T |
![]() |
Aliamka siku inayofuata akakuta ujumbe kutoka kwa Mbawala. Akimuomba wakutane
na anaweza kumfuata hapo Dar hata kwa
usiku mmoja tu. ‘Hata
kama upo busy, basi usiku mmoja tu,
ilimradi tuwe wote, Fina. Sitakung’ang’ania zaidi ya huo usiku.” Tunda
hakutaka maneno mengi akarudisha ujumbe
mfupi tu. “Iwe ijumaa
usiku. Na naomba iwe hapahapa Dar. Ijumaa mchana na jumamosi asubuhi nitakuwa
na kazi nyingi.” Akakusudia kumnyima muda, akikumbuka shuguli ya Mbawala. “Huyu shuguli yake nzito, simpi
mwili wangu kwa muda mrefu. Asilete
utani.” Tunda akawaza akiwa hapo
amejilaza kitandani kwake. “Dad.” Akamkumbuka baba yake.
Moyo ukampasuka. Akacheka.
Kwa Waziri Mbawala.
Kidogo
akaingiwa hofu. “Waziri!” Akawaza
Tunda. “Lakini
sina kitu chakupoteza.”
Akaangalia
muda, ilikuwa saa nne asubuhi.
Akajiambia ni muda wa kazi. Akaamua kumpigia
simu akiwa palepale kitandani ndio
ametoka usingizini. Ikapokelewa mara
baada ya kuita tu. Akajikaza. “Na mimi ninahamu na wewe Mbawala. Sema nimekuwa busy sana kazini, ndio maana nimeshindwa kurudi baby. Nisamehe. Ila nimechukua likizo. Sasa hivi nipo. Nipe
kama siku moja yakupumzika au hata
mbili. Nakuahidi kulipia
upweke wote niliokusababishia. Sawa?” Akaongea
kwa sauti ya kujilalamisha, deko na usingizi.
Akajua anamsikiliza. “Haloo!”Akasikia akiita upande wa pili.
“Mbawala!?”
Tunda akaita kama kwa mshtuko kidogo. “Ndiyo. Mimi ni waziri Mbawala.” “Oooh my Goood!” Tunda akalalamika kwa sauti ya chini kama aliyeshituka sana,
akakata. Baada ya dakika kama tano,
akaona anampigia. Tunda akacheka
sana. Hakupokea ila akamtumia ujumbe. ‘Samahani nilikosea namba.’ Akasubiria. Majibu yakarudi. ‘Nipigie.’ ‘Naona aibu mwenzio.’ Tunda akarudisha hayo
majibu. Akaona anapiga. Akapokea baada
ya kuita mara kadhaa.
“Kabla hujaongea chochote, naomba unisamehe.” Akamsikia anacheka. “Usicheke bwana.” Tunda akaongea kwa deko. “Mbawala huyu anayebahatika
kulipwa upweke ni yupi huyo?” “Sitaki.”
Tunda akajibu kwa deko huku na yeye akicheka. Wakacheka wee. “Lakini hebu
niambie ukweli. Ni waziri Mbawala
mwenyewe? Au nimejichanganya tena?” “Last time I
checked, bado mimi ni waziri wa mambo ya
nje.” “Oooh my!” “Mbona unashtuka.” “Hapa nipo
kitandani nimelala, hata mswaki sijapiga!
Nikasema nimpigie simu Mbawala,
alinitumia ujumbe jana usiku. Kwa
mawenge ya usingizi, nimekupigia wewe
wakati nilipanga kufuta namba yako! Kuna mtu alinipa namba yako, akasema nikikutana na waziri mwenyewe, atanisaidia. Akakusifia wewe ni mtu mzuri
sana.” “Sasa kwa nini hukunipigia.”
Tunda akacheka.
“Nikwambie ukweli?” “Nakusikiliza.” “Niliogopa. Nikamwambia huyo aliyenipa namba kuwa, kwanza huwezi ukapokea simu ya mtu kama mimi na ukakubali kunisikiliza.” “Kwa nini na wewe unanini?” Waziri akauliza. “Unajua tena, watu kama sisi hatuna majina wala hatujulikani. Nikajua utaangalia namba yangu wala hutapokea.” “Kwanza ujue ni wachache sana wana hii namba yangu ya simu. Ni watu wafamilia na marafiki wa karibu sana ndio wana hii namba yangu ya simu.” Tunda akaingiwa na hofu kidogo. Akajua atakamatwa.
“Kwa hiyo hii
simu ikiita, hata kama niko kwenye
kikao, lazima nitoke.” “Basi na yeye aliniambia hivyohivyo ndio
maana nikaogopa. Nikamwambia unaweza
kuchukia.” “Hapana. Hamna shida. Ulikuwa na shida gani?” “Ni muda kidogo.
Wizara yenu ilitangaza nafasi za kazi.
Ndio nikataka kuomba. Lakini nikaja
kupata kazi sehemu nyingine. Hivi hapa
nipo likizo ya siku chache.” Tunda akajikaza na
kuendeleza ule uongo wake. “Oooh! Ungenitafuta tu tukajua
jinsi yakukusaidia. Ila kama umefanikiwa
ni vizuri.” Tunda akajua atakata. Akaona amuwahi.
“Nikuulize swali lisilo msingi sana au
upo busy?” “Karibu.” Yule waziri
akajibu. “Hivi kama hivyo ulivyo mtu mkubwa sana hapa nchini, si
unakuwa na majukumu mengi sana? Mnapata
muda hata wakupumzika kweli?”Akamsikia
anacheka. Hapo hapo wakaanza
mazungumzo. Tunda sauti yake vilevile ya deko na mahaba. Pole za
hapa na pale hazikuisha. Maswali laini
akiwa kwenye tahadhari asivuke mipaka
hayakuisha. Basi muheshimiwa na yeye cheko la hapa na pale likawa jingi.
Mpaka mwisho wakajikuta kama
wamezoeana.
“Nisikupotezee mwaya muda. Nikuache ufanye kazi. Ujenge taifa.” Wakacheka. “Nimepata muda wa kuzungumza kidogo, nime refresh akili.” Wakacheka. “Basi siku nyingine ukichoka akili, unipigie.” “Mbona mimi sipati ahadi kama za yule Mbawala mwingine?” Tunda akacheka sana. Tena na tena akacheka. “Wewe nakuogopa bwana! Huwezi kukubali watu kama sisi.” “Itabidi nikuone ili nielewe huo usemi wa ‘watu kama Sisi’ ndio mkoje!” Tunda akacheka tena. “Itanibidi tu. Kwanza hata hujanipa jina lako.” “Naitwa Doris. Ila kwa watu wangu wa karibu, wananiita Dori.”“Na mimi si nimeshakuwa wa karibu? Eti Dori?” “Eeee.” Kajidogosha kwa kisauti cha kitoto. “Umesema upo likizo?” “Siku chache tu.” Akajibu Tunda. “Ungependa tukutane?” Akamuuliza Tunda. Akacheka kidogo kama anayesita.
“Eti?” Mheshimiwa akauliza kwa kubembeleza. “Ndiyo. Kama wewe ukiona sawa.” “Unaweza kusafiri?”
Tunda
akashtuka mpaka akakaa. “Ndiyo.”Akajibu kwa
sauti ya chini huku anacheka. “Nina safari fupi ya hapahapa Africa. Kuna
kikao Afrika ya kusini. Nitaondoka kesho
kutwa. Unaweza ukatangulia, au
ukanifuata. Ni kutokana na wewe tu.”
Moyo wa Tunda ukapasuka. Sura ya Waziri
ikamjia karibu. Akatulia kidogo.
“Dori?”“Nilikwambia
nipo likizo.” Tunda akajibu taratibu. “Basi panga kuondoka kesho. Nitakuelekeza hoteli ilipo. Halafu
mimi nitakufuata kesho kutwa.” “Ila mimi muoga mwenzio. Usije
kuniacha huko peke yangu. Nasikia
wanachoma wageni weusi, moto.” Akamsikia anacheka. “Nakupeleka
kwenye maeneo ya watu wanaojielewa Dori. Usiwe na wasiwasi. Hii simu si inapokea pesa?” “Ndiyo. Lakini naomba nikuombe
kitu. Tuonane leo. Angalau unifahamu kwa
sura kwanza.” “Hilo wazo zuri sana. Nilitaka iwe hivyo lakini..” Akasita.
“Usijali.
Inaweza tu ikawa mchana. Sehemu ya wazi.
Kama Mlimani city. Ukajifanya upo kwenye
moja ya duka hapo, na mimi nikaja. Na
kama ungekuwa huna dereva, ningeweza kukufuata kwenye gari.” “Usiwe na wasiwasi na dereva.
Anaweza kushuka kwenye gari kutupa nafasi.” “Basi naomba
nikuone leo.” “Sawa.” Kwa sauti hiyo ya Tunda, lazima ukubali tu.
Wakapanga muda. Wakaagana. Tunda akaanza
kuruka ruka hapo chumbani akishangilia
kama mtoto wa ndama aliyetoka
kuzaliwa.
Akaamua
kumtoa mate huyo waziri. Akaamua
kujitengeneza kama kawaida yake, lakini
amfanyie kama mwanae. Amwachie mapaja
wazi. “Mwanae!” Akashtuka alipokumbuka miahadi aliyopanga na mwanae. Akakumbuka
week hiyo atakuwa na baba yake Afrika ya
kusini. “Namuweka wapi huyu mtoto
wake niliyemkubalia tukutane ijumaa usiku?” Tunda akawa
ameshagonganisha magari. “Hapa lazima kuua
ndege wawili kwa jiwe moja.
Nijilalamishe kwa baba yake kuwa naogopa
kuwa peke yangu huko kwa wa Sauzi, atangulie. Huku nyuma nimpe usiku mmoja mtoto wake, ndio nimfuate.” Hilo akalikubali.
“Na Mihayo, nitapambana naye wakati nikirudi.” Akajiambia wakati akiendelea kujitayarisha. Alipokaribia Mlimani City akampigia simu Mbawala waziri. “Umeshafika?” Tunda akauliza. “Huwa nina tabia ya kuwahi dakika 10 kabla ya miahadi. Kwa hiyo nipo hapa.” Tunda akacheka. “Na mimi nipo hapahapa. Unaweza kumruhusu sasa dereva wako atoke.”“Hilo nilishalifanya. Ametoka, nimemwambia nitampigia baadaye nikiwa tayari.” “Mbona sasa unajiongelea mwenyewe? Na mimi?” Tunda akajilalamisha, akacheka. “Basi tukiwa tayari.” “Hapo sawa. Upo upande gani?” “Kama ulivyonielekeza.” Tunda akacheka.
Akamwambia dereva wa Uber amshushe walipoingia tu
getini. Akaanza kutembea kufuata gari la
waziri Mbawala. Akaweza kulitambua kwa urahisi tu. Akasogea mpaka mlango wa nyuma. Mbele hakuona mtu. Akagonga kioo cha dirisha la mlango. Akaona kioo kinashuka macho
yakagongana na Waziri. Akamuona
ameshtuka kidogo. “Wewe ndio Doris!?” Tunda akacheka taratibu. “Mimi ndiye.” Akabaki amekodoa macho
akimtizama kwa makini. “Nakaribishwa ndani?” Ikabidi Tunda aulize huku akicheka. Maana bado alikuwa amesimama nje ya gari, mheshimiwa ndani akimshangaa. Giza lilishaanza
kuingia.
“Nimepigwa
na butwaa nikasahu kukukaribisha ndani.” Tunda akacheka na
kuzunguka upande wa pili. “Karibu.” Akafungua mlango
na kupanda garini. “Gari yako safi!” Akasifia lakini waziri alionekana bado yupo na mshangao. “Asante. Lakini Dori wewe
ni mrembo na upo nadhifu.” Akacheka.
“Asante.
Nimefurahi kupata hii nafasi
kukaa hivi na wewe! Kwanza bado siamini.” “Kwa nini?” Akauliza huku anacheka. “Mimi kukaa na Waziri!” Mbawala akacheka tena. “Utazoea.”
“Kweli!?”
Akacheka
tena. “Niambie Dori.” “Mimi ndio nikusikilize wewe muheshimiwa.” “Tukiwa wote mimi sio
muheshimi.” “Ni nani?” Tunda akamuuliza
huku anamrembulia. “Nakupa wewe nafasi uchague.” Tunda akajidai
anafikiria.
Akamuona anacheka. “Umepata jibu?” Waziri akamuuliza.
Akatingisha kichwa kukubali na
tabasamu kubwa usoni.
“Nikunong’oneze?” Tunda akamuuliza huku akicheka.
“Mmmhh!”
Akakubali. “Unatatizo la miguu?”
“Hapana.”
“Magoti?” Tunda akauliza tena. “Hapana Dori. Mimi mkimbiaji.” “Kumbe ipo nguvu?” Wakacheka. “Sijui. Nakupa nafasi ya
kulitafutia jibu lake.”
“Unauhakika!?”
Tunda akauliza kutaka uhakika kama anaruhusiwa kuvuka mipaka huku akicheka na wasiwasi kidogo. “Ruksa.”
Akamrhusu
akiwa ametulia kabisa.
“Okay. Uwe makini
sasa. Nitakunong’oneza jina lako nililokupa. Hilo ni langu tu. Mimi na wewe. Sawa?”Akacheka huku akionyesha kufurahia. “Sawa.”
Akakubali huku akimwangalia kwa utulivu,
na shauku yakutaka kujua hilo jina. Tunda akajiweka sawa kwenye kile kiti,
akamkalia kwa kupitisha miguu yake pembeni
na pembeni, akaikunja. Yeye akamuweka
katikati. Akamvuta mikono yake na
kuipitisha nyuma yake taratibu. Aliiweka
kwa chini kama amkumbatie kiuno lakini
chini kidogo karibu na
makalio. “Mmmh!” Akamsikia
akivuta pumzi baada ya kumshika. Tunda
akacheka na kujivuta mpaka kifuani, akajilaza
masikioni. Akambusu. Akasikia
akitetemeka kidogo kama
aliyesisimkwa. Akapitisha ulimi
hapo sikioni huku mkono mmoja unamchezea
sikio jingine. Juu ya sikio, chini,
nyuma mpaka kwenye nywele, chini
mpaka shingoni akitumia na kucha pia.
Akaanza kumsikia jinsi anavyohema na akaanza kumkandamiza kule alikomshikisha, kwenye makalio. Akapandisha gauni mpaka juu kiunoni kisha akaliachia. Na yeye akapitisha ile mikono ndani kabisa. Akaanza kumpapasa Tunda kwa nafasi. Alipofika kiunoni akashika ile cheni, akaizungusha mara kadhaa, Tunda akamtolea milio yakumfanya yeye apagawe zaidi. Ilikuwa ni milio aliyojifunza tu Tunda. Na akianza kujiliza hapo, utatamani utoe nguo. Midomo ilikuwa shingoni. Hakuwa akijisahau hata kidogo, na wakati wote alijikumbusha yupo kazini, kinga ni bora kuliko kifo. Alijinyanyua, bila kujijua akawa amevalishwa kinga, kondomu.
Hakuendana na
umri wake hata kidogo. Tunda akashangaa anapewa za kiutu uzima,
kama aliyekuwa amejiandaa. “Kweli
embe halianguki mbali na mti wake.” Akajisemea Tunda wakati mzee ameshika kasi. Na alijua kumshikilia Tunda asichoke au kuumia, mpaka Tunda akashangaa. Alikwenda muda mrefu, lakini Tunda hakutokwa jasho. Alimaliza, wote wakawa wanahema pembeni.
Tunda akamgeukia akiwa amejilaza
kichwa pembeni yake.
“Umefurahia?” Akamuuliza kwa kujali. “Sana. Asante.”Akamshukuru Tunda
kwa heshima tu. “Na wewe?”Akamuuliza kuonyesha kumjali. “Nimefika mara mbili! Kweli unayo nguvu. Utafikiri ndio unatimiza miaka 21!”Akacheka sana. “Kwa hiyo naamini safari ipo.” “Kwa mwendo huo, ipo.
Nimependa unavyonijali nisiumie.”Akacheka na kumbusu
kichwani. “Karibu. Naamini tutapata
wakati mzuri huko.” Tunda akamvuta mkono, akaukumbatia. Wakatulia kwa muda wote wakijaribu kupata pumzi.
“Umeamua nini sasa?
Nitangulie au unatangulia kesho?” Tunda akafikiria. Kwa shuguli ya waziri, akaona heri ajipumzishe mpaka amalizane naye huko South Africa. “Sitawamudu wote yeye
na mwanae kama nitawapanga karibukaribu. Wapo kama chui aliyeona nyama!”Akawaza Tunda. “Lakini nimempenda baba
mtu. Anaonekana anajali. Mstaarabu.” Akasikia busu jingine. “Au umegairi?” “Hapana. Nafikiria?” “Nini tena? Au una mtu unayemuhofia?”
“Hapana.
Wewe je?” Akacheka. “Hata mimi nipo huru.” Tunda akamtizama
machoni, hakuwa ameelewa. Aliona picha zake na
mkewe.
“Sasa unafikiria nini? Kama ni nauli usiwe na wasiwasi, hata pesa ya matumizi ipo. Ningependa utangulie ili
nikifika uwe umeshapumzika, unanipokea mimi.” Tunda akacheka na kukubali. “Sawa. Nitatangulia basi.”
“Kama upo tayari nikate tiketi kabisa.” “Nitakata tu tiketi mimi
mwenyewe. Usijali. Nilikwambia nipo mapumzikoni kwa hiyo sipo na shughuli
nyingi.” “Basi afadhali hayo mapumziko tuyafaidi wote.” Tunda akacheka. “Lakini ningependa mimi ndio
nikukatie hiyo tiketi.”
“Ninaye mtu
wangu huwa ananisaidia kupata tiketi kwa urahisi na mimi namlipa kidogo.”
Waziri akatulia kidogo kama anayefikiria.
~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~
Tunda hakutaka kabisa kukatiwa tiketi. Kwa jina gani!? Wakimkatia tiketi inamaana inabidi atoe jina linaloendana na
hati yake yakusafiria. Na yeye ameshadanganya anaitwa Doris. Hati yake ina jina la Ani kama
alivyomwambia marehemu Sadiki aliyemtengenezea hiyo hati na kuitumia sana
kwenye safiri akiwa na huyo marehemu Sadiki.
Atakamatwa uongo. Akagoma
kukatiwa tiketi.
~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~
“Wewe usiwe na wasiwasi, utanikuta nikikusubiri Sauzi.” Tunda akasisitiza, huku
akicheka na kumpapasa taratibu. Akamuona anachomoa
bahasha kwenye moja ya mkoba wake
kiti cha mbele. “Basi pokea hii bahasha.
Ni yako nilikuandalia. Kesho
nitakutumia jina la hoteli utakayofikia.”
“Asante.” Tunda akashukuru
taratibu na kumbusu pegani. Akajivuta mpaka kifuani kama kitoto kilichokosa mapenzi, Mbawala akamkumbatia kwa mikono yote miwili. “Asante.” Akashukuru
taratibu. Wakatulia kwa muda. Kila mtu
akiwaza lake.
Mwishowe Tunda akajitoa mikononi kwake. “Nikuage ili uwahi nyumbani. Mama Mbawala asije kuanza kukutafuta.” “Usiwe na wasiwasi.” “Kwa hiyo naruhusiwa kukuaga?”
Mbawala akacheka.
“Ningefurahi
kuagwa. Na usisahau jina langu.”
“Nilikutajia. Hukusikia?” “Hata kidogo.
Ukishika huko masikioni akili huwa
haifanyi kazi.”
Tunda
akacheka sana. Akajua sehemu ya
kumkunia. Alichofanya palepale ni kutoa
nguo yote, Mbawala akimtizama. Giza
lilishakuwa kubwa nje, ila mwanga wa taa
za nje ndio zilisaidia kuonana japo si
kwa wazi, ila aliweza kuona kwa kiasi
fulani. Akanyoosha mkono mpaka
kiunoni kwa Tunda, akampapasa taratibu kiononi. Kisha akamvutia kumpandisha mapajani kwake. Tunda akatoa
ushirikiano, akamkalia tena kama mwanzoni.
Akaanza kumbusu shingoni akahisi anamtoa sidiria. Huku akimpitisha kidole kwenye uti wa mgongo. “Mmmh! Huyu Mzee wamo huyu!” Tunda akashangaa. “Mambo anayajua
kuliko hata mwanae!” Akajisemea mwenyewe wakati Mbawala akitoa ile sidiria mkononi. Tunda akacheka. Akabaki mtupu mbele yake, mapajani.
Akamsogeza kiwiliwili kwenye kiti cha mbele. Tunda akawa ameegemea kiti cha mbele huku amemkalia. “Uliniambia unaniaga.” Tunda akacheka taratibu na kutingisha kichwa kukubali. “Basi taratibu. Nipe
uhuru.” Tunda akakubali taratibu. Akafurahia kupewa huo uhuru. Alichezea huo mwili wa Tunda na kumzungusha hapo kwenye gari, Tunda akabaki
mwenyewe anamshangaa. Taratibu
bila pupa wala papara. “Huyu Mzee
Muhuni huyu!” Tunda akajisemea.
Kuja kumaliza na
kuangalia saa, ni saa tano usiku wakati
Tunda alifika hapo saa moja na nusu. “Umeridhika?” Akamuuliza
Tunda. “Sana. Nimefurahia jinsi
unavyonishika.” Akacheka. “Sikutaka ujiumize.” “Nashukuru kwa kujali.” Akajirudisha mbele
akamlalia shingoni, kama katoto.
Akamuona anambembeleza mgongoni mpaka Tunda akapotelea hapo kifuani. Baada ya muda
Tunda akashtuka. “Mpaka nimesinzia!” “Nilihisi jinsi ulivyokuwa ukihema.”
Wakacheka. Tunda
akashuka pale mapajani. Akaanza kuvaa.
“Nimepata wakati mzuri Mbawala! Nashukuru kwa kujali. Sikutegemea.” Hakumtumia mwili wake kikatili. “Karibu. Ipo siku nitakubembeleza ulale
vizuri.” Tunda akacheka. Akambusu shavuni.
Akavaa nakujiweka sawa. “Acha nikajiandae na safari.” “Sawa. Nitakupigia
kabla hujaondoka asubuhi.” Tunda akambusu tena shavuni, akashuka kwenye gari.
Yalikuwa yamebaki magari machache sana
hapo uwanjani na yote yalikuwa mbele sio
kule nyuma walipokuwepo wao.
Alifika nyumbani kwake akatoa ile bahasha
aliyopewa na Waziri. Akabaki ametoa
macho. “Anautani na mimi huyu!
Dola!!” Tunda akashtuka sana.
Akaanza kuhesabu huku akicheka.
Akazirusha zote juu huku anarukaruka
kwa furaha. “Tunda nimeshika dola!” Hakuamini. Akamkumbuka
mwanae aliyemuahidi usiku wa
ijumaa, akaenda kuchanganywa na dad yake,
akajikuta anampa yeye siku za mwanae. “Baba
yake anastahili. Kwanza ananijali sio
kama mwanae huwa hata haulizi kama
nimefurahi au la. Ilimradi yeye aridhike
basi. Hana maana.” Tunda akawaza huku akivuta simu yake.
Akamtumia
ujumbe palepale. ‘Samahani Mbawala. Nimepata safari ya
dharula, nasafiri kikazi kesho asubuhi sana. Kurudi inategemea na
mambo yatakavyokwenda huko. Lakini
naahidi kukutafuta nikirudi. Na
nitalipiza.’ Akatuma huo ujumbe. ‘Ningejua
basi ningekuja hata usiku wa leo
nikuage.’ Tunda akacheka, na
kukumbuka agana yake na baba yake.
Akavuta pumzi kwa nguvu. Akacheka. “Huyu
asingeweza kuniaga hata nusu ya baba
yake. Aache kunitania.” Tunda
akajisemea, akaamua kujibu. ‘Sikujua wala kupanga hii kusafiri. Ningefahamu mapema, ningetafuta
jinsi ya kuonana. Nisamehe.’ ‘Usijali. Naelewa Fina. Tafadhali ukirudi niwe wa kwanza.’ ‘Promise.’ Tunda akaweka ahadi. ‘Thanks.’ Mbawala Junior akarudisha huo ujumbe. Akajua amehuzunika, lakini akajimbia atasubiri kwanza.
Akaona awe muungwana. Akamtumia ujumbe baba mtu sasa. ‘Mbawala, nakushukuru kwa wakati
mzuri na waheshima ulionipa leo. Asante kwa pesa pia.’ ‘Karibu. Na mimi nimefurahia wakati mzuri tuliokuwa nao. Pumzika. Kesho tutaongea zaidi.’ ‘Usiku mwema.’ ‘Na wewe Dori.’
Akajibu baba mtu. Sasa ili asije
kujichanganya, akabadili majina
kwenye simu ili asije kujichanganya. Tewele{Irene}, Mbawala dad{Dori},
Mbawala Dodoma{Fina}, Kinny{Fina}.
Akajiridhisha. Akafunga simu na kuanza kujiandaa na safari sasa.
Tunda alilala kwa furaha kama katoto kachanga. Kwanza akajisifia mwili wake kushikwa na waziri. Tena sio waziri tu. Waziri wa mambo ya nje, mwenye uwelewa, msomi, mzuri hata kwenye
mapenzi, aliyemuheshimu na kumpa penzi zuri. Akacheka tena kisha mawazo
yakamrudisha alivyokuwa naye garini! Jinsi
alivyokuwa amemkumbatia pale garini. “Naamini tutakuwa na wakati mzuri huko.” Akakumbuka maneno ya waziri. “Kwa ufanyaji ule wa mapenzi, kuwekwa mikononi vile, lazima wakati mzuri utakuwepo.” Tunda alijilaza pale kitandani akicheka taratibu huku chumba chake kimezagaa dola. Mungu ampe nini Tunda! Na kesho yake anakwenda Afrika ya Kusini!
“Tunda ambaye hata sijasoma, leo nashika dola, na kukaa na wakuu wa nchi sehemu moja! Tena
naheshimika na wasomi! Kinny na shule
yake alishindwa kumuingia Mbawala! Mimi
nikaweza kumpatia ile tenda, tena ya
mamilioni!”
Ujasiri na uthamani ukazidi kuongezeka
kwa Tunda. Furaha pekee ndiyo
iliyomfanya akalala.
Safari ya kusini mwa Afrika.
N |
dege
ilikuwa ikiondoka saa nne asubuhi. Akatoka kwake masaa mawili kabla. Kwa kuwa
hakuwa akijua anarudi lini, basi akajiandaa vilivyo. Na shauku ikaongezeka
zaidi kwa heshima waziri aliyomuonyesha usiku uliopita. Akamtumia ujumbe kumwambia ameanza safari na alipata ndege. Akampa na muda watakaokuwa
wakiondoka hapa nchini. Akamtumia huo ujumbe. ‘Naruhusiwa kupiga?’ ‘Nitafurahi
kukusikia.’ Tunda akarudisha majibu.
Simu ikapigwa. “Kuniona je?” Tunda akacheka. “Najua sasa hivi
upo kazini. Huwezi kuniona.” “Utanikuta uwanja wa ndege
nakusubiri nikuage.” “Haiwezekani!”
Tunda akajikuta anashangilia kwa sauti, Mbawala akaanza kucheka.
“Siamini!” “Ukifika tu, nipigie
nikuelekeze nitakapokuwepo. Naweza kufika hapo kabla yako. Sipo mbali na uwanjani.” Tunda akajikuta anafuraha ya ajabu moyoni. Akatamani amwambie dereva aongeze mwendo. Lakini akakumbuka ajali ya gari aliyoipata na kusababisha kifo cha Sadiki. Akaona atulie, amwache aendeshe vile vile kwa makini. Na kweli alikuwa makini. Aliendesha mpaka uwanja wa ndege.
Alipoingiza tu gari pale uwanjani, Tunda
akampigia simu. “Nimeshafika. Nipo..” Akapokea na kumwelekeza sehemu
atakayokuwepo. Tunda akafurahi sana.
Akamwelekeza dereva taksii wapi
apite. Wakati taksii iliyombeba inapita
alipomwambia yupo, akamuona
amesimama nje ya gari. Moyo wa Tunda ukazidi kujawa furaha alipomuona,
asijielewe. Dereva alikuwa amepita pale
alipokuwa amesimama waziri, kidogo tu.
Yeye hakuwa amemuona waziri. Waziri
alikuwa amesimama kwa nyuma kidogo, pembeni ya gari yake. Sio kwa uwazi sana. “Simama haraka.” Tunda alishuka pale kwenye taksii kama mshale na kurudi nyuma pale alipomuona
waziri amesimama.
Alikuwa akimkimbilia kwa furaha zote kama mtu ambaye walipotezana kwa miaka. Akajikuta anamrukia na kumkumbatia.
Mbawala alikuwa anacheka sana. Tunda alimkumbatia kwa nguvu akiwa amejilaza shingoni na Mbawala amemnyanyua huku amemkumbatia.
Akajishangaa machozi yanamtoka. “Usilie sasa.”
“Sikutegemea! Nimefurahi sana.” Akaanza kumfuta machozi.
“Asante.”
Hata yeye hakujua kule machozi yalipotokea! Pengine safari ya Sauzi au kujaliwa na waziri. Lakini Tunda hakuwa mliaji hata!
Akajicheka. “Mizigo iko wapi sasa?” “Nimeacha kwenye taksii kwa kupaniki nilipokuona kweli
unanisubiria. Sikuamini ulivyoniambia nitakukuta hapa.” Mbawala akacheka huku akimrudisha nywele nyuma na kumfuta machozi. “Umeshalipia?” “Bado. Ngoja nikachukue mizigo
yangu halafu nije.” Tunda akarudi kwenye taksii kwa furaha yote akijifuta machozi
ya furaha na kujaribu kutulia.
Akamlipa dereva, akachukua mizigo yake
akarudi kwenye gari la waziri akamkuata
bado amesimama nje akimsubiria. “Kumbe kwenye mwanga ndio unavutia
hivyo!” Tunda akacheka na kuinama huku
akijifuta machozi vizuri. “Umependeza sana.”
“Asante. Ila
ujue nimefurahi sana kukukuta hapa.
Sikutegemea.” “Sasa mbona umewahi hivyo!?” “Kwa kuwa natumia
taksii, huwa sijui aina ya uendeshaji wa
mtu. Kwa hiyo huwa najipa muda mrefu
ili nisichelewe.” “Hapo sawa.” Akamwangalia na kucheka.
“Nini sasa?” Tunda akauliza kwa
aibu kidogo. “Una macho mazuri
sana Dori. Halafu
unavutia. Laini, halafu mtaratibu!”
Tunda akacheka na kumshika mkono.
“Unakuja lini sasa?”
“Kesho
nitakuwa huko. Chakula cha mchana tutakula wote.” “Nitafurahi. Unaondoka
sasa hivi?” “Unataka niondoke?”
“Nataka
tubaki wote mpaka niondoke. Twende
ndani ukanikumbatie.” Mbawala
akacheka. Wakaingiza mizigo ndani ya
gari, wakaingia ndani ya gari, wakakaa
kiti cha nyuma.
Tunda akapitisha mikono chini ya mikono
yake yote miwili
akamkumbatia kwa nguvu na kujilaza
kifuani. Mbawala akambusu kichwani
mara kadhaa, wakabaki kimya Tunda
amejilaza, Mbawala anamchezea
mgongoni. “Tunarudi lini?” Tunda
akauliza taratibu. “Ni mkutano wa siku tatu tu. Ya nne tunarudi. Nitakuwa nimekuweka sana?”
Tunda
akatingisha kichwa kukataa. “Ni sawa.” Akajibu taratibu. Wakatulia. “Hutaki tuagane leo?”
Waziri akauliza. Tunda akamwangalia. “Na mwanga huu!?” “Hapa nyuma hakuna atakayetuona akiwa nje. Hivi vioo vimetengenezwa maalumu. Mtu yeyote akiwa nje, hata kama ni mchana, huwezi kuona ndani. Ni kwa ajili ya usalama
wangu.”
“Labda kama umechoka.” “Hata kidogo. Nimependa vile
ulivyonishika jana. Sikuchoka hata
kidogo.” Hapo
hapo Tunda akachangamkia penzi. Mzee huyo hakuwa na papara, alivuta muda akimzungusha Tunda kwa hili na lile, mpaka wakaridhika.
Tunda akambusu tena shavuni kama anayemshukuru. “Nitakuona kesho. Asante kwa kuwa na mimi hapa na kukaa na mimi mpaka muda wangu umefika.” Mbawala akatoa
tabasamu na kumjibu, “Angalau nimeanza
siku vizuri.” Tunda akaanza kuvaa nguo
zake, huku akimsaidia kumuweka sawa.
Aliporidhika na muonekano wake, ndipo akashuka
garini. Akachukua mizigo yake
akaondoka kwenda kupanda ndege.
~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~
Akiwa kwenye ndege, Tunda akaanza kuwaza. “Au Mungu ndio ameniletea Sadiki
mwingine?” Tunda akafikiria. “Lakini hapana. Mbawala
sio Sadiki. Huyu baba anaheshima, halafu amenipokea akifaidika na penzi tu.” Kumbukumbu zikamrudisha
kwenye maisha aliyoishi na Sadiki.
Mpaka yeye mwenyewe akasisimkwa mwili
kwa hofu. “Nilipatwa na nini!?”Akajishangaa kwa mambo aliyokuwa akifanya
na Sadiki! Jinsi alivyokuwa amekubali
kutumiwa bila mpangilio. Mara amwambie
usiku huo lazima wafanye mapenzi,
ndio usiku wa kheri. Mara wawe wao wawili tu, usiku sana makaburini wakifanya
ibada za ajabu.
Akakumbuka siku moja kutokewa na
joka katikati ya ibada hiyo hapo
makaburini. Akataka kukimbia, lakini Sadiki akamshika,
akamwambia asiogope.
Haya, kila wakitoka makaburini amwambie ndio wafanye mapenzi vile vile hata kabla ya kuoga! Ilikuwa fujo, vurugu mchanganyiko ambao hata Tunda hakujua alimudu vipi ule
ujinga. Akavuta pumzi kwa nguvu,
akili ikamrudisha kwa waziri
Mbawala. Hapo hapo akasahau mambo yote
ya Sadiki, akacheka akiwa bado yupo kwenye ndege. Kumbuka ya pesa alizompa ikamrudia. “Akiendelea hivi, mmoja tu atanitosha.” Tunda akaendelea
kuwaza. Akili ikamrudisha kwa mtoto
wake. “Hamfikii baba yake hata kidogo. Na ndiye atakuwa wa kwanza kumtoa kwenye orodha yangu. Yupo rafu sana, japo anatoa pesa nzuri. Baba yake mstaarabu sana. Anatumia mwili wangu vizuri.”
Akakumbuka mapenzi waliyofanya kwenye gari kabla ya kuondoka. Vile alivyomkuta akimsubiria pale sehemu ya kuegeshea magari, pembeni ya gari yake. Ilimgusa sana Tunda. Akacheka na kugeukia dirishani.
Tunda & Waziri Mbawala
Sauzi.
A |
litua
uwanja wa ndege wa kimataifa wa OR Tambo,
uliopo Johannesburg hapo Afrika
ya kusini. Akachukua taksii akawapa ile address kama alivyoelekezwa na
Mbawala. Dereva akaelewa kwa haraka kwa kuwa
ilikuwa hoteli kubwa sana ya kimataifa
hapo mjini. Tunda mwenyewe akashangazwa na hiyo hoteli. “Kama Dubai!” Akajiambia Tunda mtoto wa matawi. Alishafika Dubai
akiwa na Sadiki.
Ila hakutegemea kukuta nchi ya
Afrika ipo nzuri vile. Aliingia hapo hotelini, akaonyesha simu yake pale mapokezi. Ujumbe aliokuwa ametumiwa na Mbawala wa booking ya chumba. Akapewa kadi ya kufungulia mlango. Muhudumu akaja kumsaidia kubeba mizigo, wakaelekea gorofa ya
8 ndipo kilipokuwa hicho chumba
chao.
Macho yalimtoka zaidi. “Suite!” Akajisemea huku akitoa
macho wakati anazunguka hicho
chumba. Muhudumu akaweka vitu
vyake, akamuuliza kama nahitaji
chochote, Tunda akampa tip kama
kumshukuru. Akaondoka. Akafurahia ule utulivu pale. Alipozunguka kote na kujiridhisha na hicho chumba, akampigia simu waziri Mbawala kumjulisha kuwa amefika salama, na yupo hapo chumbani. “Natamani kama
ungekuwepo hapa na mimi!” Tunda
akajilalamisha. “Kesho
kama sasa hivi, tutakuwa wote. Kuna kitu cha muhimu sana lazima nikifanye leo ndipo niweze
kuwepo huko kwa hicho kikao.” Wakazungumza kidogo,
wakaagana. Aliagiza chakula hapohapo
chumbani. Ilipofika usiku, akaoga na
kulala moja kwa moja. Hakutaka hata
kutoka hapo chumbani.
Kesho yake Mbawala alifika hapo hotelini mida ya saa sita mchana, akamkuta
amejilaza. “Wenzako wanatumia safari
kama hizi kuzunguka madukani, wewe
unajifungia ndani tu!” Tunda
akacheka. “Pole na safari.” “Ilikuwa fupi. Nilichukua ndege ya moja kwa moja, express. Nilikuwa na kikao asubuhi, nimetokea ofisini.” “Kwa hiyo hujachoka?” Tunda alimuuliza huku akimsogelea. “Hata kidogo. Wewe njaa haiumi?”
“Njaa yangu
ni wewe. Njoo kwanza hapa
kitandani, unishike shike ndio tule.”
Tunda akamvutia kitandani. Siku hiyo waliitumia
hapo chumbani mpaka kesho yake waziri ndio alikuwa anaanza mkutano wake.
~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~
Waziri Mbawala alikuwa akitoka asubuhi kwa masaa kadhaa. Alikuwa akimuaga
anakwenda kwenye mkutano, kisha anarudi na kumkuata Tunda akimsubiria
hapo chumbani. “Si utoke akazunguke
kidogo? Au umeshawahi kufika huku?” “Hapana. Ni mara yangu ya kwanza. Ila napenda huu utulivu humu
ndani. Najisikia vizuri.” Mbawala akacheka. Siku ya tatu hakutoka, akamwambia kikao kimeahirishwa, mpaka saa 10 jioni. Kwa hiyo siku hiyo asubuhi hiyo mpaka
mchana akawepo tu hapo chumbani na
Tunda. Kesho yake jioni ndio walikuwa
wakirudi nchini Tanzania baada ya kikao chao cha asubuhi
kuisha. Kwa hiyo wakawa wapo tu hapo
chumbani.
Walishapata
kifungua kinywa. Penzi la nguvu la
muda mrefu tu likaendelea mpaka
wakatosheka. Mbawala akakaa
upande wa living room, kwenye makochi
kupiga simu zake nchini akiwasiliana na
huyu na yule huku akiwa anatumia laptop
yake kwa muda tu. Akifanya hili na lile,
Tunda akiwa kitandani ametulia kimya kama hayupo pale.
Akamuona Mbawala anamwangalia.
Macho yakagongana, Tunda akacheka
kicheko chake cha taratibu. “Wewe ni
mtulivu sana! Upo hapo kama haupo!
Umetulia sana! Unawaza nini?” Tunda akacheka tena taratibu bila kujibu. “Ujue mimi nilijua umelala!” Tunda
akatingisha kichwa kukataa. Mbawala
akazima kila kitu, akaamua kurudi na yeye pale kitandani.
Tunda
akajivuta na kujisogeza mpaka chini ya
kwapa lake. Akajikunja na kulala
ndani ya blangeti nzuri ya kisasa.Baridi ya Ac ilikuwa ikipuliza. Mbawala akamkumbatia. “Nikuulize swali Dori?” Tunda akanyanyua kichwa na kumtizama. Akamlaza nyusi taratibu
huku akimwangalia. “Nimegundua unakwepa
mabusu ya mdomoni. Ni kwa nini?” Tunda akafikiria kidogo. Akatoa tabasamu la upole. “Sitaki kuja kuangukia
kumpenda mtu asiye sahihi.”
Akamjibu
hivyo taratibu. Mbawala akambusu
kichwani. “Yaani mpaka sasa hivi
hujapata mtu!?”Akauliza kwa mshangao kidogo.
Tunda akatingisha kichwa kukataa. “Lakini
bado unaonekana mdogo sana Dori. Sidhani
hata kama umefikisha miaka 25.” Tunda
akacheka na kuinamisha macho yake chini.
“Nimepatia?”
Tunda
akacheka tu akiwa ametulia vilevile. Mbawala
akamnyanyua uso. “Jina lako pia sio Dori.” Tunda akashtuka sana. Lakini
ikabidi akubali. “Hapana.”
Tunda
akajibu kinyonge na aibu kubwa usoni.
Akambusu kichwani. Tunda akageuka upande wa
pili na kunyamaza kabisa. Akamvuta
kiunoni na kumsogeza karibu yake.
Akambusu shingoni. Tunda akavuta
pumzi kwa nguvu na kuzishusha
taratibu. Kimya. “Nataka kukufahamu
zaidi.” Akamsikia akimnong’oneza sikioni.
Tunda akanyamaza akitetemeka mwili
mzima kwa hofu.
“Nikwambie kitu?”
Tunda
akatingisha kichwa kukubali. “Nigeukie sasa.” Akageuka.
“Nimepata muda mzuri sana na wewe. Umetulia. Nimepata utulivu wa aina yake. Lakini nataka kukufahamu kwa ukweli.” Tunda alishindwa azungumze nini akabaki ametulia. Hofu ilishamuingia,
akaamua kutoka pale kitandani kuelekea
bafuni bila ya kujibu kitu.
~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~
Alikamatwa vibaya sana. Kulikuwa na nguvu ya namna yake anapoyavaa yale majina tofauti tofauti. Kila jina alilolivaa alilipa tabia zilizoficha ukweli wa Tunda asilia. Tunda mwenyewe alibeba historia ambayo hakutaka
kumkumbuka hata kidogo. Yale majina
aliyokuwa akijipa, alikuwa ni kama
anapewa utu mpya nakufanya anayoyafanya
kwa kujiamini. Akijiita Fina,
basi huyo Fina atampa uwezo wa kuwa mfanyabiashara mzuri sana na atampa mamlaka yakuweza kuzungumza na wasomi,
na kumfanya afikiri kisomi na
kuweza kutoa ushauri mkubwa uliompa
Kinny dili ya pesa nyingi.
Akiwa Irene, anakuwa msichana anayejielewa. Mwenye mipango na mikakati ya maisha. Nguvu ya elimu ipo na uelewa mkubwa wa maisha. Jinsi alivyojibeba kwa Tewele, muonekano
wake, usingedhani vinginevyo. Akampa ushauri wa kisomi jinsi ya kumkabili bosi wake. Akajisikia yupo sehemu sahihi. Akiwa Doris au Dori, ni msomi aliyekuwa akitafuta kazi kwa waziri Mbawala. Amefanikiwa.
Anachohitaji ni wakati mzuri tu.
Ndio maana
yupo huru kufanya naye mapenzi popote bila shida wala kulia shida. Kwa kuwa yupo likizo ya kikazi. Tena kazi nzuri tu. Kuwatoa Fina, Irene, na Doris kwake, ni kumuanika Tunda ambaye hakuwa tayari kumuishi
hata kidogo. Tunda alibeba machungu
ambayo hakutaka kumfikiria wala hakuwa
tayari kumuishi. Kina Fina walimsaidia kuishi maisha nadhifu na ya kitajiri. Waziri Mbawala anataka kumtoa Doris! Ili awe nani? Tunda! Alimnyima raha Tunda, asijue. Alimtoa kabisa kule mafichoni na kumkumbusha yale maisha sio yake. Bila ya
kujijua, waziri akajikuta anamrudisha Tunda kule alipotakiwa awepo.
~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~
Na yeye akamfuata
nyuma. “Nakaribia kuondoka Dori.” “Na mimi nitatoka muda
mfupi sana kuanzia sasa. Wameniambia movie
mpya itaanza baada ya dakika 20
kuanzia sasa.” Tunda akajibu vile akijua wazi ni kama anapewa nafasi ya kujieleza
ukweli. Lakini akaikwepa na kuanza
kujiandaa. Akamuona bado Mbawala
ametulia akimtizama. “Naomba
nikitoka kwenye movie, nizunguke
kidogo kuangalia mazingira kabla
hatujarudi nyumbani.” “Wazo zuri. Ningekuwa sina
kikao cha jioni,
ningekusindikiza.” Tunda akatoa tu
tabasamu na kugeukia pembeni, waziri
akamuona.
“Nini? Au
hutaki kuongozana na mimi?”
“Siku hizi
kila mtu paparazi. Ukitokea tu sehemu ukiwa
na mimi, kesho ujue utajikuta kwenye
vyombo vyote vya habari.” Hilo likampunguzia waziri wasiwasi, nakuongeza swali jingine kichwani. “Ubaya upo wapi?”
Tunda
akakunja uso kama asiyemuelewa waziri huyu, tena mume wa mtu! Lakini
akaona anyamaze. “Eti Dori? Ni nani
unayemuhofia asikuone na mimi? Au
Mbawala yule uliyekuwa ukiwasiliana naye
siku ile ukaishia kwangu ni mtu wa karibu yangu sana?” Tunda alishtuka, akakaribia
kuanguka. Mwili mzima alihisi umepigwa
na shoti ya umeme. Akaamua kugeuka kwa
haraka ili asimuone ile hali ya mshtuko
aliyojua wazi inaonekana mpaka usoni.
“Eti?” Akauliza. Lakini Tunda alishindwa hata kugeuka, waziri akamfuata kule alipogeukia. Akamtizama usoni.
“Ooooh!” Akasikika kama aliyepata jibu lake. Kisha akaondoka. Mbawala alitoka hapo,
akamuacha Tunda akikaribia
kuchanganyikiwa. Mambo mengi yalipita
kichwani kwa haraka, akasikia tumbo
limevuruga, akakimbilia chooni. Tunda
alitapika mpaka yakabaki mate tu
tumboni. Akaoga na kuamua kutoka
pale. Alihisi bado vile vitu vya
Mbawala pale chumbani ni kama
Mbawala mwenyewe akimtizama. Tunda
amekamatwa vibaya sana. Hakujua
atafanyaje.
Alikuja kurudi saa nne na nusu usiku. Akamkuta Mbawala akimsubiri kitandani. Bado usoni alikuwa amejawa hofu. Ujasiri ulimwisha kabisa. Kwa vile
alivyokuwa waziri Mbawala, akajua fika, anamsubiria yeye. akataka kupitiliza
bafuni, lakini akamuwahi. “Njoo.”
~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~
Njia ya
muongo imekuwa fupi kwa Tunda. Atatoka vipi? Amegundulika vipi, na kwa ukubwa upi?
Endelea kufuatilia.
0 Comments:
Post a Comment