is that a name or fruit!?” Yule dada akauliza kama kwa kejeli akitaka kujua kama Tunda kweli linaweza kuwa ni jina la mtu! “I know you are upset Maya, but can you try to be nice?”  Net akamwambia anaelewa kuwa amekasirika, ila ajaribu kuwa mwema kwa mgeni. “Am sorry.” Maya akaomba msamaha na kumgeukia Tunda.

“Hey! Am Maya.” “Kiswahili Maya!” Mama yake Net akaingilia akitaka azungumze kiswahili na Tunda si lugha ya kingereza. “See! Everything am doing to her it’s a problem.” “She speaks Swahili, Maya. Just use Swahili, please.” Net aliweka msisitizo akiungana na mama yake kuwa Maya atumie kiswahili. “Fine!”  Akakubali Maya  nakufuta machozi.

“Habari yako. Naitwa Maya Cote.” Tunda akajua lazima ni mdogo wake Net kwani ndiyo jina alilokuwa akitumia hata Net, Nethaniel Cote. Tunda akanyosha mkono. “Naitwa Tunda, kama vile fruit.” Maya akacheka kwa aibu kidogo. “Samahani. Mama ananiudhi sana.” “Usijali. Hata shule walikuwa wakinitania hivyo hivyo.” Tunda alijibu huku akitabasamu, wakacheka.

“You have a pretty face. I love your sleeping eyes. The way you talk and smil..” “Swahili, Maya.” Mama yake alimkata Maya akitaka azungumze kiswahili. “See Net! I told you she…” “Maya!” Net akamwita kama kuweka msisitizo. “Fine!” Maya akamjibu kaka yake. “Wewe ni mzuri sana. Napenda macho yako na, anyways everything. You pretty.” Tunda akacheka akiona aibu. “Asante Maya.” Akamgeukia kaka yake na kumwambia, “I like her.” Akisema amempenda Tunda. Wote wakacheka.

“Ukiondoka unichukue na mimi, sitaki kubaki hapa na Mama Cote.” Alimnong’oneza Tunda masikioni, lakini kwa sauti iliyoweza kusikika na kila mtu pale. Tunda akacheka. “Mama akiruhusu, tutaenda wote.” Tunda akajibu huku akicheka. “Trust me, she wont. Labda Net ndio amwambie. Anafanya chochote anachoambiwa na Net, lakini siyo mimi.” “That’s enough Maya.” Mama yake akamkatisha. “See! That’s why I want to go away.” Maya akalalamika na kurudi nyuma akiwa amenuna. Walionekana wawili hao hawapatani.

“Karibu sana Tunda. Samahani umetukuta katika wakati mbaya, lakini nimefurahi kukufahamu. Mimi ndiye Mama Cote. Mama yake Maya.” Maya akamwangalia na kujisogeza kwa kaka yake. Alikuwa mama wakawaida tu. Hakuwa mweupe wala mweusi. Mswahili kabisa mwenye rangi ya kawaida. Maji ya kunde. Lakini alizaa watoto wote weupe sana, yaani wazungu. Maya alikuwa ndio anamwili wa kizungu, nimpaka aongee hicho Kiswahili chake na akuonyeshe mama yake ndipo utajua amechanganya. Wote walikuwa na nywele nyeusi lakini Maya alizibadili rangi nywele zake.

“Net aliniambia mnataka kwenda kumuona Mchungaji.” “Ndiyo.” “Umefanya vizuri. Lakini twende kwanza nyumbani mkale ndio twendeni kwa Mchungaji.” Walikwenda mpaka nyumbani kwa huyo mama. Alijenga sio mbali sana na alipokuwa amejenga Net. Maeneo hayo hayo lakini lazima utumie usafiri kufika kutoka kwa Net kwenda kwa mama yake. Palikuwa na umbali kidogo.

Tunda akabaki ametoa macho. Lilikuwa ni jumba la kisasa. Kumbwa picha za familia zilijaza hiyo nyumba kwa wingi. Kuanzia unaingia mlangoni mpaka sebuleni. Kubwa na nzuri. Na hapo ndipo alipoiona picha ya baba yake Net. Kweli alikuwa mzungu kabisa. Na alifanana sana na Net. Tunda alipita akiangalia.

Heshima ikaongezeka kwa hiyo familia. Kwa vile alivyoona pale, na biashara huyo mama anafanya, Tunda akakubali kuwa huyo mama kichwa yake inafanya kazi. Alimshukuru Tunda kwa kazi nzuri aliyokuwa akifanya kwenye ofisi yao huko Arusha. Akamsifia kuwa anampunguzia majukumu makubwa yeye na Net kwa utendaji wake mzuri.

“Net anakusifia sana. Hata wateja wetu wanakusifia. Asante sana na ninakuomba uvumilie tu, baada ya muda nitaongeza mtu mwingine wakukusaidia.” “Hamna shida mama. Kwa sasa naona nimeweza kumudu kazi zote, hata hivyo Net ananisaidia sana.” “Utalemewa pindi Net atakaposafiri.” Tunda alishtuka sana akamgeukia Net.

“Sisafiri sasa hivi Tunda. Acha kuogopa.” Tunda akacheka taratibu lakini wazi alionekana ameingiwa hofu. Walikaa pale wakizungumza mambo mbali mbali. Zaidi Net na mama yake ndio waliokuwa wakiongea zaidi. Walikuwa wakizungumzia mambo yao ya biashara. Tenda alizoshinda huyo mama. Tunda alibaki kusikiliza huyo mama, nakumtamania. Alionekana ni mama aliyefanikiwa sana.

Walikaa hapo mpaka mida ya jioni ndipo walipoamua kwenda kanisani. Tunda alikuwa amepewa chumba pale pale, akaacha baadhi ya vitu vyake kwenye hicho chumba, kwani Net alimwambia wangelala hapo siku hiyo mpaka kesho yake.

Tunda na Mkasa wa Kanisani.

Walipofika kanisani wakakuta ndio wanamalizia kikao cha wazee wakanisa, ofisini kwa Mchungaji. Ilibidi wasubiri kwenye viti vya nje. Alikuwa Tunda, Net na Mama Cote. Waliendelea kuongea mambo mawili matatu wakiwa pale nje, mpaka walipoona wazee wengine wakitoka kwenye ofisi ya Mchungaji. Mama Cote akasimama akatangulia humo ndani, baada ya muda, Tunda na Net walianza kusikia vicheko mle ndani ofisini wakahisi wamesha sahauliwa. “Ngoja nikawashtue.” Net akasimama na kuingia ndani.

“Shikamooni.” Tunda akamsikia Net akisalimia huko ndani. Mchungaji akaongea na Net maneno mawili matatu huku akimtania na kumuuliza habari za Arusha kisha Net akaamua amkumbushe baada ya kukuta bado kuna wazee wengine watatu mle ndani. “Bado utakuwa na nafasi yakuongea na Tunda?” Net akauliza. “Kabisa. Umekuja naye?” “Yupo hapo nje.” “Mkaribishe awasalimie na hawa wazee wa kanisa.” Mchungaji akajibu. “Ni kweli. Yaani Tunda ni binti mzuri sana.” Mama Cote naye akaanza kumwaga sifa za Tunda, akimsifia utendaji kazi wake. Net akatoka kwenda kumwita Tunda.

Net alimtanguliza Tunda aingie kwanza, yeye akafuata nyuma. Tunda aliingia na kusalimia “Shikamooni.” Huku akinyoosha mkono akitaka kuwapa mkono wale wazee na wachungaji kwa heshima zaidi. Wakati anasogea mbele kidogo ili aanze kuwashika mikono huku akiwaangalia vizuri, Net akamuona Tunda ameshtuka sana, akainama na kurudi nyuma huku akishusha mkono wake. Mama yake na Mchungaji hawakuelewa, lakini Net alishaelewa kwani alishakaa na Tunda kwa muda mfupi lakini alishamuelewa vizuri sana. Net alikasirika sana.

Wakiwa wengine hawajaelewa kilichompata Tunda, akamgeukia Net na kumsogelea kwa karibu. “Naomba kuondoka Net.” Tunda akataka ampishe sehemu ya mlangoni. “Vipi tena!?” Mchungaji akauliza kwa mshangao, huku akisimama. “Eti Tunda?” Tunda alishaanza kulia. “Naomba niondoke tu.” Hakuna aliyeelewa, Net aliwageukia wale wazee, akashangaa kuona wawili wameinama. “No way!” Net alisikika akilalamika huku ameshika kichwa. “Seriously!?” Net akawauliza kwa mshangao huku akiwatizama wale wazee wawili. Tunda akamsogeza kidogo Net kwa mkono wake, akatoka nje.

“Tunda! Tunda! Naomba nisubiri.” “Umenidanganya Net. Umeniambia nakuja kuanza upya, halafu unakuja kunikutanisha na waliokuwa wateja wangu, tena mbele ya mama yako! Nilikuamini Net, umenigeuka!” Tunda alikuwa akilia. “Tunda please. Naomba usiondoke.” Tunda alikuwa ameshatoka nje ya geti la kanisa, alikuwa akitembea kwa mwendo wa kasi, Net akimkimbilia kwa nyuma.

“Naomba usimame Tunda, Please.” Tunda akasimama huku akilia. “Naomba unisikilize. Unafikiri mimi ningejuaje kama wale walikuwa wateja wako? Sikuwa nafahamu hilo! Wale wazee wanaheshimika sana hapa kanisani, sikuwahi hata kuwaza kama wanaweza ku..” Net akasita. “Sasa unataka nifanye nini na wale watu tena? Ni maisha gani mapya unataka nianze na watu kama wale? Si yatakuwa ni yale yale tu?” Tunda alikuwa akiongea ukweli kabisa. Net akapooza, alishindwa chakujitetea kabisa.

Mahali ambapo alimwahidi Tunda angepata msaada na kubadili maisha yake, anakutana na wazee aliokuwa akiwaamini sana na wao walikuwa wakiishi yale maisha machafu. Alibadilika sura akawa mwekundu, nakushindwa kushusha mikono yake. Alibaki ameweka mikono kichwani akizunguka zunguka pale mbele ya Tunda.

~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~

Mambo yanazidi kuchanganya....

CONVERSATION

0 Comments:

Post a Comment